Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF yaua takriban raia 21 katikati mwa Sudan

    Mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF yaua takriban raia 21 katikati mwa Sudan

    Sep 09, 2024 07:07

    Raia wasiopungua 21 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya wanamgambo wa kikosi cha radiamali ya haraka (RSF) kuvurumisha makombora sokoni katika mji wa Sinnar katikati mwa Sudan.

  • Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa

    Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa

    Sep 08, 2024 08:33

    Sudan imekadhibisha ripoti mpya ya Jopo Huru la Umoja wa Mataifa la Kutafuta Ukweli, ambayo inazituhumu pande zinazozozana nchini humo kwa kufanya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ambao unaweza kuwa uhalifu wa kivita.

  • Bwawa laporomoka na kuua watu zaidi ya 60 nchini Sudan

    Bwawa laporomoka na kuua watu zaidi ya 60 nchini Sudan

    Aug 26, 2024 07:34

    Kwa akali watu 60 wameripotiwa kufariki dunia baada ya bwawa moja kuvunjika huko mashariki mwa Sudan kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini humo.

  • Malori ya misaada yawasili Sudan baada ya kukwama kwa miezi kadhaa

    Malori ya misaada yawasili Sudan baada ya kukwama kwa miezi kadhaa

    Aug 22, 2024 08:31

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa zaidi ya malori 12 kutoka mashirika ya misaada yamevuka mpaka na kuingia Sudan kupitia kivuko cha Adre katika mpaka na Chad ili kuleta misaada kwa ajili ya raia walioathiriwa na njaa katika  jimbo la Darfur.

  • Sudan yatangaza janga la kipindupindu baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo

    Sudan yatangaza janga la kipindupindu baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo

    Aug 18, 2024 03:34

    Waziri wa Afya wa Sudan ametangaza janga la kipindupindu nchini humo baada ya mvua kubwa kunyesha kwa wiki kadhaa.

  • Udhalilishaji wa kingono watumiwa kama silaha ya vita katika mzozo huko Sudan

    Udhalilishaji wa kingono watumiwa kama silaha ya vita katika mzozo huko Sudan

    Aug 17, 2024 22:58

    Pande husika katika vita vya ndani nchini Sudan zimetekeleza udhalilishaji wa kingono na vitendo vingine vya unyanyasaji kama silaha ya vita tangu kuanza mapigano ya ndani nchini humo mwezi Aprili mwaka jana.

  • Waliokufa kutokana na mvua, mafuriko Sudan wapindukia 50

    Waliokufa kutokana na mvua, mafuriko Sudan wapindukia 50

    Aug 11, 2024 04:04

    Watu zaidi ya 50 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko katika maeneo mbali mbali ya Sudan.

  • WHO: Vita vimefanya tuluthi 2 ya Wasudan washindwe kutafuta matibabu

    WHO: Vita vimefanya tuluthi 2 ya Wasudan washindwe kutafuta matibabu

    Aug 09, 2024 03:48

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema thuluthi mbili ya wananchi wote wa Sudan hawawezi kutafuta huduma za matibabu kutokana na mgogoro na vita vinavyoendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu

    Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu

    Aug 06, 2024 23:50

    Shirika rasmi la Habari la Sudan (SUNA) limeripoti kuwa watu 11 wamefariki dunia na wengine 60 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kusababisha mafuriko katika mji wa Abu Hamad kaskazini mwa Sudan. Mvua hiyo imebomoa makumi ya nyumba huku timu za uokoaji zikiendelea kusaka watu waliotoweka na wengine walionasa chini ya vifusi.

  • FAO: Hatua za haraka zichukuliwe kukabiliana na njaa katika baadhi ya maeneo ya Darfur

    FAO: Hatua za haraka zichukuliwe kukabiliana na njaa katika baadhi ya maeneo ya Darfur

    Aug 05, 2024 23:26

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka baada ya tatizo la njaa kuyaathiri baadhi ya maeneo ya Darfur. Shirika la FAO limeeleza haya katika ripoti yake ya karibuni kuhusu tathmini ya usalama wa chakula.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS