Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Uturuki, Qatar na Libya kushirikiana kijeshi

    Uturuki, Qatar na Libya kushirikiana kijeshi

    Aug 18, 2020 14:43

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imesema imefikiana na Uturuki na Qatar juu ya kutia saini mkataba wa pande tatu wa ushirikiano wa kijeshi na kwamba miongoni mwa nukta muhimu za ushirikiano huo ni kujenga kituo cha kijeshi cha Uturuki katika Bandari ya Misrata nchini Libya.

  • Radiamali ya Qatar kwa njama ya Saudia ya kupanga kuishambulia kijeshi nchi hiyo

    Radiamali ya Qatar kwa njama ya Saudia ya kupanga kuishambulia kijeshi nchi hiyo

    Aug 10, 2020 04:26

    Qatar imejibu taarifa iliyofichuliwa na jarida la Foreign Policy linalochapishwa nchini Marekani kuhusu pendekeo lililotolewa na Saudi Arabia kwa Marekani la kuiomba iishambulie Qatar na kutangaza kuwa kutokanusha suala hilo kunamaanisha kuwa Saudi Arabia ilikuwa kweli na nia ya kuishambulia Qatar.

  • Qatar: Kutokanusha Saudia ni ithibati kwamba ilikuwa na mpango wa kutushambulia kijeshi

    Qatar: Kutokanusha Saudia ni ithibati kwamba ilikuwa na mpango wa kutushambulia kijeshi

    Aug 09, 2020 08:13

    Kufuatia ripoti ya jarida la Foreign Policy iliyofichua kwamba Saudi Arabia ilikuwa na mpango wa kuishambulia kijeshi Qatar, Mkuu wa ofisi ya habari katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema, kutokadhibishwa habari hiyo na Saudia kunathibitisha ukweli wa suala hilo.

  • Uamuzi wa mahakama ya ICJ ni ushindi kwa Qatar na kushindwa kwingine kwa Saudia

    Uamuzi wa mahakama ya ICJ ni ushindi kwa Qatar na kushindwa kwingine kwa Saudia

    Jul 16, 2020 02:36

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ, yenye makao makuu yake huko The Hague nchini Uholanzi imetoa hukumu kwa maslahi ya Qatar katika mzozo wa anga baina yake na nchi nyingine nne za Kiarabu.

  • Qatar: Uhurusiano wetu na Iran utaendelea kuwa mzuri licha ya mashinikizo ya Marekani

    Qatar: Uhurusiano wetu na Iran utaendelea kuwa mzuri licha ya mashinikizo ya Marekani

    Jun 27, 2020 00:32

    Balozi wa Qatar mjini Washington Marekani amesema kuwa, uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jambo la dharura na ameituhumu Saudi Arabia na waitifaki wake kwa siasa chafu na kufanya mambo yawe mazito.

  • Sisitizo la Qatar la kufanya mazungumzo na nchi nne za Kiarabu bila ya masharti

    Sisitizo la Qatar la kufanya mazungumzo na nchi nne za Kiarabu bila ya masharti

    Jun 09, 2020 08:54

    Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amepokea vizuri juhudi za Kuwait za kujaribu kutatua mzozo uliopo baina ya Qatar na nchi nne za Kiarabu na kusisitiza kuwa, kuheshimiwa haki ya kujitawala Qatar ndilo sharti kuu la Doha la kufanya mazungumzo na nchi nne za Kiarabu za Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), Bahrain na Misri.

  • Qatar yatoa masharti ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Ghuba ya Uajemi

    Qatar yatoa masharti ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Ghuba ya Uajemi

    Jun 08, 2020 12:09

    Mwakilishi wa Kudumu wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amesiistiza kuwa nchi hiyo iko tayari kufanya mazungumzo kuhusu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa eneo la Ghuba ya Uajemi kwa sharti kuwa mazungumzo hayo yawe katika fremu ya kuheshimu mamlaka ya kitaifa ya Qatar na kutoingiliwa masuala yake ya ndani.

  • Mwaka wa tatu wa mzozo baina ya nchi za Kiarabu

    Mwaka wa tatu wa mzozo baina ya nchi za Kiarabu

    Jun 05, 2020 12:47

    Ijumaa Juni tano 2020 imesadifiana na kuingia mwaka wa nne tangu uanze mgogoro baina ya nchi kadhaa za Kiarabu.

  • Rais Rouhani aitahadharisha Marekani kuhusu kutatiza meli za mafuta za Iran

    Rais Rouhani aitahadharisha Marekani kuhusu kutatiza meli za mafuta za Iran

    May 24, 2020 07:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria baadhi ya chokochoko za Marekani katika eneo la Bahari ya Caribbean na kusema: "Iwapo meli za mafuta za Iran zitakabliwa na tatizo lolote kutoka Marekani, basi Iran nayo itawaibulia matatizo."

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Qatar wajadili matukio ya Afghanistan

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Qatar wajadili matukio ya Afghanistan

    Apr 26, 2020 02:16

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar wamejadili katika mazungumzo yao kwa njia ya simu matukio ya hivi karibuni nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS