Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani

    Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani

    Apr 25, 2020 10:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haitakuwa muanzishaji wa taharuki na mapigano katika eneo."

  • Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Apr 22, 2020 03:14

    Rais Hassan Rouhani amesema: Katika mazingira maalumu ya hivi sasa yanayotokana na kuenea virusi vya corona duniani, nchi zote zinapaswa kuwa bega kwa bega katika kupambana na kirusi hicho angamizi na kutangaza kwa uwazi kabisa misimamo yao kuhusiana na hatua za kiuadui za Marekani.

  • Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Feb 25, 2020 13:27

    Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.

  • Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Rais wa Tunisia: Quds ni mji mkuu wa Palestina, si bidhaa ya kuuzwa

    Feb 25, 2020 07:48

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema Palestina ni milki ya Wapalestina na Quds tukufu inapaswa kuwa mji mkuu wa taifa hilo la Kiarabu.

  • Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika

    Mazungumzo eti ya amani kati ya Marekani na Taleban huko Qatar yavunjika

    Jan 18, 2020 02:55

    Waziri wa Serikali Katika Masuala ya Afghanistan, amesema kuwa mazungumzo eti ya 'amani' kati ya Marekani na kundi la Taleban yanayofanyika nchini Qatar, yamevunjika.

  • Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Sababu zinazoifanya ziara ya Amir wa Qatar nchini Iran kuwa na umuhimu mkubwa

    Jan 15, 2020 06:13

    Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Jumapili iliyopita ya tarehe 12 Januari 2020, alifanya ziara rasmi hapa mjini Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Tamim alionana na viongozi wa ngazi za juu kabisa wa Iran akiwemo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na Rais Hassan Rouhani.

  • Iran na Qatar kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga tofauti

    Iran na Qatar kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga tofauti

    Jan 13, 2020 00:44

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa kisiasa baina ya Iran na Qatar ni mzuri lakini nchi mbili hizo zina fursa ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa Doha na Tehran na katika nyuga mbalimbali zikiwemo za uchumi, biashara, utalii na sayansi.

  • Amir wa Qatar safarini Iran

    Amir wa Qatar safarini Iran

    Jan 12, 2020 12:05

    Amir wa Qatar leo amewasili Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo an viongozi wa ngazi za juu wa Iran.

  • Dakta Zarif: Uingiliaji wa vikosi vya kigeni ndio sababu ya kuongezeka mivutano katika eneo

    Dakta Zarif: Uingiliaji wa vikosi vya kigeni ndio sababu ya kuongezeka mivutano katika eneo

    Jan 04, 2020 14:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haitaki kuona kunakuweko mivutano katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kwamba, uwepo wa vikosi vya kigeni na vya nje ya eneo hili ndio sababu ya ukosefu wa amani na usalama na chimbuko la kuongezeka migogoro katika eneo hili.

  • Turk al-Faisal: Qatar inaunga mkono makundi ya upinzani katika Mashariki ya Kati

    Turk al-Faisal: Qatar inaunga mkono makundi ya upinzani katika Mashariki ya Kati

    Dec 21, 2019 13:38

    Turk al-Faisal, Mkuu wa zamani wa Shirika la Usalama wa Taifa nchini Saudi Arabia ameituhumu nchi ya Qatar kwamba, imekuwa ikichochea ghasia na machafuko katika nchi za Bahrain, Imarati na Saudia kupitia kuyaunga kwake mkono na kuyasaidia kifedha makundi ya upinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS