-
Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?
May 08, 2025 05:52Sauti ya ving'ora inasikika kutoka mbali. Moshi mweusi unatanda angani kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Port Sudan. Umati mkubwa wa watu unakimbia kuelekea moja ya kambi za maficho za muda.
-
Shambulio jingine la droni laripotiwa Port Sudan, pande hasimu zinaendelea kupigana
May 08, 2025 02:20Watu walioshuhudia jana Jumatano waliripoti kujiri shambulio jingine la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Sudan wa Port Sudan huku mapigano makali yakiendelea kati ya Jeshi la Taifa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF).
-
Iran yalaani shambulio dhidi ya Port Sudan lililoua mamia ya watu
May 05, 2025 02:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la ndege isiyo na rubani ambalo lililenga uwanja wa ndege pamoja na maeneo na vituo vya kiraia mashariki mwa Sudan.
-
Sudan: Waasi wa RSF wameua raia zaidi ya 300 Kordofan
May 05, 2025 02:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imevituhumu Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kwa kufanya "mauaji ya halaiki" dhidi ya raia huko Al-Nahud katika jimbo la Kordofan Magharibi, kusini mwa nchi na kusababisha vifo vya watu 300.
-
RSF yafanya shambulio la kwanza la droni Port Sudan
May 04, 2025 07:43Msemaji wa jeshi la Sudan ametangaza leo kuwa wanamgambo wa kikosi cha RSF wamefanya shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) katika kambi ya jeshi la nchi hiyo na katika vituo vingine karibu na uwanja wa ndege wa Port Sudan. Hili ni shambulio la kwanza kuwahi kufanywa na wanamgambo wa RSF katika mji huo wa bandari wa mashariki.
-
UN: Ukatili unaofanyika Sudan hauna mipaka; vifo vyaongezeka Darfur
May 02, 2025 02:53Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu 540 wameuawa huko Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan katika muda wa wiki tatu zilizopita, huku wanajeshi wakizidisha opereseheni zao za kuukomboa mji wa el-Fasher, makao makuu ya jimbo hilo.
-
Maelfu waliokimbia vita Sudan wanarejea nchini kutoka Misri
Apr 30, 2025 11:21Makumi ya maelfu ya Wasudani waliolazimika kuhama makazi yao kutokana na vita sasa wanarejea nchini licha ya vita kuendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya Sudan.
-
Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman
Apr 28, 2025 07:59Raia wasiopungua 31 wa Sudan wakiwemo watoto wameuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa Sudan Khartoum.
-
RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini
Apr 23, 2025 02:23Raia wasiopungua 47 wameuawa katika mashambulizi ya mizinga yalilofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini magharibi mwa Sudan.
-
Katibu Mkuu wa Hilali Nyekundu Sudan: Vita haviheshimu chochote
Apr 19, 2025 06:50Huku vita vya ndani huko Sudan vikiingia katika mwaka wa tatu, Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Sudan (Hilali Nyekundu) SRCS ametahadharisha kuhusu kuongezeka hatari zinazowakabili wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu katika mazingira magumu wanayofanyia kazi wakati wakitoa huduma kwa mamilioni ya watu walioathiriwa na vita.