Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Nishati ya Atomiki

  • Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia

    Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia

    Apr 09, 2019 15:07

    Katika sherehe za 13 za Siku ya Kitaifa ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mafanilkio 114 ya nyuklia nchini.

  • Iran yasisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vya kibenki ili kulinda makubaliano ya JCPOA

    Iran yasisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vya kibenki ili kulinda makubaliano ya JCPOA

    Dec 11, 2017 03:34

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) amesema kuwa, kuondolewa vikwazo vya ushirikiano ukiwemo uga wa ushirikiano wa kibenki ni jambo la dharura kwa ajili ya kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yaipongeza IAEA kwa kupuuza mashinikizo ya US dhidi yake

    Iran yaipongeza IAEA kwa kupuuza mashinikizo ya US dhidi yake

    Sep 02, 2017 07:39

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza msimamo wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA wa kutoa ripoti isiyoegemea upande wowote sambamba na kupuza mashinikizo ya Marekani ya kuutaka ukague vituo vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • IAEA: Hatutakubali mashinikizo ya US ya kukagua vituo vya kijeshi vya Iran

    IAEA: Hatutakubali mashinikizo ya US ya kukagua vituo vya kijeshi vya Iran

    Aug 31, 2017 14:04

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umeeleza kushangazwa kwake na mashinikizo ya Marekani ya kuutaka ukague vituo vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa hauoni dharura au haja ya kufanya ukaguzi huo.

  • Dakta Salehi: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA litakuwa la kushtukiza

    Dakta Salehi: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA litakuwa la kushtukiza

    Aug 10, 2017 13:58

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa, kama Iran ikitaka kutoa jibu kwa ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA) basi jibu lake litakuwa ni la kushtukiza.

  • Salehi: Machaguo yote yako mezani endapo Marekani itakiuka JCPOA

    Salehi: Machaguo yote yako mezani endapo Marekani itakiuka JCPOA

    Aug 08, 2017 14:49

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) Ali Akbar Salehi amesema Tehran itaweka machaguo yote mezani endapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 yaliyosainiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi zinazounda kundi la 5+1.

  • Iran iko tayari kushirikiana kinyuklia na nchi za eneo

    Iran iko tayari kushirikiana kinyuklia na nchi za eneo

    Dec 27, 2016 04:43

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema suala la nyuklia linaweza kuwa msingi wa ushirikiano kati ya Iran na nchi za eneo katika utumiaji wa teknolojia hiyo mpya kwa malengo ya amani.

  • IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yathibitisha kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Dec 07, 2016 07:22

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umesema hatua ya Iran kuuza nje ya nchi maji mazito ya nyuklia ni katika sehemu ya kuonyesha kufangamana kwake na makubaliano ya nyuklia.

  • Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi

    Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi

    Oct 18, 2016 15:29

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema karibuni dawamiale (Radiopharmaceuticals) zinazotengezwa nchini zitaanza kusafirishwa na kuuzwa kwa wingi nje ya nchi.

  • Salehi: Hatoitumia Marekani maji mazito ya nyuklia

    Salehi: Hatoitumia Marekani maji mazito ya nyuklia

    May 31, 2016 07:43

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, Tehran imeamua kutoitumia tena Marekani maji mazito ya nyuklia.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS