Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Seneta muitifaki wa Trump: Bila

    Seneta muitifaki wa Trump: Bila "kumshughulikia" Bin Salman, uhusiano wa Marekani na Saudia hauwezi kuendelea

    Jan 19, 2019 12:03

    Uhusiano kati ya Marekani na Saudi Arabia hauwezi kupiga hatua mbele bila ya "kushughulikiwa" mrithi wa Ufalme wa Saudia, Muhammad bin Salman. Hayo yamesemwa na Lindsey Graham, Seneta wa chama cha Repubican na muitifaki wa karibu wa Rais wa Marekakni Donald Trump.

  • Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jan 18, 2019 23:36

    Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.

  • Mwanasiasa Uturuki: Kufeli Saudia Yemen kumebatilisha njozi za US za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya

    Mwanasiasa Uturuki: Kufeli Saudia Yemen kumebatilisha njozi za US za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya

    Jan 16, 2019 01:13

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Uturuki amesema kuwa, kushindwa Saudi Arabia kuidhibiti Yemen katika vita vyake dhidi ya nchi hiyo, kumebatilisha ndoto za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya.

  • Wayemen wafanya shambulizi jingine la ndege isiyo na rubani kusini mwa Saudia

    Wayemen wafanya shambulizi jingine la ndege isiyo na rubani kusini mwa Saudia

    Jan 15, 2019 04:39

    Kikosi cha mizinga cha jeshi la Yemen kwa kushirikiana na Harakati ya Wananchi ya Answarullah, kimefanya shambulizi katika mji wa Najran, kusini mwa Saudi Arabia.

  • Washington Post: Mohammad bin Salman amezidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani

    Washington Post: Mohammad bin Salman amezidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani

    Jan 11, 2019 13:05

    Gazeti la Washington Post la Marekani limeanika kwamba Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia na mtuhumiwa nambari moja wa mauaji dhidi ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji wa Saudia, anaendelea kufanya ukandamizaji dhidi ya wapinzani wake nchini humo.

  • Makundi yanayoungwa mkono na Saudia yakasirishwa na nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano tena na Syria

    Makundi yanayoungwa mkono na Saudia yakasirishwa na nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano tena na Syria

    Jan 07, 2019 04:17

    Makundi ya wanamgambo nchini Syria yanayoungwa na mkono na Saudi Arabia yamekasirishwa na hatua ya mataifa ya Kiarabu ya kuanzisha tena uhusiano wao na serikali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar al-Assad.

  • Guardian: Saudia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani

    Guardian: Saudia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani

    Jan 05, 2019 23:06

    Gazeti la Uingereza la The Guardian limeripoti kuwa Saudi Arabia ndiyo yenye rekodi mbaya zaidi ya haki za binadamu duniani.

  • Wanawake wafungwa wa kisiasa Saudi Arabia wakabiliwa na mateso makali

    Wanawake wafungwa wa kisiasa Saudi Arabia wakabiliwa na mateso makali

    Jan 04, 2019 23:11

    Wafungwa wa kisiasa waliopo jela nchini Saudi Arabia wanakabiliwa na mateso makali zaidi wanayofanyiwa kwa kutumia njia mbalimbali.

  • Wimbi jipya la mabadiliko katika serikali ya Saudia na kuzidi kuwa tete anga ya kisiasa ya nchi hiyo

    Wimbi jipya la mabadiliko katika serikali ya Saudia na kuzidi kuwa tete anga ya kisiasa ya nchi hiyo

    Dec 28, 2018 21:36

    Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia, siku ya Alkhamisi alitoa amri ya dharura ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri la nchi hiyo.

  • Saudia yatishia kuwaadhibu raia wake waliokwenda Russia na kukataa kurudi nyumbani

    Saudia yatishia kuwaadhibu raia wake waliokwenda Russia na kukataa kurudi nyumbani

    Dec 28, 2018 03:31

    Ubalozi wa Saudia mjini Moscow umetishia kuwa, Riyadh itawaadhibu vikali raia wa nchi hiyo waliokwenda kwenye mashindano ya fainali za kombe la dunia la mpira wa miguu nchini Russia na hadi hivi sasa wanang'ang'ania kubakia huko huko hawataki kurudi nchini Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS