-
Hujuma ya vyombo vya habari, stratijia muhimu zaidi ya kupiga vita kambi ya Muqawama
Aug 30, 2020 09:47Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema katika hotuba yake ya siku ya Ashura kwamba hujuma ya vyombo vya habari ndiyo stratijia ya sasa ya maadui dhidi ya wanamapambano ya ukombozi dhidi ya utawala haramu wa Israel na washirika wake.
-
Nasrullah: Mapambano ya Hizbullah hayaishii ndani ya mipaka ya Lebanon
Aug 23, 2020 07:50Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kutekeleza majukumu kwa ajili ya kuisaidia jamii yote ya wanadamu ni jambo la wajibu kwa mujibu wa thamani za Uislamu, na kwamba mipaka ya kijografia na kisiasa haipaswi kuwa kizingiti cha kutekeleza wajibu huo.
-
Nukta tano muhimu katika hotuba ya Sayyid Hassan Nasrallah katika mwaka wa 14 wa ushindi wa Vita vya Siku 33
Aug 15, 2020 09:46Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Ijumaa usiku alizungumza kwa mnasaba wa mwaka wa 14 wa ushindi wa harakati hiyo ya muqawama katika Vita vya Siku 33 vya Mwaka 2006.
-
Msimamo wa Sayyid Nasrullah kuhusu mlipuko wa bandari ya Beirut
Aug 08, 2020 14:46Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah jana usiku alizungumzia mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut akisisitiza udharura wa kutambuliwa wahusika wake na kukaribisha misaada ya nchi za kigeni kwa Lebanon.
-
Haaretz: Nasrullah ana taathira na ushawishi usio wa kawaida kwa Waisraeli
Jul 20, 2020 03:38Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, kinachoyafanya maneno ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah yawe na taathira isiyo ya kawaida kwa Wazayuni ni ukweli wake, kutokuwa na mzaha katika kauli zake na uwelewa alionao kwa masuala ya Israel.
-
Mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah kuhusu hali ya ndani na ya siasa za kigeni ya Lebanon
Jul 09, 2020 07:01Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Jumanne usiku alitoa hotuba muhimu na kuzungumzia hali ya ndani na siasa za kigeni za nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Sayyid Hassan Nasrallah abainisha nafasi ya leo ya harakati ya muqawama
May 28, 2020 02:21Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu MKuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amefanya mahojiano kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 20 wa kukombolewa eneo la kusini mwa Lebanon ambalo lilikuwa limekaliwa kwa mabavu na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel. Jeshi hilo la Kizayuni lililazimika kuondoka kwa madhila kusini mwa Lebanon mnamo Mei 25 mwaka 2000.
-
Vipengee vitatu vikuu vya hotuba ya Siku ya Quds ya Sayyid Hasan Nasrullah kuhusu Palestina
May 24, 2020 02:45Sayyid Hasan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon siku ya Ijumaa alitoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa mwaka wa 41 wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na sisi katika uchambuzi huu wa kisiasa tutachambua baadhi ya vipengee muhimu vya hotuba yake hiyo.
-
Sayyid Nasrallah: Bila shaka Israel itasambaratika; vita asili vitakuwa na Marekani
May 23, 2020 03:35Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna shaka kuwa utawala wa Israel utasambaratika na amesisitiza kuwa, vita asili vitakuwa na Marekani.
-
Sayyid Hassan Nasrallah atetea msimamo wa Iran kuhusu mgogoro wa Syria
May 15, 2020 07:33Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ametoa hotuba yenye kukosoa vikali sera za Marekani na utawala Israel kuhusu misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mgogoro wa Syria.