Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yakanusha kupiga kura kwa manufaa ya Israel katika Umoja wa Mataifa

    Sudan yakanusha kupiga kura kwa manufaa ya Israel katika Umoja wa Mataifa

    Nov 26, 2020 07:19

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetoa taarifa na kukanusha taarifa zilizosambazwa na vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vilivyodai kwamba Khartoum imepiga kura kwa manufaa ya Israel katika Umoja wa Mataifa.

  • Serikali ya Sudan: Hatukuwa na taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni Khartoum

    Serikali ya Sudan: Hatukuwa na taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni Khartoum

    Nov 26, 2020 01:19

    Msemaji wa serikali ya Sudan amedai kuwa baraza la mawaziri la nchi hiyo halina taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni huko Khartoum mji mkuu wa Sudan.

  • Kikao cha pande mbili cha ujumbe wa Israel na serikali ya mpito ya Sudan mjini Khartoum

    Kikao cha pande mbili cha ujumbe wa Israel na serikali ya mpito ya Sudan mjini Khartoum

    Nov 24, 2020 23:13

    Baada ya kutangazwa habari ya safari ya kwanza ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel huko Khartoum, duru moja imethibitisha kufanyika mazungumzo baina ya ujumbe huo na viongozi wa serikali ya mpito ya Sudan.

  • Sudan yasusia kikao cha kujadili bwawa la al Nahdha

    Sudan yasusia kikao cha kujadili bwawa la al Nahdha

    Nov 22, 2020 03:16

    Sudan imesusia kushiriki katika kikao cha mawaziri cha kujadili mradi wa bwawa la al Nahdha la nchini Ethiopia, ikiwa ni kulalamikia jinsi mazungumzo yanavyoendeshwa na nchi tatu za Ethiopia, Misri na Sudan.

  • Sudan: Marekani ilitushinikiza tuanzishe uhusiano na Israel

    Sudan: Marekani ilitushinikiza tuanzishe uhusiano na Israel

    Nov 20, 2020 00:23

    Waziri wa Habari, Utamaduni na Utalii wa Sudan amefichua kuwa, Marekani iliiwekea nchi hiyo ya Kiafrika mashinikizo makubwa ya kuitaka ianzishe uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan

    UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan

    Nov 19, 2020 03:28

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, vita vinavyoendela katika eneo la Tigray baina ya jeshi la serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) vimewalazimisha raia karibu elfu 30 kukimbilia nchi jirani ya Sudan.

  • Sudan yakadhibisha safari ya ujumbe wa Israel mjini Khartoum

    Sudan yakadhibisha safari ya ujumbe wa Israel mjini Khartoum

    Nov 15, 2020 08:18

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekadhibisha taarifa kuwa ilifahamu juu ya safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel katika mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, Khartoum.

  • Misri na Sudan kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kukabiliana na Ethiopia

    Misri na Sudan kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kukabiliana na Ethiopia

    Nov 15, 2020 04:41

    Majeshi ya Misri yametoa taarifa kuhusu mpango wa kufanyika luteka na mazoezi ya pamoja ya anga ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Sudan katika anga ya Sudan.

  • Vyama vya Sudan: Upinzani wa umma dhidi ya kuanzisha uhusiano na Israel ni mkubwa kuliko ilivyotarajiwa

    Vyama vya Sudan: Upinzani wa umma dhidi ya kuanzisha uhusiano na Israel ni mkubwa kuliko ilivyotarajiwa

    Nov 15, 2020 00:33

    Muungano wa vyama vya siasa vya Sudan vinavyopinga nchi hiyo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel umesema, upinzani wa wananchi kwa suala hilo ni mkubwa mno kwa kiwango ambacho haikukatarajiwa.

  • Sudan yatoa msamaha kwa watu wote waliobeba silaha kinyume cha sheria

    Sudan yatoa msamaha kwa watu wote waliobeba silaha kinyume cha sheria

    Nov 13, 2020 03:56

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan ametangaza msamaha kwa watu wote waliokuwa wamebeba silaha kinyume cha sheria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS