-
Licha ya kujitweza, Saudia na UAE zinamdhalilisha Mansour Hadi
Dec 03, 2021 00:56Licha ya rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu na kutoroka nchi, Abdu Rabbuh Mansour Hadi kujipendekeza na kujitweza kwa Saudi Arabia na Imarati, lakini watawala wa Riyadh na Abu Dhabi wameendelea kumdhalilisha na kumtolea vitisho mwanasiasa huyo wa Yemen mwenye umri wa miaka 76.
-
Ilhan Omar: Uamuzi wa Marekani kuiuzia silaha Saudi Arabia haukubaliki
Nov 11, 2021 22:53Mbunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, hatua ya nchi hiyo kuiuzia silaha Saudi Arabia haikubaliki kutokana na silaha hizo kutumika kuulia raia wa Yemen.
-
Jeshi la Yemen ladhibiti ngome ya mwisho ya wavamizi Wasaudi huko Ma'rib
Nov 06, 2021 01:34Jeshi la Yemen limeendelea kusonga mbele katika mkoa wa Ma'rib na kuchukua udhibiti wa ngome ya mwisho iliyokuwa inakaliwa kwa mabavu na wanajeshi vamizi wa Saudi Arabia.
-
Matamshi ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia dhidi ya makundi ya muqawama Asia Magharibi
Nov 02, 2021 08:53Faisal bin Farhan al-Saud, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia amesema katika mahojiano na Kanali ya Televisheni ya al-Arabiya kwamba, matatizo na mvutano wa nchi yake na Lebanon ni zaidi ya matamshi ya waziri wa habari wa nchi hiyo, kwani Saudia haikubaliani kabisa na suala la kupata nguvu waitifaki wa Iran nchini Lebanon na katika eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.
-
Khatibzadeh: Mapatano ya awali yamefikiwa katika mazungumzo ya Iran na Saudia
Oct 31, 2021 09:02Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mapatano ya awali yamefikiwa katika mazungumzo baina ya Iran na Saudi Arabia.
-
Saudia yamwita nyumbani balozi wake wa Lebanon, yamtaka wa Lebanon pia aondoke nchini humo
Oct 29, 2021 23:53Saudi Arabia imemwita nyumbani balozi wake wa Lebanon na kumtaka balozi wa nchi hiyo pia aondoke mjini Riyadh, likiwa ni jibu kwa matamshi ya ukosoaji aliyotoa waziri wa habari wa Lebanon kuhusiana na uchokozi na uvamizi wa kijeshi uliofanywa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.
-
Riyadh yaomba msaada wa silaha wa Marekani ili kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen
Oct 29, 2021 00:17Ripoti imefichua kuwa Saudi Arabia imeiomba Marekani iipatie silaha ili iboreshe mifumo yake ya makombora na hivyo kuweza kukabiliana na mashambulizi ya jeshi la Yemen.
-
Uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Saudi Arabia waanza rasmi, meli ya kwanza ya Iran yatia nanga Saudia
Oct 28, 2021 03:55Mkuu wa Shirikisho la Usafirishaji Nje Bidhaa za Iran amesema kuwa, uhusiano wa kiuchumi wa nchi yake na Saudi Arabia umeanza rasmi baada ya meli moja yenye bidhaa za Iran kutia nanga katika moja ya bandari za Saudia.
-
Saudi Arabia yaweka masharti mapya kwa Waislamu wanaotaka kwenda kufanya Umra
Oct 10, 2021 23:00Wizara ya Hija na Waqfu ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, itatoa kibali cha kwenda kutekeleza faradhi ya Hija au Umra katika haram mbili tukufu za Makka na Madina kwa wale tu waliopigwa chanjo mbili za kinga ya ugonjwa wa Covid-19 zitakazothibitishwa na nchi hiyo.
-
UN: Mazungumzo baina ya Iran na Saudi Arabia ni "muhimu sana"
Oct 08, 2021 03:59Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia ni "muhimu sana".