Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Oct 05, 2021 04:40

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji ametoa mwito kwa magenge ya kigaidi kusalimu amri baada ya kinara wao kuuawa hivi karibuni kaskazini mwa nchi.

  • Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Oct 04, 2021 08:06

    Zaidi ya watu elfu tano wameshiriki maandamano ya kumuunga mkono Rais Kais Saied wa Tunisia anayetuhumiwa na upinzani kuhodhi madaraka yote ya utendaji ya nchi hiyo.

  • Waliouawa na corona Marekani wapindukia laki saba, sababu na athari zake

    Waliouawa na corona Marekani wapindukia laki saba, sababu na athari zake

    Oct 04, 2021 01:03

    Baada ya kupita yapata miaka miwili sasa tangu mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona ulipoikumba Marekani, idadi ya Wamarekani waliouawa na virusi hivyo imepindukia laki saba. Katika kipindi cha miezi mitatu na nusu iliyopita pekee zaidi ya Wamarekani laki moja wameaga dunia kutokana na Covid-19 licha ya kiwango kikubwa cha chanjo kilichotolewa nchini humo.

  • Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa

    Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa

    Sep 23, 2021 22:46

    Kufuatia mazungumzo ya simu ya Marais Joe Biden wa Marekani na Emmanuel Macron wa Ufaransa hapo siku ya Jumatano, viongozi hao wametoa taarifa ya pamoja wakisema wameamua kuendelea na mashauriano kwa ajili ya kutatua hitilifu zilizojitokeza baina ya pande mbili kuhusu mkataba wa kiusalama wa AUKUS.

  • Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi

    Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi

    Sep 13, 2021 07:37

    Rais wa Marekani, Joe Biden, siku ya Jumamosi na pembeni mwa sherehe za mwaka wa 20 wa tangu kutokea mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani, alikiri kwamba yumkini kundi la kigaidi la al Qaida likarejea tena Afghanistan na kusisitiza kuwa, Washington haiwezi kupeleka wanajeshi kila sehemu ilipo al Qaida.

  • Mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001

    Mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001

    Sep 11, 2021 05:09

    Jana ikiwa imebakia siku moja kabla ya kutimia mwaka wa 20 tangu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 ambayo yaliua watu karibu elfu tatu, Rais Joe Biden wa Marekani alitoa ujumbe akitaka kuwepo umoja na mshikamano wa kitaifa nchini Marekani.

  • Wanajeshi wadai kufanya mapinduzi nchini Guinea Conakry; wamtia mbaroni Rais Alpha Conde

    Wanajeshi wadai kufanya mapinduzi nchini Guinea Conakry; wamtia mbaroni Rais Alpha Conde

    Sep 05, 2021 22:49

    Wanajeshi wa Guinea wamejitokeza katika runinga ya taifa wakithibitisha kwamba rais Alpha Conde ameondolewa madarakani. Hata hivyo Serikali imesema imerejesha hali ya utulivu

  • Onyo la Putin kwa Marekani kwa kuweka mifumo ya makombora katika mpaka wa Russia na Japan

    Onyo la Putin kwa Marekani kwa kuweka mifumo ya makombora katika mpaka wa Russia na Japan

    Sep 05, 2021 22:30

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameelezea wasiwasi wake kuhusu mpango wa Marekani wa kuweka mifumo yake ya kujilinda kwa makombora katika mpaka wa Russia na Japan na ameitaka Tokyo isiruhusu kufanyika jambo hilo.

  • Mashinikizo yazidi, Biden aamuru kuchapishwa nyaraka za tukio la Septemba 11

    Mashinikizo yazidi, Biden aamuru kuchapishwa nyaraka za tukio la Septemba 11

    Sep 04, 2021 22:21

    Rais Joe Biden wa Marekani ametoa taarifa akiamuru kuchunguzwa nyaraka zinazohusiana na tukio la Septemba 11 mwaka 2001 kwa ajili ya kuondolewa nyaraka hizo katika hali ya usiri.

  • Sisitizo la Biden la kufikia tamati enzi za Marekani za

    Sisitizo la Biden la kufikia tamati enzi za Marekani za "Ujengaji Taifa kwa operesheni za kijeshi"

    Sep 01, 2021 22:28

    Siku ya Jumanne ya tarehe 31 Agosti, Rais Joe Biden wa Marekani alitoa hotuba maalum kwa mnasaba wa kuondoka rasmi askari wa nchi hiyo katika ardhi ya Afghanistan, ambapo alikufananisha kuondoka katika nchi hiyo iliyoharibiwa na vita kuwa ni sawa na kufikia tamati enzi za kutumia operesheni za kijeshi kwa ajili ya kuzijenga nchi upya; na akasema:

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS