-
Iran na Sudan zasisitiza kupanua ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara
Nov 07, 2024 23:07Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran na Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Sudan wamekutana na kujadili upanuzi wa uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara.
-
RSF yaendeleza hujuma za umwagaji damu Sudan
Nov 03, 2024 03:13Kwa akali watu 18 wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa katika mashambulizi mawili tofauti ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.
-
UN: Vita vya Sudan vimesababisha watu milioni 14 kuwa wakimbizi
Oct 29, 2024 23:58Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, vita vya zaidi ya mwaka mmoja na nusu huko Sudan vimepelekea watu zaidi ya milioni 14 kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi.
-
Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan
Oct 27, 2024 07:40Mashambulizi yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko kaskazini na mashariki mwa jimbo la Gezira nchini Sudan yametajwa na taasisi ya kieneo ya Gezira Conference kuwa ni mauaji ya halaiki.
-
Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi
Oct 24, 2024 02:47Sudan imezishutumu nchi za Magharibi kwa kuingiza siasa katika suala la misaada ya kibinadamu na kulilaumu jeshi la Sudan na serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika kwa 'kuzuia misaada.'
-
Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan
Oct 23, 2024 06:38Takriban raia 46 wameuawa huku wengine 44 wajeruhiwa katika siku mbili za mapigano kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha Radimali ya Haraka (RSF) katika majimbo ya Khartoum na Al-Jazira.
-
Jeshi la Sudan lafanya mashambulizi ili kudhibiti mji wa Khartoum
Sep 26, 2024 08:11Jeshi la Sudan leo Alhamisi limefanya mashambulizi ya anga na ya mizinga katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum katika operesheni iliyotajwa kuwa kubwa zaidi ya kudhibiti mji huo mkuu tangu kuanza vita kati yake na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) miezi 17 iliyopita.
-
Guterres asikitishwa pakubwa na hali ya mambo ya al Fasher; Sudan
Sep 22, 2024 04:24Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa "amesikitishwa sana" na ripoti za mashambulizi makubwa yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa al Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur, Kaskazini mwa Sudan. Haya yameelezwa na Msemaji wa Antonio Guterres, Stephane Dujarric.
-
Jumapili, 22 Septemba 2024
Sep 21, 2024 22:47Leo ni Jumapili 18 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1446 Hijria mwafaaka na tarehe 22 Septemba 2024 Miladia.
-
Watu 40 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa RSF Sudan
Sep 16, 2024 08:33Makumi ya raia wameuawa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika kijiji kimoja katikati mwa Sudan.