-
Viongozi wa Kiislamu Ufaransa wakosoa wito wa 'kufutwa' baadhi ya aya za Qurani
Apr 28, 2018 07:56Viongozi wa Kiislamu nchini Ufaransa wamekosoa vikali ombi lililowasilishwa na shakhsia 300 wa Ufaransa waliotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati.
-
Mkutano wa Miujiza ya Kisayansi wa Qur'ani waanza Misri
Mar 13, 2018 15:41Mkutano wa Kumi wa Muujiza wa Kisayansi katika Qur'ani na Suna umeanza katika Chuo Kikuu cha Mansoura kilichoko umbali wa kilomita 120 kaskazini mashariki mwa mji wa Cairo nchini Misri.
-
Wapalestina 600 wamekamatwa tangu Quds itangazwe 'mji mkuu wa Israel'
Dec 27, 2017 07:20Mamia ya Wapalestina wamekamatwa na kuzuiliwa na maafisa usalama wa utawala haramu wa Israel tangu Rais Donald Trump wa Marekani aitangaze Quds Tukufu kuwa mji mkuu wa utawala huo wa Kizayuni mapema mwezi huu.
-
Qur'ani ya kwanza kabisa kuwahi kufasiriwa kwa lugha ya Kirundi + SAUTI
Dec 26, 2017 09:40Kwa mara ya kwanza katika historia ya Uislamu nchini Burundi kumezinduliwa tafsiri ya Qur'ani nzima kwa lugha ya Kirundi.
-
Kiongozi Muadhamu: Sharti la mafanikio ni kuunganisha sayansi za jamii na misingi ya kidini
Nov 30, 2017 16:33Kongamano la Kimataifa la Qur'ani na Sayansi za Jamii (Humanities) limeanza leo katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran kwa kusomwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.
-
Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS
Sep 21, 2017 08:10Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokuandalieni kwa munasaba wa siku hizi 10 za kwanza za Mwezi wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani wanaomboleza kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS. Katika makala yetu ya leo tutaangazia mada ya Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS.
-
Ramadhani na Utulivu wa Moyo
Jun 01, 2017 10:31Assalam Aleikum na karibuni katika makala hii maalumu inayowajieni katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo leo tutaangazia masuala ya utulivu wa moyo wa mwandamu.
-
Sura ya As-Sajdah, 26-30 (743)
May 24, 2017 17:04Sura ya As-Sajdah, aya ya 26-30 (Darsa ya 743)
-
Sura ya As-Sajdah, 20-25 (742)
May 24, 2017 17:00Sura ya As-Sajdah, aya ya 20-25 (Darsa ya 742)
-
Sura ya As-Sajdah, 15-19 (741)
May 24, 2017 16:57Sura ya As-Sajdah, aya ya 15-19 (Darsa ya 741)