-
Jeshi la Yemen lashambulia meli ya kivita za Saudia katika Bahari ya Sham
Aug 18, 2026 03:21Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya kivita na boti kadhaa za kijeshi za Saudia katika Bahari ya Sham, ikiwa ni sehemu ya jibu la kulipiza kisasi dhidi ya kampeni ya kijeshi na mzingiro unaoendelea wa ufalme wa Saudia dhidi ya taifa la Yemen.
-
Duru za kuaminika: Saudia imepinga Misri kuingizwa kwenye Makubaliano ya Makka
Aug 12, 2026 11:55Saudi Arabia ilipinga Misri kujiunga na Mkataba wa Pamoja wa Ulinzi wa Makka uliosainiwa na Saudia, Uturuki na Pakistan wiki iliyopita, licha ya Ankara kutoa msukumo wa Cairo kujumuishwa kwenye mkataba huo. Hayo yameripotiwa na vyanzo vitatu vya Saudi Arabia vyenye taarifa za majadiliano yaliyofanywa juu ya suala hilo.
-
Yemen yavishambulia vituo vya nishati vya Saudi baada ya nchi hiyo kukiuka anga ya Sa’adah na Hajjah
Aug 09, 2026 11:00Yemen imeishambulia miundombinu ya nishati ya Saudi Arabia ikiwa ni jibu kwa ndege zisizo na rubani za adui zinazokiuka anga ya mikoa ya Sa’adah na Hajjah huko Yemen.
-
Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan zasaini mkataba wa pamoja wa ulinzi huku nguvu ya Marekani ikipungua
Aug 08, 2026 02:46Saudi Arabia imesaini makubaliano ya pamoja ya ulinzi kati yake na Uturuki Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama wa pamoja na ushirikiano wa kijeshi huku nguvu za kijeshi za Marekani zikipungua katika eneo hili.
-
Mashambulizi mapya ya Yemen yaangamiza mamluki wa Saudia wasiopungua 58
Aug 07, 2026 13:39Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya operesheni kubwa iliyozilenga ngome za kijeshi na vituo vikuu vya kamanda za kijeshi zilizokuwa zikisimamiwa na mamluki wanaoungwa mkono na Saudi Arabia nchini humo.
-
Jeshi la Yemen lapiga meli nyingine ya mafuta ya Saudi Arabia katika Bahari Nyekundu
Aug 05, 2026 12:13Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya mafuta ya Saudi Arabia katika sehemu ya kaskazini ya Bahari Nyekundu, baada ya meli hiyo kukiuka mzingiro wa baharini uliowekwa dhidi ya Saudi Arabia.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia shabaha muhimu ndani ya Uwanja wa Ndege wa Najran, Saudi Arabia
Aug 05, 2026 02:55Jeshi la Yemen limekishambulia kituo cha kimkakati ndani ya uwanja wa ndege wa Najran kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni jibu kwa mashambulizi na mzingiro unaoendelea kufanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mkuu wa Aramco: Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha ‘mshtuko mkubwa kwa usambazaji wa mafuta katika historia’
Aug 05, 2026 02:51Mkurugenzi wa kampuni kubwa ya mafuta ya Saudi Arabia ya Aramco ameeleza kuwa kufungwa Lango-Bahari la Hormuz kumesababisha "mshtuko mkubwa zaidi wa usambazaji wa mafuta katika historia," na kwamba masoko ya dunia yamepoteza mapipa ya mafuta zaidi ya bilioni 2.6 tangu kuanza kutekelezwa hatua hiyo.
-
Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'
Jul 31, 2026 03:27Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.
-
Al-Nujaba ya Iraq yazionya US na Saudia: Shambulio lenu 'mtalilipia gharama kubwa'
Jul 30, 2026 11:05Harakat ya Hizbullah al-Nujaba ya Iraq imeonya kwamba maslahi ya Marekani na Saudi Arabia "yatalipa gharama kubwa" baada ya mashambulizi ya pamoja ya anga ya nchi hizo kulenga maeneo ya harakati hiyo ya Muqawama katika mikoa kadhaa ya Iraq usiku wa kuamkia jana, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine wengi.