Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Iran na Sudan zasisitiza kupanua ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara

    Iran na Sudan zasisitiza kupanua ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara

    Nov 07, 2024 23:07

    Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran na Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Sudan wamekutana na kujadili upanuzi wa uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara.

  • RSF yaendeleza hujuma za umwagaji damu Sudan

    RSF yaendeleza hujuma za umwagaji damu Sudan

    Nov 03, 2024 03:13

    Kwa akali watu 18 wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa katika mashambulizi mawili tofauti ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • UN: Vita vya Sudan vimesababisha watu milioni 14 kuwa wakimbizi

    UN: Vita vya Sudan vimesababisha watu milioni 14 kuwa wakimbizi

    Oct 29, 2024 23:58

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, vita vya zaidi ya mwaka mmoja na nusu huko Sudan vimepelekea watu zaidi ya milioni 14 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.

  • Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan

    Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan

    Oct 27, 2024 07:40

    Mashambulizi yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko kaskazini na mashariki mwa jimbo la Gezira nchini Sudan yametajwa na taasisi ya kieneo ya Gezira Conference kuwa ni mauaji ya halaiki.

  • Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi

    Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi

    Oct 24, 2024 02:47

    Sudan imezishutumu nchi za Magharibi kwa kuingiza siasa katika suala la misaada ya kibinadamu na kulilaumu jeshi la Sudan na serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika kwa 'kuzuia misaada.'

  • Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan

    Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan

    Oct 23, 2024 06:38

    Takriban raia 46 wameuawa huku wengine 44 wajeruhiwa katika siku mbili za mapigano kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha Radimali ya Haraka (RSF) katika majimbo ya Khartoum na Al-Jazira.

  • Jeshi la Sudan lafanya mashambulizi ili kudhibiti mji wa Khartoum

    Jeshi la Sudan lafanya mashambulizi ili kudhibiti mji wa Khartoum

    Sep 26, 2024 08:11

    Jeshi la Sudan leo Alhamisi limefanya mashambulizi ya anga na ya mizinga katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum katika operesheni iliyotajwa kuwa kubwa zaidi ya kudhibiti mji huo mkuu tangu kuanza vita kati yake na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) miezi 17 iliyopita.

  • Guterres asikitishwa pakubwa na hali ya mambo ya al Fasher; Sudan

    Guterres asikitishwa pakubwa na hali ya mambo ya al Fasher; Sudan

    Sep 22, 2024 04:24

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa "amesikitishwa sana" na ripoti za mashambulizi makubwa yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa al Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur, Kaskazini mwa Sudan. Haya yameelezwa na Msemaji wa Antonio Guterres, Stephane Dujarric.

  • Jumapili, 22 Septemba 2024

    Jumapili, 22 Septemba 2024

    Sep 21, 2024 22:47

    Leo ni Jumapili 18 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1446 Hijria mwafaaka na tarehe 22 Septemba 2024 Miladia.

  • Watu 40 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa RSF Sudan

    Watu 40 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa RSF Sudan

    Sep 16, 2024 08:33

    Makumi ya raia wameuawa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika kijiji kimoja katikati mwa Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS