Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Kiongozi Muadhamu: Inatarajiwa ulimwengu wa Kiarabu utaingia medani ya kisiasa kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni

    Kiongozi Muadhamu: Inatarajiwa ulimwengu wa Kiarabu utaingia medani ya kisiasa kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni

    May 12, 2022 23:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema dhulma ya miongo kadhaa ya utawala khabithi wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina ni ukweli mchungu wa historia na pigo kwa ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu na kuongeza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataraji kwamba ulimwengu wa Kiarabu utaingia wazi wazi katika medani ya kisiasa kukabiliana na jinai hizo.

  • Jordan: Masjidul-Aqswa ni mali ya Waislamu, Israel yatakiwa kutoitahini subira ya Waislamu bilioni 2

    Jordan: Masjidul-Aqswa ni mali ya Waislamu, Israel yatakiwa kutoitahini subira ya Waislamu bilioni 2

    May 09, 2022 03:00

    Kamati ya Palestina katika Bunge la Jordan imesisitiza kuwa, Waislamu wana mamlaka mutlaki kwa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ulioko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Brigedi za al-Qassam: Tutatoa jibu kali kwa Israel endapo itathubutu kuua viongozi wa muqawama

    Brigedi za al-Qassam: Tutatoa jibu kali kwa Israel endapo itathubutu kuua viongozi wa muqawama

    May 08, 2022 00:09

    Msemaji wa Brigedi za al Qassam ambazo ni tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya utawala haramu wa Israel na hatua yoyote ya kijinga ya kuwaua viongozi wa muqawama.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Wazayuni sasa wanazingirwa na kambi ya muqawama

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Wazayuni sasa wanazingirwa na kambi ya muqawama

    May 06, 2022 08:02

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema, adui Mzayuni amezingirwa na wanamapambano wa Kiislamu.

  • HAMAS: Wazayuni wana kiwewe cha kutokea tena vita vya

    HAMAS: Wazayuni wana kiwewe cha kutokea tena vita vya "Upanga wa Quds"

    May 06, 2022 03:11

    Kiongozi mmoja wa ngazi zajuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesitna HAMAS amesema kuwa, Wazayuni bado wana kiwewe cha uzoefu mchungu wa operesheni ya "Upanga wa Quds" na hawataki kabisa kupata uzoefu mchungu mwingine kama huo.

  • "Wananchi wa Palestina wako tayari kuuhami kikamilifu Msikiti wa al Aqsa"

    May 05, 2022 22:05

    Sekretarieti ya Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga mkono Intifadha ya Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) imetoa taarifa na kulaani uvamizi wa Wazayuni katika Msikiti Mtukufu wa al Aqsa na kusisitiza kuwa, makundi ya muqawama na wananchi wa Palestina wako tayari kuulinda Msikiti wa al Aqsa na kuzikomboa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Hamas yautahadharisha utawala haramu wa Israel: Usicheze na moto

    Hamas yautahadharisha utawala haramu wa Israel: Usicheze na moto

    May 04, 2022 21:54

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetahadharisha kuhusu vitendo vya kichochezi vya Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa na kusema vitendo hivyo ni sawa na kucheza na moto.

  • Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    May 04, 2022 21:51

    Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina nchini Uingereza ameashiria kimya cha nchi za Magharibi mbele ya vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa na kueleza kuwa, Palestina itakombolewa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa watu huru duniani.

  • Dakta al-Zahar: Uvamizi wa Israel hauna dosari kwa azma ya Wapalestina ya kukomboa ardhi zao

    Dakta al-Zahar: Uvamizi wa Israel hauna dosari kwa azma ya Wapalestina ya kukomboa ardhi zao

    May 02, 2022 05:36

    Mahmoud az-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, kuendelea mzingiro na uvamizi wa Wazayuni katu hakutatia dosari azma ya Wapalestina ya kukomboa ardhi zao.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kupanuliwa muqawama kote Palestina

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kupanuliwa muqawama kote Palestina

    Apr 30, 2022 06:59

    Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Ijumaa alihutubu kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambapo alitaja dalili kadhaa zenye kutia matumaini kuhusu mustakbali tofauti kwa maslahi ya wananchi wa Palestina ikiwemo kupanuliwa uwanja wa mapambano katika ardhi yote ya Palestina na mkabala wake, kudhoofika utawala ghasibu wa Kizayuni na muungaji wake mkono mkuu yaani Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS