-
Karibu watu 20,000 wamelazimika kuhama makazi yao kufuatia kushtadi mapigano jimboni Blue Nile, Sudan
Aug 31, 2026 04:33Karibu watu 20,000 wamelazimika kuhama makazi yao katika jimbo la Blue Nile nchini Sudan kufuatia kuzorota hali ya usalama na kuongezeka hatari zinazowakabili wakazi wa eneo hilo. Haya yameripotiwa jana na shirika moja la misaada linalohudumu Sudan.
-
Sudan yafuta marufuku ya kutoka nje Khartoum, mafuriko yameharibu makumi ya nyumba Kordofan Kusini
Aug 29, 2026 02:46Serikali ya Sudan imetangaza kufutwa marufuku ya kutoka nje katika jimbo la Khartoum baada ya karibu miaka miwili ya utekelezaji wake kutokana na vita kati ya Jeshi la Taifa na waasi wa Rapid Support Forces (RSF).
-
Wapinzani Sudan wapinga mazungumzo ya kitaifa ya Burhan
Aug 26, 2026 03:30Mkutano mkubwa wa makundi ya kisiasa na asasi za kiraia za Sudan zinayopinga vita umemalizika huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia.
-
Malik Agar: Chaguo letu ni suluhisho la kijeshi hadi mazingira ya mazungumzo yatakapotimizwa
Aug 23, 2026 14:19Malik Agar, naibu mkuu wa Baraza Kuu la Utawala nchini Sudan, amesema kwamba chaguo la sasa ni suluhisho la kijeshi mpaka pale mazingira ya kufanyika mazungumzo yatakapotimizwa, akisisitiza kwamba Khartoum inalitaka kundi la Rapid Support Forces (RSF) kuondoka katika miji na maeneo ya makazi ya raia kabla ya mazungumzo yoyote kuanza.
-
Vita vya Sudan: Wapiganaji 318 wa RSF wajiunga na jeshi
Aug 20, 2026 03:21Jeshi la Sudan limeripoti kuwa wapiganaji 318 wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), wakiwemo makamanda wanne wameasi na kujiunga na jeshi hilo katika tukio la hivi karibuni la wanachama wa kikosi hicho cha kijeshi kuamua kujisalimisha.
-
Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu
Aug 19, 2026 10:52Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.
-
Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan: Jeshi liko tayari kwa amani; apinga kurejea madarakani RSF
Aug 16, 2026 03:12Mkuu wa Baraza la Uongozi la Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa jeshi bado limedhamiria kuwashinda wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF)—kikosi cha kijeshi kisicho rasmi- na amesisitiza kuwa jeshi liko tayari kupokea kile alichokiita juhudi za "kweli" za amani.
-
Mtawala wa Dubai 'azongwa' kwenye mitaa ya London kwa kuhusika UAE katika vita vya Sudan
Aug 12, 2026 03:31Mtawala wa Dubai ambaye ni waziri mkuu wa Muungano wa Falme za Kiarabu, UAE amezongwa kwa maneno katika mitaa ya katikati mwa mji mkuu wa Uingereza, London kuhusiana na ushiriki wa nchi yake katika vita vya ndani nchini Sudan.
-
Kitengo cha "Kundi 26" cha RSF chajisalimisha kwa jeshi la Sudan
Aug 02, 2026 02:45Shirika la Habari la Sudan SUNA limetangaza kuwa, kitengo kimoja cha Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF kimejisalimisha kwa jeshi na kukabidhi wanajeshi wake na vifaa kamili vya kijeshi.
-
Al-Burhan atembelea miji ya kimkakati ya Sudan iliyokombolewa kutoka kwa RSF
Jul 29, 2026 02:19Mwenyekiti wa Baraza la Mpito la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametembelea miji ya Umm Sayala na Jabrat al-Sheikh katika jimbo la Kordofan Kaskazini siku moja baada ya jeshi kuchukua udhibiti wa maeneo mawili kutoka kwa wapiganaji wa RSF.