Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Russia: Marekani inawasaidia magaidi wanaoua watoto wa Palestina

    Russia: Marekani inawasaidia magaidi wanaoua watoto wa Palestina

    Jul 24, 2016 02:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, ripoti zinaonesha kuwa, watu waliomchinja mtoto wa Kipalestina na kuonesha mkanda wa video wa kitendo cha kukata kichwa cha mtoto huyo katika mitandao ya kijamii wanasaidiwa na kuungwa mkono na Marekani.

  • Putin: Madai ya urongo ya magharibi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran yamefikia mwisho

    Putin: Madai ya urongo ya magharibi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran yamefikia mwisho

    Jul 01, 2016 02:47

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, madai ya urongo ya nchi za Magharibi dhidi ya miradi ya kuzalisha nishati ya nyuklia kwa matumizi ya amani nchini Iran yamefikia tamati.

  • Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia

    Matatizo ya Waislamu wa Marekani hata baada ya kufariki kwao dunia

    May 24, 2016 03:35

    Waislamu wa Marekani hawakabiliwi na matatizo katika kipindi cha uhai wao tu bali hata wanapofariki dunia matatizo hayo bado huwaandama.

  • Baada ya US, Russia pia kununua maji mazito kutoka Iran

    Baada ya US, Russia pia kununua maji mazito kutoka Iran

    Apr 26, 2016 07:53

    Russia imetangaza kuwa inapania kununua maji mazito ya nyuklia ya Iran, siku chache baada ya Marekani kufanya muamala na Jamhuri ya Kiislamu juu ya bidhaa hiyo.

  • Russia yapinga matamshi ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Russia yapinga matamshi ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Mar 11, 2016 03:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amepinga vikali matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Ulinzi wa Marekani dhidi ya Moscow akisema kuwa yanaweka hatarini mchakato wa kurejesha amani nchini Syria.

  • Kerry: US, Russia zitalenga Daesh na al-Nusra nchini Syria

    Kerry: US, Russia zitalenga Daesh na al-Nusra nchini Syria

    Mar 01, 2016 07:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amesema kuwa Washington na Moscow zimekubaliana kutojadili madai ya kukiuka makubaliano ya usitishaji vita nchini Syria ambayo yalianza kutekelezwa hivi karibuni na kuongeza kuwa vikosi vya nchi mbili hizo vitalenga tu kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na al-Nusra katika mashambulizi yao.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS