-
Sudan yakanusha kupiga kura kwa manufaa ya Israel katika Umoja wa Mataifa
Nov 26, 2020 07:19Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetoa taarifa na kukanusha taarifa zilizosambazwa na vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vilivyodai kwamba Khartoum imepiga kura kwa manufaa ya Israel katika Umoja wa Mataifa.
-
Serikali ya Sudan: Hatukuwa na taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni Khartoum
Nov 26, 2020 01:19Msemaji wa serikali ya Sudan amedai kuwa baraza la mawaziri la nchi hiyo halina taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni huko Khartoum mji mkuu wa Sudan.
-
Kikao cha pande mbili cha ujumbe wa Israel na serikali ya mpito ya Sudan mjini Khartoum
Nov 24, 2020 23:13Baada ya kutangazwa habari ya safari ya kwanza ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel huko Khartoum, duru moja imethibitisha kufanyika mazungumzo baina ya ujumbe huo na viongozi wa serikali ya mpito ya Sudan.
-
Sudan yasusia kikao cha kujadili bwawa la al Nahdha
Nov 22, 2020 03:16Sudan imesusia kushiriki katika kikao cha mawaziri cha kujadili mradi wa bwawa la al Nahdha la nchini Ethiopia, ikiwa ni kulalamikia jinsi mazungumzo yanavyoendeshwa na nchi tatu za Ethiopia, Misri na Sudan.
-
Sudan: Marekani ilitushinikiza tuanzishe uhusiano na Israel
Nov 20, 2020 00:23Waziri wa Habari, Utamaduni na Utalii wa Sudan amefichua kuwa, Marekani iliiwekea nchi hiyo ya Kiafrika mashinikizo makubwa ya kuitaka ianzishe uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan
Nov 19, 2020 03:28Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, vita vinavyoendela katika eneo la Tigray baina ya jeshi la serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) vimewalazimisha raia karibu elfu 30 kukimbilia nchi jirani ya Sudan.
-
Sudan yakadhibisha safari ya ujumbe wa Israel mjini Khartoum
Nov 15, 2020 08:18Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekadhibisha taarifa kuwa ilifahamu juu ya safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel katika mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, Khartoum.
-
Misri na Sudan kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kukabiliana na Ethiopia
Nov 15, 2020 04:41Majeshi ya Misri yametoa taarifa kuhusu mpango wa kufanyika luteka na mazoezi ya pamoja ya anga ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Sudan katika anga ya Sudan.
-
Vyama vya Sudan: Upinzani wa umma dhidi ya kuanzisha uhusiano na Israel ni mkubwa kuliko ilivyotarajiwa
Nov 15, 2020 00:33Muungano wa vyama vya siasa vya Sudan vinavyopinga nchi hiyo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel umesema, upinzani wa wananchi kwa suala hilo ni mkubwa mno kwa kiwango ambacho haikukatarajiwa.
-
Sudan yatoa msamaha kwa watu wote waliobeba silaha kinyume cha sheria
Nov 13, 2020 03:56Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan ametangaza msamaha kwa watu wote waliokuwa wamebeba silaha kinyume cha sheria.