-
Amri ya Trump ya kuwekwa mikataba mipya ya silaha baina ya Marekani na Russia na China
Apr 27, 2019 02:27Donald Trump ni rais wa nchi ya kibeberu ya Marekani ambaye amekuja na siasa za kudharau na kupuuza sheria na mikataba yote ya kimataifa na ajenda yake kuu ni kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa ikiwemo ya silaha. Hivi sasa dunia imekumbwa na changamoto kubwa inayotokana na kung'ang'ania Marekani kujitoa katika mikataba ya kudhibitiu silaha.
-
Kudumishwa ushirikiano mzuri wa Iran na Russia kinyume na matakwa ya Marekani
Apr 26, 2019 05:49Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kwamba serikali za Tehran na Moscow zinahujumiwa na Marekani kutokana na nafasi yao huru.
-
Kim Jong-un: Marekani imekuwa na miamala ya upande mmoja katika mazungumzo
Apr 26, 2019 03:35Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, kupatikana amani eneo la Rasi ya Korea kunategemea mienendo ya Marekani.
-
Bunge la Uingereza latahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia duniani
Apr 26, 2019 02:08Kamati ya Mahusiano ya Kimataifa ya Bunge la Uingereza imetoa taarifa inayoonya juu ya uwezekano wa kutokea vita vya silaha za nyuklia kati ya nchi zenye silaha hizo.
-
Ukosoaji wa Rais Vladmir Putin kuhusiana na miamala mibovu ya Marekani kimataifa
Apr 26, 2019 00:12Siasa za upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani, zimeibua mizozo mingi katika ngazi za kimataifa.
-
Marekani yatishia kuiwekea Uturuki vikwazo vipya ikinunua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia
Apr 23, 2019 02:32Uhusiano wa Marekani na Uturuki umekumbwa na msuguano mkubwa hasa baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli ya Julai 2016. Baada ya Uturuki kusambaratisha mapinduzi hayo, ilisema kuwa Marekani ilihusika katika njama hiyo na kwa msingi huo uhusiano wa nchi hizo mbili uliingia baridi.
-
Russia yakosoa vikali kitendo cha kutiwa mbaroni mwasisi wa mtandao wa kufichua siri wa WikiLeaks
Apr 12, 2019 03:29Serikali ya Russia imekosoa vikali kitendo cha kutiwa mbaroni mjini London, Uingereza mwasisi wa mtandao unaojishughulisha na kufichua siri na kashfa wa WikiLeaks.
-
Sisitizo la Rais Putin la kuweko juhudi za pamoja za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Apr 10, 2019 02:09Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya kutwishwa nchi hiyo vilivyoanza 2011, ulipelekea Syria kugeuka na kuwa medani ya makabiliano baina ya Wamagharibi na waitifaki wao wa Kiarabu pamoja na Uturuki hapo awali dhidi ya mhimili wa muqawama ukijumuisha na Russia.
-
Kuchukua wigo wa kimataifa mgogoro wa kisiasa wa Venezuela
Apr 07, 2019 02:33Mgogoro wa kisiasa wa sasa nchini Venezuela ulianza 10 Januari mwaka huu wakati Rais Nicolas Maduro alipoapishwa baada ya kushinda katika uchaguzi wa Rais uliosusiwa na wapinzani na hivyo kuchukua usukani wa kuiongoza nchi hiyo katika duru ya pili.
-
Iran na Russia zaazimia kukabiliana na ubeberu wa vyombo vya habari wa Magharibi
Apr 05, 2019 23:26Mkuu wa Kitengo cha Kimataifa cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB, amesema, kustawishwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Russia ni hatua yenye taathira kubwa katika kuhitimisha ukiritimba na ubeberu wa vyombo vya habari wa Magharibi.