Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yabatilisha sheria ya vikwazo na kuususia utawala haramu wa Israel

    Sudan yabatilisha sheria ya vikwazo na kuususia utawala haramu wa Israel

    Apr 07, 2021 03:08

    Baraza la Mawaziri la Sudan limebatilisha sheria ya vikwazo na kuususia utawala wa Kizayuni wa Israel, miezi michache baada ya Khartoum na Tel Aviv kuafikiana juu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya pande mbili hizo.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Apr 06, 2021 01:59

    Kamati Kuu ya Madaktari wa Sudan imetangaza kuwa, watu wasiopungua 40 wameuawa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea katika eneo la El-Geneina kwenye jimbo la Darfur, huko Magharibi mwa Sudan.

  • Kivuko cha mpakani kati ya Sudan na Ethiopia chafungwa

    Kivuko cha mpakani kati ya Sudan na Ethiopia chafungwa

    Apr 05, 2021 00:03

    Viongozi wa Sudan wamechukua uamuzi wa kukifunga kivuko cha mpakani kati ya nchi hiyo na Ethiopia.

  • Kulipwa Marekani na Sudan fidia ya mashambulio katika balozi zake huko Tanzania na Kenya

    Kulipwa Marekani na Sudan fidia ya mashambulio katika balozi zake huko Tanzania na Kenya

    Apr 01, 2021 21:55

    Serikali ya Sudan ili iondolewe katika orodha ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ya mataifa eti yanayounga mkono ugaidi, imeilipa Washington fidia ya mamilioni ya dola katika tukio la kushambuliwa balozi za Marekani huko Tanzania na Kenya.

  • Sudan yalipa fidia ya mashambulizi katika balozi za Marekani za Tanzania na Kenya

    Sudan yalipa fidia ya mashambulizi katika balozi za Marekani za Tanzania na Kenya

    Mar 31, 2021 21:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, serikali ya Sudan imeilipa fidia nchi hiyo kutokana na mashambulizi ya mabomu ya mwaka 1998 kwenye balozi za Marekani za Nairobi na Dar es Salaam katika nchi za Kenya na Tanzania.

  • Maafisa watano wa Sudan wafa maji kaskazini mwa nchi hiyo

    Maafisa watano wa Sudan wafa maji kaskazini mwa nchi hiyo

    Mar 28, 2021 03:14

    Maafisa watano wa serikali ya Sudan wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama kutokana na hali mbaya ya hewa kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Sudan yaitahadharisha Ethiopia; yasema iko tayari kwa lolote

    Sudan yaitahadharisha Ethiopia; yasema iko tayari kwa lolote

    Mar 21, 2021 22:35

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la utawala wa mpito Sudan amesema kuwa nchi yake imejiandaa kwa lolote na kuitaka Ethiopia kujiweka mbali na ardhi ya Sudan.

  • Addis Ababa: Asilimia 86 ya maji ya Mto Nile ni mali ya Ethiopia

    Addis Ababa: Asilimia 86 ya maji ya Mto Nile ni mali ya Ethiopia

    Mar 18, 2021 09:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia amedai kuwa, sehemu kubwa ya akiba ya maji ya Mto Nile ni mali ya nchi yake.

  • Sudan yaituhumu Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la waasi

    Sudan yaituhumu Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la waasi

    Mar 09, 2021 01:12

    Sudan imeituhumu serikali ya Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la uasi ili kuudhibiti mji wa al Karmak huko kusini mashariki mwa Sudan.

  • Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Feb 23, 2021 23:12

    Waziri wa Umwagiliaji na Vyanzo vya Maji wa Sudan amesema kuwa, nchi yake inakusudia kuandaa uungaji mkono na upatanishi wa pande nne kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Bwawa la al-Nahdha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS