-
Qatar: Iran ni jirani muhimu kwa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi
Dec 17, 2019 13:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Muhammad bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni jirani muhimu kwa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Qatar: Hatuwezi kuzisahau nchi zilizotusaidia katika kipindi cha vikwazo
Dec 17, 2019 03:10Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amesema kuwa, licha ya Doha kuyafanyia uchunguzi matakwa ya nchi za Ghuba ya Uajemi yenye lengo la kutatua mozozo na hitilafu, lakini katu haitazisahau nchi zilizoisaidia Qatar katika kipindi cha vikwazo na mashinikizo.
-
Oman na Qatar zataka kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 15, 2019 08:01Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema taifa hili linajivunia kuwa na uhusiano mzuri na wa udugu na Oman huku akisisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano huo.
-
Qatar yasisitiza uungaji mkono wake kwa Wapalestina hadi wapate haki zao za kisheria
Nov 06, 2019 15:56Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amesema: Amani katika Mashariki ya Kati (Magharibi ya Asia) itapatikana pale tu taifa la Palestina litakaporejeshewa haki zake za kisheria.
-
Qatar imefanikiwa kukabiliana na vikwazo vya Saudia na waitifaki wake
Nov 06, 2019 07:44Emir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amesema nchi yake imefanikiwa katika kukabiliana na vikwazo vya Saudi Arabia na waitifaki wake.
-
Qatar: Diplomasia itumike kupunguza taharuki kati ya Iran na Waarabu
Oct 20, 2019 07:37Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na baadhi ya nchi za Kiarabu katika eneo zinaweza kupunguza taharuki miongoni mwao kwa njia ya mazungumzo na diplomasia.
-
Taliban yataka kutekelezwa vipengee vya makubaliano ya Qatar
Oct 19, 2019 05:40Msemaji wa Idara ya Siasa ya kundi la Talibal la Afghanistan amesema kuwa Marekani inakwamisha utekelezwaji wa makubaliano ya Qatar.
-
Qatar yatangaza kufuta mfumo wa Kafala katika ajira
Oct 19, 2019 03:03Serikali ya Qatar imeahidi kufuta mfumo wa ajira unaowabana wafanyakazi wahajiri kwa waajiri wao na kuwafanya walazimike kupata idhini ya kampuni wanazotumikia ili kuweza kuondoka nchini humo.
-
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram
Oct 05, 2019 15:05Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.
-
Marekani yafunga kamandi yake ya Jeshi la Anga Mashariki ya Kati nchini Qatar
Oct 01, 2019 02:47Jeshi la Anga la Marekani limetangaza kuhamisha kwa muda kamandi yake ya Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) kutoka Qatar hadi jimbo la Carolina Kusini nchini Marekani.