Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Ugomvi baina ya Ethiopia na Sudan, balozi wa Sudan mjini Addi Ababa aitwa kujieleza

    Ugomvi baina ya Ethiopia na Sudan, balozi wa Sudan mjini Addi Ababa aitwa kujieleza

    Dec 18, 2020 23:28

    Duru za kidiplomasia zimetangaza kuwa, baada ya serikali ya Sudan kutuma zana zake za kijeshi katika mpaka wake na Ethiopia, balozi wa nchini hiyo mjini Addis Ababa ameitwa mbele ya viongozi wa Ethiopia atoe maelezo kuhusu sababu za hatua hiyo ya Sudan.

  • Sudan: Jeshi la Ethiopia limeua askari wetu mpakani

    Sudan: Jeshi la Ethiopia limeua askari wetu mpakani

    Dec 17, 2020 04:05

    Jeshi la Sudan limesema askari wake kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na wanajeshi wa Ethiopia wakishirikiana na wanamgambo katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • Baada ya kujidhalilisha kwa Wazayuni, Sudan yatolewa katika orodha ya magaidi ya Marekani

    Baada ya kujidhalilisha kwa Wazayuni, Sudan yatolewa katika orodha ya magaidi ya Marekani

    Dec 14, 2020 23:01

    Baada ya serikali ya Sudan kujidhalilisha mbele ya Wazayuni kwa kutangaza uhusiano wa kawaida na watenda jinai hao, serikali ya Marekani imetangaza kuitoa Khartoum katika orodha ya kile kinachodaiwa na Washington kuwa eti ni nchi zinazounga mkono ugaidi.

  • Wapinzani Sudan wataka kufanyika maandamano dhidi ya serikali

    Wapinzani Sudan wataka kufanyika maandamano dhidi ya serikali

    Dec 14, 2020 04:17

    Sambamba na ziara ya Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Sudan nchini Ethiopia, wapinzani nchini Sudan wamewatolea wito wananchi kufanya maadnamano tarehe 19 mwezi huu.

  • Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Dec 12, 2020 03:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inazishawishi nchi zingine kutoa muhanga kadhia ya Palestina na kuwapa mkono wezi kwa njia mbali mbali.

  • Waziri: Jeshi la Sudan linafanya juhudi za kupanua uhusiano na Israel bila kuifahamisha serikali

    Waziri: Jeshi la Sudan linafanya juhudi za kupanua uhusiano na Israel bila kuifahamisha serikali

    Dec 07, 2020 08:56

    Waziri wa Habari wa Sudan ametangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo linafanya juhudi za kupanua uhusiano na utawala haramu wa Israel bila kuifahamisha serikali.

  • Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25 jeshi la Sudan laingia eneo linalopakana na Tigray

    Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25 jeshi la Sudan laingia eneo linalopakana na Tigray

    Dec 05, 2020 09:20

    Vikosi vya jeshi la Sudan vimeingia kwenye eneo la kilimo linalopakana na eneo la Tigray la ardhi ya Ethiopia.

  • Makataa yaliyotolewa na Sudan kwa Marekani kwa ajili ya kupasisha sheria ya kuikinga dhidi ya mashtaka ya ugaidi

    Makataa yaliyotolewa na Sudan kwa Marekani kwa ajili ya kupasisha sheria ya kuikinga dhidi ya mashtaka ya ugaidi

    Dec 03, 2020 03:08

    Licha ya ahadi chungu nzima zilizotolewa na serikali ya Marekani kwa ajili ya kuondolewa Sudan katika orodha ya nchi zinazotuhumiwa kuunga mkono ugaidi na kuishawishi nchi hiyo ianzishe uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, lakini hakuna hatua yoyote ya maana iliyochukuliwa na serikali ya Washington katika uwanja huo, jambo ambalo limewakawasirisha viongozi wa Khartoum.

  • Sudan yakiri rasmi kutembelea nchi hiyo ujumbe wa utawala wa Kizayuni

    Sudan yakiri rasmi kutembelea nchi hiyo ujumbe wa utawala wa Kizayuni

    Nov 30, 2020 03:44

    Msemaji wa Baraza la Uongozi la Sudan jana Jumapili alithibitisha habari ya kutembelewa nchi hiyo na ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan akiri: Kufuata siasa za Marekani hakuna maana

    Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan akiri: Kufuata siasa za Marekani hakuna maana

    Nov 30, 2020 01:06

    Mkuu wa Baraza la Uongozi linalotawala sasa hivi nchini Sudan amekiri kwamba Marekani haina mwamana na kufuata siasa za dola hilo la kibeberu hakuna faida yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS