Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Dec 03, 2021 23:09

    Baada ya siku saba, Ufaransa imekataa ombi la Uingereza lililokuwa limetolewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson kwa Rais Emmanuel Macron.

  • Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na 'janga' la dhulma dhidi ya wanawake

    Ramaphosa: Afrika Kusini inakabiliwa na 'janga' la dhulma dhidi ya wanawake

    Nov 23, 2021 03:57

    Rais wa Afrika Kusini amesema dhulma za kijinsia na ukandamizaji unaofanywa na wanaume dhidi ya wanawake ni 'janga' la pili linaloisumbua nchi hiyo kwa sasa, mbali na tandavu ya ugonjwa wa Covid-19.

  • Madai ya Biden kuhusu uuzaji wa mafuta ya Iran, mtazamo wa kihasama na usio wa kweli

    Madai ya Biden kuhusu uuzaji wa mafuta ya Iran, mtazamo wa kihasama na usio wa kweli

    Nov 13, 2021 23:15

    Rais Joe Biden wa Narekani Ijumaa iliyopita aliiandikia Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya nchi hiyo akidai kuwa, mafuta na bidhaa zinazotokana na mafuta zimejaa masokoni kiasi kwamba nchi mbalimbali zinaweza kupunguza ununuzi wa mafuta kutoka Iran.

  • Mazungumzo ya Biden na Macron, juhudi za Washington za kuimarisha uhusiano na Paris

    Mazungumzo ya Biden na Macron, juhudi za Washington za kuimarisha uhusiano na Paris

    Oct 31, 2021 07:05

    Ijumaa Rais Joe Biden wa Marekani alikutana na kuzungumza na mwenzake wa Ufaransa Rais Emmanuel Macron kuhusu mkataba wa mauzo ya nyambizi kati ya Washington na Canberra, ambao umeikasirisha sana Paris.

  • Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi

    Rais wa Uganda: Mlipuko wa bomu Kampala lilikuwa shambulio la kigaidi

    Oct 24, 2021 11:45

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema mlipuko wa bomu uliotokea usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Kampala huenda lilikuwa shambulio la kigaidi.

  • Kurejea Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la UN; shaka na shubha kuhusu suala hilo

    Kurejea Marekani katika Baraza la Haki za Binadamu la UN; shaka na shubha kuhusu suala hilo

    Oct 16, 2021 22:55

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa juzi Alhamisi liliiarifisha Marekani kuwa moja kati ya wanachama 18 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa. Duru ya miaka mitatu ya baraza hilo itaanza kuanzia Januari Mosi mwaka ujao wa 2022. Nchi wanachama wa baraza hilo huchaguliwa katika kila duru katika upigaji kura unaofanyika kwa njia ya siri.

  • Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Oct 16, 2021 03:53

    Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.

  • Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Oct 15, 2021 05:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema magaidi wanahamishwa kutoka Iraq na Syria na kupelekwa Afghanistan jambo ambalo amesisitiza kuwa linahatarisha usalama wa nchi za Umoja wa Sovieti ya zamani.

  • Ufaransa yakiri makosa yake ya kushiriki katika mashambulio ya Libya

    Ufaransa yakiri makosa yake ya kushiriki katika mashambulio ya Libya

    Oct 10, 2021 22:58

    Akizungumza karibuni katika mji wa Montpellier na viongozi wa nchi za Kiafrika za eneo la Sahel, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba nchi yake ilifanya makosa kwa kushiriki katika mashambulio ya kijeshi yaliyofanyika dhidi ya Libya nwaka 2011.

  • Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Oct 07, 2021 21:09

    Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS