-
Dakta Zarif: Uingiliaji wa vikosi vya kigeni ndio sababu ya kuongezeka mivutano katika eneo
Jan 04, 2020 10:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haitaki kuona kunakuweko mivutano katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kwamba, uwepo wa vikosi vya kigeni na vya nje ya eneo hili ndio sababu ya ukosefu wa amani na usalama na chimbuko la kuongezeka migogoro katika eneo hili.
-
Turk al-Faisal: Qatar inaunga mkono makundi ya upinzani katika Mashariki ya Kati
Dec 21, 2019 10:08Turk al-Faisal, Mkuu wa zamani wa Shirika la Usalama wa Taifa nchini Saudi Arabia ameituhumu nchi ya Qatar kwamba, imekuwa ikichochea ghasia na machafuko katika nchi za Bahrain, Imarati na Saudia kupitia kuyaunga kwake mkono na kuyasaidia kifedha makundi ya upinzani.
-
Qatar: Iran ni jirani muhimu kwa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi
Dec 17, 2019 09:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Muhammad bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jirani muhimu kwa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Qatar: Hatuwezi kuzisahau nchi zilizotusaidia katika kipindi cha vikwazo
Dec 16, 2019 23:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amesema kuwa, licha ya Doha kuyafanyia uchunguzi matakwa ya nchi za Ghuba ya Uajemi yenye lengo la kutatua mozozo na hitilafu, lakini katu haitazisahau nchi zilizoisaidia Qatar katika kipindi cha vikwazo na mashinikizo.
-
Oman na Qatar zataka kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 15, 2019 04:31Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema taifa hili linajivunia kuwa na uhusiano mzuri na wa udugu na Oman huku akisisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano huo.
-
Qatar yasisitiza uungaji mkono wake kwa Wapalestina hadi wapate haki zao za kisheria
Nov 06, 2019 12:26Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amesema: Amani katika Mashariki ya Kati (Magharibi ya Asia) itapatikana pale tu taifa la Palestina litakaporejeshewa haki zake za kisheria.
-
Qatar imefanikiwa kukabiliana na vikwazo vya Saudia na waitifaki wake
Nov 06, 2019 04:14Emir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amesema nchi yake imefanikiwa katika kukabiliana na vikwazo vya Saudi Arabia na waitifaki wake.
-
Qatar: Diplomasia itumike kupunguza taharuki kati ya Iran na Waarabu
Oct 20, 2019 04:07Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na baadhi ya nchi za Kiarabu katika eneo zinaweza kupunguza taharuki miongoni mwao kwa njia ya mazungumzo na diplomasia.
-
Taliban yataka kutekelezwa vipengee vya makubaliano ya Qatar
Oct 19, 2019 02:10Msemaji wa Idara ya Siasa ya kundi la Talibal la Afghanistan amesema kuwa Marekani inakwamisha utekelezwaji wa makubaliano ya Qatar.
-
Qatar yatangaza kufuta mfumo wa Kafala katika ajira
Oct 18, 2019 23:33Serikali ya Qatar imeahidi kufuta mfumo wa ajira unaowabana wafanyakazi wahajiri kwa waajiri wao na kuwafanya walazimike kupata idhini ya kampuni wanazotumikia ili kuweza kuondoka nchini humo.