Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Putin: Vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia vinaziathiri nchi zenyewe za Magharibi

    Putin: Vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia vinaziathiri nchi zenyewe za Magharibi

    May 27, 2022 02:28

    Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia kwa mara nyingine tena amezilaumu nchi za Magharibi kwa kuiwekea nchi yake vikwazo kwa kisingizio cha vita vya Ukraine na kusema kuwa, vikwazo hivyo vinaziathiri nchi zenyewe za Magharibi.

  • Russia yawawekea vikwazo zaidi ya wabunge 150 wa Uingereza

    Russia yawawekea vikwazo zaidi ya wabunge 150 wa Uingereza

    May 25, 2022 02:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imelipiza kisasi cha hatua za kiuadui zilizochukuliwa na Uingereza dhidi yake, kwa kutangaza kuwawekea vikwazo zaidi ya wabunge 150 wa Uingereza.

  • Nchi nne wanachama wa EU zataka fedha za Russia zilizozuiliwa zitumike kuijenga upya Ukraine

    Nchi nne wanachama wa EU zataka fedha za Russia zilizozuiliwa zitumike kuijenga upya Ukraine

    May 24, 2022 03:18

    Nchi nne wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zinatazamiwa kuwasilisha rasmi katika umoja huo barua ya kutaka mali na fedha za Russia zilizozuiliwa na EU zitumiwe kuijenga upya Ukraine baada ya kumalizika vita.

  • Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani

    Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani

    May 20, 2022 22:44

    "Dunia nzima imeathirika na uhaba wa chakula." Hayo yalisemwa siku ya Alhamisi na Majid Takht-e Ravanchi, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa.

  • Russia: Shirika

    Russia: Shirika "lililokufa ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya

    May 20, 2022 03:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova amegusia hatua ya shirika la kijeshi la NATO ya kutaka kuzipatia Finland na Sweden uanachama wa shirika hilo na akasema, shirika ambalo limekumbwa na "kifo cha ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya.

  • Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    Kushindwa Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo vya mafuta Russia

    May 17, 2022 22:34

    Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kikao cha mawaziri wa umoja huo mjini Brussels Ubelgiji kwamba, hakuna uwezekano wa kufikiwa makubaliano kuhusiana na kifurushi cha sita cha vikwazo dhidi ya Russia.

  • Marekani na NATO zafanya mazoezi ya kijeshi karibu na mipaka ya Russia

    Marekani na NATO zafanya mazoezi ya kijeshi karibu na mipaka ya Russia

    May 16, 2022 22:34

    Mazoezi ya kijeshi ya pamoja baina ya Marekani na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO yanaendelea hivi sasa katika ardhi ya Estonia, karibu na kambi za kijeshi za Russia.

  • Russia: Tumeteketeza vituo 104 vya kiijeshi vya Ukraine hadi hivi sasa

    Russia: Tumeteketeza vituo 104 vya kiijeshi vya Ukraine hadi hivi sasa

    May 16, 2022 06:16

    Wizara ya Ulinzi wa Russia imetangaza kuwa, hadi hivi sasa operesheni maalumu ya kijeshi ya nchi hiyo huko Ukraine iimeshateketeza vituo 104 vya kijeshi vya Ukraine.

  • Iran na Russia zaanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia

    Iran na Russia zaanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia

    May 14, 2022 06:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Ira na Russia zimeanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia kwa ajili ya kuendesha miraji ya pamoja ya ustawi na maendeleo katika uga huo.

  • Jamhuri ya Czech yachukua nafasi ya Russia katika Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jamhuri ya Czech yachukua nafasi ya Russia katika Baraza la Haki za Binadamu la UN

    May 11, 2022 03:14

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeipa Jamhuri ya Czech nafasi ya Russia baada ya kufuta uanachama wa Moscow kwenye baraza hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS