-
Khatibzadeh: Iran imefanya mazungumzo yenye tija na Saudi Arabia
Sep 23, 2021 22:46Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa katika miezi michache iliyopita kumefanyika mawasiliano ya mara kwa mara kati ya Iran na Saudi Arabia na kuongeza kuwa, mazungumzo mazuri yamefanyika juu ya maswala yanayozihusu pande mbili.
-
Alkhamisi tarehe 23 Septemba 2021
Sep 23, 2021 00:42Leo ni Alkhamisi tarehe 16 Safar 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 23 Septemba 2021.
-
Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel
Sep 20, 2021 03:31Mbunge wa Kongresi ya Marekani amebuni muswada unaopiga marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa tawala za Saudi Arabia na Israel.
-
Maelfu ya Wakenya wataka kuelekea Saudia kutafuta kibarua licha ya manyanyaso wanayokumbana nayo
Sep 09, 2021 08:11Licha ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia wakiwa huko Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi wakilalamikia kuchelewa kupata tiketi ya ndege kwenda kufanyia kazi Uarabuni.
-
Jibu kali la Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen kwa mawaziri wenzake wa Marekani na Uingereza
Sep 07, 2021 06:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amezitaka Marekani na Uingereza kutoa mchango chanya na kutoegemea upande wowote katika juhud za kurejesha amani huko Yemen.
-
Saudi Arabia ni nchi mbaya zaidi duniani kwa upande wa ukiukaji wa uhuru hasa wa kisiasa
Sep 07, 2021 06:38Taasisi moja ya Utafiti ya nchini Marekani imetangaza kuwa Saudi Arabia ni nchi ya saba kwa kukiuka uhuru na demokrasia duniani.
-
Alkhamisi tarehe tarehe 19 Agosti 2021
Aug 18, 2021 21:49Leo ni Alkhamisi tarehe 10 Muharram 1443 Hijria sana na Agosti 19 mwaka 2021.
-
HAMAS yautaka utawala wa Saudi Arabia uwaachilie huru mahabusu wa Kipalestina
Aug 05, 2021 08:12Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameitaka Saudi Arabia iwaachilie huru mahabusu wote Wapalestina inaowashikilia na kufunga faili lao.
-
Amnesty International: Ukandamizaji umeongezeka sana nchini Saudi Arabia
Aug 03, 2021 20:25Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, Saudi Arabia imezidisha ukandamiza dhidi ya raia baada ya kumalizika muda wa uenyekiti wake katika kundi la G20.
-
Algeria yaipokonya leseni televisheni ya Saudia kwa 'upotoshaji'
Aug 01, 2021 03:32Serikali ya Algeria imeipokonya kanali moja ya televisheni ya Saudi Arabia leseni ya kuhudumu nchini humo.