Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Ripoti: Viongozi wa RSF wamejenga na kulimbikiza mali za mamilioni ya pesa kwa himaya ya Imarati

    Ripoti: Viongozi wa RSF wamejenga na kulimbikiza mali za mamilioni ya pesa kwa himaya ya Imarati

    Apr 28, 2026 09:34

    Viongozi wa wanamgambo wa Sudan wanaojulikana kwa jina la Kikosi cha Msaada wa Haraka au Rapid Support Forces (RSF) na mtandao wao wamekusanya mamilioni ya mali za kifahari huko Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • CIG: UAE iliwalipa mamluki wa Colombia ili kuwasaidia wanamgambo Sudan kufanya mauaji ya kimbari

    CIG: UAE iliwalipa mamluki wa Colombia ili kuwasaidia wanamgambo Sudan kufanya mauaji ya kimbari

    Apr 26, 2026 08:45

    Umoja wa Falme za Kiarabu uliwapa mamluki wa Colombia kulisaidia kundi la wanamgambo wa Sudan, la Rapid Support Forces (RSF), kuwaua maelfu ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mashariki mwa Afrika.

  • Mgogoro wa binadamu nchini Sudan waongezeka baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Mgogoro wa binadamu nchini Sudan waongezeka baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Apr 25, 2026 05:05

    Uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran katika Vita vya Ramadhani na ukosefu wa usalama katika Mlango-Bahari wa Hormuz na kuzingirwa kwake na Marekani, ambayo ndiyo njia kuu ya kupitisha nishati na vifaa vya matibabu kote duniani, kumezidisha mgogoro wa binadamu nchini Sudan.

  • Al-Burhan atoa fursa ya msamaha kwa wapiganaji wa RSF watakaoweka silaha zao chini

    Al-Burhan atoa fursa ya msamaha kwa wapiganaji wa RSF watakaoweka silaha zao chini

    Feb 25, 2026 03:29

    Mwenyekiti wa Baraza la Utawala la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, ametangaza fursa ya msamaha kwa wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) ikiwa wataweka silaha zao chini.

  • Sudan: Pendekezo lolote la kumaliza vita linapasa kulinda maslahi ya taifa na umoja wa ardhi ya nchi hiyo

    Sudan: Pendekezo lolote la kumaliza vita linapasa kulinda maslahi ya taifa na umoja wa ardhi ya nchi hiyo

    Feb 24, 2026 04:30

    Sudan imesema kuwa pendekezo lolote la kumaliza vita na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) linapasa kuzingatia maslahi makuu ya nchi hiyo, mshikamano na umoja wa ardhi nzima ya nchi hiyo.

  • Chad yatangaza kufunga mpaka wake na Sudan kuzuia kuenea mapigano mpakani mwake

    Chad yatangaza kufunga mpaka wake na Sudan kuzuia kuenea mapigano mpakani mwake

    Feb 24, 2026 00:35

    Chad imetangaza kuwa, ili kuzuia kuenea mapigano kwenye maeneo ya mpakani, inaufunga mpaka wake wa pamoja na Sudan hadi itakapotolewa taarifa nyingine.

  • Al-Burhan: Hakutakuwa na suluhu Sudan mpaka RSF iondoke kwenye maeneo yote inayoyakalia

    Al-Burhan: Hakutakuwa na suluhu Sudan mpaka RSF iondoke kwenye maeneo yote inayoyakalia

    Feb 20, 2026 22:53

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema hakutakuwa na usitishaji mapigano mpaka pale Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vitakapojiondoa kwenye kile alichokieleza kuwa ni maeneo vinayoyakalia na kujikusanya upya katika maeneo yaliyotengwa.

  • Wachunguzi wa UN: Yumkini mauaji ya halaiki yamefanyika El-Fasher

    Wachunguzi wa UN: Yumkini mauaji ya halaiki yamefanyika El-Fasher

    Feb 19, 2026 23:57

    Ujumbe wa kutafuta ukweli wa Umoja wa Mataifa umesema ukatili uliofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF wakati wa kuutwaa mji wa El-Fasher huko Darfur Magharibi nchini Sudan mwezi Oktoba mwaka jana, una "alama za mauaji ya kimbari" dhidi ya jamii za Zaghawa na Fur.

  • Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa

    Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa

    Feb 18, 2026 23:33

    Nchi 24 za Magharibi zimeelezea wasiwasi wao kuhusu mauaji yanayoendelea kufanywa dhidi ya raia, uharibifu wa miundombinu na mashambulizi dhidi ya taasisi za misaada ya kibinadamu nchini Sudan, zikitoa wito kwa jeshi la Sudan na wapiganaji wa kundi la waasi la Rapid Support Forces kusitisha mapigano.

  • Watu 3 wameuawa na 7 kujeruhiwa katika shambulio la droni la RSF hospitalini katika jimbo la Sennar, Sudan

    Watu 3 wameuawa na 7 kujeruhiwa katika shambulio la droni la RSF hospitalini katika jimbo la Sennar, Sudan

    Feb 16, 2026 22:57

    Mashambulizi wa ndege zisizo na rubani (droni) ya wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF)yameuwa watu watatu na kuwajeruhi wengine saba katika Hospitali ya Al-Mazmoum katika jimbo la Sennar kusini mashariki mwa Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS