Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Makumi ya maiti zapatikana kwenye mto ulioko mpakani mwa eneo la Ethiopia la Tigray na Sudan

    Makumi ya maiti zapatikana kwenye mto ulioko mpakani mwa eneo la Ethiopia la Tigray na Sudan

    Aug 03, 2021 07:45

    Maiti zisizopungua 30 zilizosombwa na maji zimepatikana kwenye kingo za mto unaotenganisha Sudan na eneo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray. Hayo ni kwa mujibu wa wakimbizi wawili wa Ethiopia na mashuhuda wanne raia wa Sudan waliookota maiti hizo.

  • Sudan yasema Bwawa la an-Nahdha linahatarisha viwanda vyake vya kuzalisha umeme

    Sudan yasema Bwawa la an-Nahdha linahatarisha viwanda vyake vya kuzalisha umeme

    Aug 02, 2021 06:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amedai kwamba serikali ya nchi hiyo kutokuwa na habari kuhusu mwenendo wa kujazwa maji Bwawa la an-Nahdha katika nchi jirani ya Ethiopia ni tishio kwa viwanda vyake vya kuzalisha umeme.

  • Waethiopia elfu 3 wakimbilia Sudan wakihepa vita katika eneo la Tigray

    Waethiopia elfu 3 wakimbilia Sudan wakihepa vita katika eneo la Tigray

    Jul 28, 2021 22:02

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa, wakimbizi wa Kiethiopia zaidi ya elfu tatu wamewasili Sudan katika kipindi cha siku moja tu kufuatia mapigano yanayoendelea huko Tigray kaskazini mwa Ethiopia.

  • Jeshi la Ethiopia lasema liko tayari kulinda Bwawa la Renaissance

    Jeshi la Ethiopia lasema liko tayari kulinda Bwawa la Renaissance

    Jul 23, 2021 23:25

    Meja Jenerali Yalma Merdasa, Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Ethiopia, amesema kwamba kikosi hicho hakijatoa jicho lake kwenye Bwawa la Renaissance hata kwa dakika moja, na kwamba kiko tayari kulinda usalama wa anga wa nchi hiyo.

  • Sudan yaionya Ethiopia kuhusu Bwawa la al Nahdha

    Sudan yaionya Ethiopia kuhusu Bwawa la al Nahdha

    Jul 22, 2021 06:21

    Waziri Mkuu wa Sudan ametoa onyo kwa serikali ya Ethioia isichukue uamuzi wowote wa upande mmoja kuhusu mgogoro wa Bwawa la al Nahdha.

  • Zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha lamalizika

    Zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha lamalizika

    Jul 19, 2021 21:51

    Licha ya kuweko maonyo na vitisho vikali vya Sudan na Misri, lakini duru moja ya masuala ya umwagiliaji maji nchini Ethiopia imesema kuwa, zoezi la kumimina maji kwa awamu ya pili katika Bwawa la al Nahdha limekamilika.

  • Indhari kuhusu hatari ya kujiri vita vya ndani huko Sudan

    Indhari kuhusu hatari ya kujiri vita vya ndani huko Sudan

    Jul 03, 2021 22:38

    Chama kimoja cha kisiasa nchini Sudan kimetahadharisha kuhusu mapigano yanayoendelea kati ya makundi ya wanamgambo na kuwepo hatari ya kujiri vita vya ndani nchini humo.

  • Sudan katika lindi la maandamano mapya ya wananchi

    Sudan katika lindi la maandamano mapya ya wananchi

    Jul 01, 2021 21:58

    Mgogoro wa kisiasa na kuchumi unaendele kuisumbua Sudan licha ya kupita miaka miwili sasa tangu baada ya harakati ya wananchi iliyopelekea kuondolewa madarakani utawala wa miaka 30 wa Omar al Bashir na kuundwa serikali mpya nchini humo.

  • Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda

    Ombi la Misri na Sudan kwa Baraza la Usalama; mgogoro wa Bwawa la An Nahda

    Jun 28, 2021 05:56

    Huku awamu ya pili ya kujazwa maji katika Bwawa la An Nahda (Grand Renaissance Dam-GERD-) la Ethiopia katika Mto Nile ikikaribia, Misri na Sudan, nchi mbili ambazo zinapinga ujenzi wa bwawa hilo, zimetaka ujazwaji maji huo usitishwe kwa muda. Nchi hizo mbili zimetaka Ethiopia izipatie dhamana kuwa haki zao zitalindwa, jambo ambalo limeibua taharuki mpya baina ya nchi hizo tatu.

  • Sudan yakubali kwa masharti makubaliano ya muda ya Bwawa la Renaissance

    Sudan yakubali kwa masharti makubaliano ya muda ya Bwawa la Renaissance

    Jun 28, 2021 04:57

    Waziri wa Mambo ya nje wa Sudan Mariam Al-Sadiq Al-Mahdi amesema kuwa nchi yake imepokea pendekezo kutoka kwa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo la makubaliano ya muda ya kujazwa maji Bwawa la Renaissance yanayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS