-
Nasrallah: Wamarekani wamefahamu hatari ya Trump, yeye ni mfano halisi wa uistikbari
Jan 09, 2021 02:56Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio ya hivi karibuni katika Bunge la Congress nchini Marekani yamepelekea Wamarekani wafahamu hatari ya rais wa nchi hiyo anayeondoka Donald Trump. Aidha amesema matukio hayo ni mfano halisi na wa wazi wa ubeberu na uistikbari wa Marekani.
-
Nukta nne muhimu katika hotuba ya Sayyid Nasrullah kwa mnasaba wa hauli ya Qassim Suleimani
Jan 05, 2021 11:47Hotuba ya Samahat Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kutimia mwaka mmoja tangu wauawe shahidi Luteni Jenerali Qassim Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al-Hashd Al-Shaabi ilikuwa na nukta kadhaa muhimu na zenye mazingatio makubwa.
-
Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen
Dec 29, 2020 02:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah Jumapili 27 Disemba alifanya mahojiano muhimu na Televisheni ya Al Mayadeen ya Lebanon. Katika mahojiano hayo aliwakumbuka na kuwawenzi Shahidi Luteni Jenerali Hajj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Nasrullah afichua njama ya kumuua na namna Saudia ilivyohusika katika mauaji ya shahid Qassem Suleimani
Dec 28, 2020 04:10Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, kusudio la kuwaua viongozi na makamanda wa harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu ni lengo la pamoja la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akabainisha kwamba, zimetolewa indhari na masisitizo na duru tofauti kuhusu uwezekano wa yeye kuuawa katika kipindi cha karibuni.
-
Nasrullah: Utawala wa Trump ndio mbaya zaidi katika historia ya Marekani
Nov 12, 2020 07:27Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa rais anayeondoka wa Marekani, Donald Trump ndiyo serikali mbaya zaidi katika historia ya nchi hiyo.
-
Sayyid Nasrullah: Magaidi hawana uhusiano na Mtume, nchi za Magharibi ziache kuwalinda
Oct 31, 2020 07:38Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, jinai zinazofanywa na magenge ya kigaidi yaliyoundwa na kuungwa mkono na madola ya Magharibi, hazina uhusiano wowote na Mtume Muhammad SAW wala umma wa Kiislamu na amezitaka nchi za Magharibi ziache kuyalinda magenge hayo ya ukufurishaji.
-
Kwa nini wanaiogopa Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS?
Oct 08, 2020 11:53Siku kama ya leo miaka 1381 iliyopita kwa mujibu wa kalenda ya Kiislamu, ilifanyika majlisi ya kwanza ya siku ya Arubaini tangu kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW Imam Hussein bin Ali AS na watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume ambao waliuawa shahidi tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria.
-
Nasrallah: Lengo la kuuawa kigaidi Soleimani na Abu Mahdi Al Muhandis lilikuwa ni kuhuisha ISIS
Sep 30, 2020 07:03Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema magaidi wa Marekani walilenga kuhusisha kundi la kigaidi la ISIS walipowaua shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (Hashd al Shaabi).
-
Mazungumzo baina ya viongozi wawili wa muqawama, mshikamano wa kambi ya muqawama dhidi ya kambi ya mapatano na Israel
Sep 07, 2020 02:35Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameonana ana kwa ana na Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kuzungumza naye mambo muhimu yanayohusiana na kambi ya muqawama.
-
Nasrullah: Kuanzisha uhusiano na Israel ni huduma ya bwerere kwa Netanyahu na Trump
Aug 31, 2020 02:34Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kubainisha kuwa: Kitendo hicho cha Abu Dhabi ni huduma bila malipo kwa watawala wa Marekani na Israel wanaoadamwa na misukosuko ya kisiasa.