Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Emmanuel Macron, mhanga wa ujasusi wa Wazayuni kupitia programu ya Pegasus

    Emmanuel Macron, mhanga wa ujasusi wa Wazayuni kupitia programu ya Pegasus

    Jul 23, 2021 03:52

    Gabriel Attal, Msemaji wa Serikali ya Ufaransa alisema Alhamisi kuwa Rais Emmanuel Macron aliitisha kikao cha Baraza la Ulinzi siku hiyo hiyo kwa ajili ya kuchunguza na kujadili ujasusi uliofanywa dhidi yake kupitia programu ya Kizayuni ya Pegasus.

  • Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Kikao cha viongozi wa Ufaransa na kundi la nchi tano za Sahel

    Jul 11, 2021 03:52

    Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonana na wakuu wa nchi tano za eneo la Sahel ya Afrika ambazo ni Chad, Mali, Burkina Faso, Mauritania na Niger. Ingawa kikao hicho kimefanyika kwa njia ya Intaneti, lakini Rais Mohammad Bazoum wa Niger yeye ameshiriki kikao hicho akiwa ziarani nchini Ufaransa.

  • Hatua mpya ya Russia ya kuachana na utegemezi wa sarafu ya dola

    Hatua mpya ya Russia ya kuachana na utegemezi wa sarafu ya dola

    Jul 09, 2021 05:20

    Wizara ya Fedha ya Russia imetangaza kuwa, imeondoa kikamilifu sarafu ya dola kwenye Mfuko wa Hazina ya Taifa wa nchi hiyo uliokuwa na akiba ya takriban dola bilioni 65 na kuzibadilisha fedha hizo katika sarafu nyingine za kigeni.

  • Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Rais wa Uganda ataka kuimarisha uhusiano wa nchi yake na serikali mpya ya Iran

    Jul 04, 2021 09:04

    Rais wa Uganda amemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi akimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran; huku akieleza kuwa Kampala ipo tayari kuimarisha uhusiano wake na serikali ijayo ya Tehran.

  • Marais wa Malawi na Mauritania wamtumia Raeisi salamu za pongezi

    Marais wa Malawi na Mauritania wamtumia Raeisi salamu za pongezi

    Jun 30, 2021 22:56

    Marais wa nchi za Afrika za Malawi na Mauritania wamemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Hujjatul Islam Walmuslimin Ebrahim Raeisi wakimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mahakama Afrika Kusini yamhukumu Zuma zaidi ya mwaka mmoja jela

    Mahakama Afrika Kusini yamhukumu Zuma zaidi ya mwaka mmoja jela

    Jun 29, 2021 21:55

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ambaye kesi yake ya ufisadi inaendelea, amehukumiwa kifungo cha miezi 15 gerezani kwa kudharau korti.

  • Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia

    Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia

    Jun 10, 2021 21:36

    Rais Joe Biden wa Marekani Jumatano wiki hii aliekelea barani Ulaya ikiwa safari yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kushika hatamu za uongozi.

  • Kuzabwa kibao Macron, kielelezo cha malalamiko ya wananchi na mgawanyiko wa kisiasa na kijamii Ufaransa

    Kuzabwa kibao Macron, kielelezo cha malalamiko ya wananchi na mgawanyiko wa kisiasa na kijamii Ufaransa

    Jun 10, 2021 08:28

    Katika matamshi yake ya kwanza kuhusu safari yake kwenye eneo la Ladrum huko Kusini Mashariki mwa Ufaransa na kuhusu kibao alichozabwa na mtu mmoja ambaye bado hajatambulishwa, Rais Emmanuel Macron amesema, mtu kueleza mitazamo yake ni jambo linalokubalika, lakini ujinga na ukatili havina nafasi katika utawala wa kidemokrasia.

  • Rais Putin wa Russia naye atabiri kuwa Marekani inaelekea kusambaratika

    Rais Putin wa Russia naye atabiri kuwa Marekani inaelekea kusambaratika

    Jun 07, 2021 08:53

    Rais Vladimir Putin wa Russia katika kikao chake cha hivi karibuni na waandishi habari pembizoni mwa Kongamano la Kimataifa la Uchumi mjini St. Petersburg alisema kuwa Marekani inakumbwa na matatizo ambayo madola makubwa hukumbana nayo. Amebaini kuwa matatizo ambayo Marekani inakabiliana nayo yanatokana na nguvu ilizonazo na sasa imeshindwa kutatua matatizo hayo na hali hiyo ndiyo ile ile liliyokumbana nayo Shirikisho la Sovieti.

  • Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    May 28, 2021 02:42

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba, nchi yake ilihusika katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS