Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?

    Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?

    May 08, 2025 05:52

    Sauti ya ving'ora inasikika kutoka mbali. Moshi mweusi unatanda angani kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Port Sudan. Umati mkubwa wa watu unakimbia kuelekea moja ya kambi za maficho za muda.

  • Shambulio jingine la droni laripotiwa Port Sudan, pande hasimu zinaendelea kupigana

    Shambulio jingine la droni laripotiwa Port Sudan, pande hasimu zinaendelea kupigana

    May 08, 2025 02:20

    Watu walioshuhudia jana Jumatano waliripoti kujiri shambulio jingine la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Sudan wa Port Sudan huku mapigano makali yakiendelea kati ya Jeshi la Taifa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).

  • Iran yalaani shambulio dhidi ya Port Sudan lililoua mamia ya watu

    Iran yalaani shambulio dhidi ya Port Sudan lililoua mamia ya watu

    May 05, 2025 02:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la ndege isiyo na rubani ambalo lililenga uwanja wa ndege pamoja na maeneo na vituo vya kiraia mashariki mwa Sudan.

  • Sudan: Waasi wa RSF wameua raia zaidi ya 300 Kordofan

    Sudan: Waasi wa RSF wameua raia zaidi ya 300 Kordofan

    May 05, 2025 02:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imevituhumu Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwa kufanya "mauaji ya halaiki" dhidi ya raia huko Al-Nahud katika jimbo la Kordofan Magharibi, kusini mwa nchi na kusababisha vifo vya watu 300.

  • RSF yafanya shambulio la kwanza la droni Port Sudan

    RSF yafanya shambulio la kwanza la droni Port Sudan

    May 04, 2025 07:43

    Msemaji wa jeshi la Sudan ametangaza leo kuwa wanamgambo wa kikosi cha RSF wamefanya shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) katika kambi ya jeshi la nchi hiyo na katika vituo vingine karibu na uwanja wa ndege wa Port Sudan. Hili ni shambulio la kwanza kuwahi kufanywa na wanamgambo wa RSF katika mji huo wa bandari wa mashariki.

  • UN: Ukatili unaofanyika Sudan hauna mipaka; vifo vyaongezeka Darfur

    UN: Ukatili unaofanyika Sudan hauna mipaka; vifo vyaongezeka Darfur

    May 02, 2025 02:53

    Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu 540 wameuawa huko Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan katika muda wa wiki tatu zilizopita, huku wanajeshi wakizidisha opereseheni zao za kuukomboa mji wa el-Fasher, makao makuu ya jimbo hilo.

  • Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri

    Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri

    Apr 30, 2025 11:21

    Makumi ya maelfu ya Wasudani waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na vita sasa wanarejea nchini licha ya vita kuendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya Sudan.

  • Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman

    Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman

    Apr 28, 2025 07:59

    Raia wasiopungua 31 wa Sudan wakiwemo watoto wameuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa Sudan Khartoum.

  • RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini

    RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini

    Apr 23, 2025 02:23

    Raia wasiopungua 47 wameuawa katika mashambulizi ya mizinga yalilofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini magharibi mwa Sudan.

  • Katibu Mkuu wa Hilali Nyekundu Sudan: Vita haviheshimu chochote

    Katibu Mkuu wa Hilali Nyekundu Sudan: Vita haviheshimu chochote

    Apr 19, 2025 06:50

    Huku vita vya ndani huko Sudan vikiingia katika mwaka wa tatu, Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Sudan (Hilali Nyekundu) SRCS ametahadharisha kuhusu kuongezeka hatari zinazowakabili wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu katika mazingira magumu wanayofanyia kazi wakati wakitoa huduma kwa mamilioni ya watu walioathiriwa na vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS