Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kushadidi mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela na kukabiliana na Russia na China

    Kushadidi mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela na kukabiliana na Russia na China

    Apr 05, 2019 01:55

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro aliyechaguliwa kihalali na kwa njia ya demokrasia.

  • Ankara: Marekani ichague ama kushirikiana na Uturuki au magaidi

    Ankara: Marekani ichague ama kushirikiana na Uturuki au magaidi

    Apr 04, 2019 03:23

    Makamu wa Rais wa Uturuki amejibu matamshi ya Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence, ambaye aliitaka Ankara inunue ndege za kivita za F-35 kutoka Marekani badala ya kununua mfumo wa kujilinda na mashambulizi ya makombora wa S-400 kutoka kwa Russia.

  • Russia: Huwenda hatutoyatambua matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Ukraine

    Russia: Huwenda hatutoyatambua matokeo ya uchaguzi wa rais nchini Ukraine

    Apr 02, 2019 09:02

    Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Baraza la Shirikisho la Russia ameashiria uwepo wa ripoti zinazoonyesha kutokuwepo uzingatiaji wa sheria katika uchaguzi wa rais nchini Ukraine na kusema kuwa, huwenda serikali ya Moscow isitambue matokeo ya uchaguzi huo.

  • Radiamali ya Caracas dhidi ya vitisho vya Marekani kuhusiana na uwepo wa Russia nchini Venezuela

    Radiamali ya Caracas dhidi ya vitisho vya Marekani kuhusiana na uwepo wa Russia nchini Venezuela

    Mar 30, 2019 21:57

    Katika miaka mitatu ya hivi karibuni, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake huko Venezuela, imechukua hatua zenye lengo la kuiangusha serikali ya mrengo wa kushoto ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.

  • Sisitizo la Russia la wajibu wa kukabiliana vilivyo na vikwazo vya Marekani

    Sisitizo la Russia la wajibu wa kukabiliana vilivyo na vikwazo vya Marekani

    Mar 30, 2019 02:56

    Marekani ina historia ndefu na mbaya zaidi ya kutumia vikwazo dhidi ya nchi nyingine kwa ajili ya kuendeleza malengo yake ya kibeberu. Kwa kweli viongozi wa ngazi za juu wa Marekani wanaamini kuwa, vikwazo dhidi ya nchi nyingine ndio wenzo bora kwao wa kuweza kufanikishia malengo yao.

  • Jumamosi, Machi 30, 2019

    Jumamosi, Machi 30, 2019

    Mar 29, 2019 21:47

    Leo ni Jumamosi tarehe 23 Rajab 1440 Hijria mwafaka na tarehe 30 Machi 2019 Miladia.

  • Jibu la Moscow kwa vitisho vya Marekani dhidi ya uhusiano wa Russia na Venezuela

    Jibu la Moscow kwa vitisho vya Marekani dhidi ya uhusiano wa Russia na Venezuela

    Mar 28, 2019 06:57

    Marekani ingali inaendeleza sera zake kuhusu Venezuela zinazolenga kuipindua serikali na kumwondoa madarakani rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro anayefuata siasa za mrengo wa kushoto.

  • Malalamiko ya Wademocrat wa Marekani kwa ripoti ya Mike Mueller

    Malalamiko ya Wademocrat wa Marekani kwa ripoti ya Mike Mueller

    Mar 26, 2019 22:08

    Ushindi wa ghafla na uliojaa utata alioupata Donald Trump katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwezi Novemba 2016 ulipokewa kwa hasira kubwa na chama cha Democrat cha nchi hiyo.

  • Mikwaruzano inazidi kushadidi kati ya Marekani na Russia kuhusiana na Venezuela

    Mikwaruzano inazidi kushadidi kati ya Marekani na Russia kuhusiana na Venezuela

    Mar 26, 2019 02:24

    Kauli za tuhuma na uafriti wa Marekani dhidi ya Russia na Venezuela vimezidi kupamba moto kufuatia hatua ya Moscow kutuma shehena ya misaada nchini Venezuela.

  • Ndege za Russia zilizobeba shehena ya misaada zatua Venezuela zikiwa na maafisa wa kijeshi

    Ndege za Russia zilizobeba shehena ya misaada zatua Venezuela zikiwa na maafisa wa kijeshi

    Mar 25, 2019 03:20

    Ndege mbili za Russia zilizobeba tani elfu 35 za misaada zimetua mjini Caracas, mji mkuu wa Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS