Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Russia kuanzisha kambi ya jeshi nchini Sudan, itakuwa na meli za nyuklia

    Russia kuanzisha kambi ya jeshi nchini Sudan, itakuwa na meli za nyuklia

    Nov 12, 2020 06:44

    Serikali ya Russia imechapisha hati ya makubaliano yake ya Sudan yanayoiruhusu Moscow kujenga kambi ya kijeshi na misaada ya kilojestiki ya jeshi la majini la nchi hiyo nchini Sudan ambacho kitakuwa na askari na maafisa 300 wa kijeshi.

  • Waziri wa Afya wa Sudan aambukizwa COVID-19

    Waziri wa Afya wa Sudan aambukizwa COVID-19

    Nov 11, 2020 04:29

    Kaimu waziri wa Afya wa Sudan Osama Ahmed Abdul Rahim pamoja na mkurugenzi mkuu wa huduma ya msingi ya afya na mkurugenzi mkuu msimamizi wa dawa za kimatibabu wa Wizara ya Afya wamepata ugonjwa wa COVIDI-19.

  • Baraza la Kukurubisha Madhehebu latoa mkono wa pole kwa vifo vya Maqari wa Sudan

    Baraza la Kukurubisha Madhehebu latoa mkono wa pole kwa vifo vya Maqari wa Sudan

    Nov 11, 2020 00:45

    Baraza la Kimataifa la Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu limetoa mkono wa pole kufuatia vifo vya maqarii na mahafidhi wa Qur'ani tukufu nchini Sudan walioaga dunia katika ajali ya gari wakiwa katika safari ya tablighi.

  • Waethiopia waanza kumiminika Sudan wakikimbia vita, wamo wanajeshi wa serikali

    Waethiopia waanza kumiminika Sudan wakikimbia vita, wamo wanajeshi wa serikali

    Nov 10, 2020 06:49

    Serikali ya Sudan imetangaza kuwa makumi ya wakimbizi kutoka Ethiopia wamevuka mpaka na kuingia kusini mashariki mwa nchi hiyo. Taarifa ya serikali ya Sudan imesema kuwa wakimbizi hao ambao wanajumuisha wanajeshi 30 wa serikali ya Ethiopia, wameingia katika eneo la Al-Luqdi mashariki mwa jimbo la al-Qadarif.

  • Harakati ya mapambano ya wananchi ya kukabiliana na Wazayuni yaundwa nchini Sudan

    Harakati ya mapambano ya wananchi ya kukabiliana na Wazayuni yaundwa nchini Sudan

    Nov 08, 2020 08:06

    Vyama vya kisiasa, asasi za kiraia na kijamii na makundi ya vijana na wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Sudan wameunda kambi ya pamoja ya mapambano ya wananchi kwa ajili ya kukabiliana na uamuzi wa viongozi wa nchi hiyo wa kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sudan yafunga mpaka wake baada ya Ethiopia kutangaza vita na waasi

    Sudan yafunga mpaka wake baada ya Ethiopia kutangaza vita na waasi

    Nov 06, 2020 03:06

    Viongozi wa serikali ya Sudan katika jimbo la Kassala wamefunga mpaka wao na Ethiopia baada ya Addis Ababa kutangaza vita na waasi wanaopigania kujitenga eneo la Tigray.

  • Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 03, 2020 10:11

    Serikali ya Trump ikiwa na lengo la kuuridhisha utawala wa haramu wa Israel imechukua hatua tofauti ikiwemo ya kuandaa uwanja wa kutambuliwa rasmi utawala huo na mataifa ya Kiarabu na Kiislamu ambapo hatua yake ya karibuni kabisa na kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Sudan na utawala huo ghasibu.

  • Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan ameanza ziara ya kiduru huko Ethiopia; na kisha kuzitembelea nchi nyingine za eneo

    Mkuu wa Baraza la Uongozi Sudan ameanza ziara ya kiduru huko Ethiopia; na kisha kuzitembelea nchi nyingine za eneo

    Nov 02, 2020 03:58

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la Sudan amewasili nchini Ethiopia katika awamu ya kwanza ya ziara yake ya kiduru katika nchi kadhaa za Kiafrika.

  • Mwandishi habari wa Sudan atahadharisha kuhusu taathira za mapatano na Israel

    Mwandishi habari wa Sudan atahadharisha kuhusu taathira za mapatano na Israel

    Oct 31, 2020 23:57

    Mwandishi habari na mchambuzi wa Sudan ametahadharisha kuwa matokeo ya mapatano ya kuanzisha uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel kupoteza utajiri wa nchi na kuburuzwa.

  • Maandamano ya kupinga uhusiano na utawala wa Kizayuni yanaendelea nchini Sudan

    Maandamano ya kupinga uhusiano na utawala wa Kizayuni yanaendelea nchini Sudan

    Oct 28, 2020 08:53

    Maandamano ya wananchi wa Sudan ya kupinga uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel yanaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS