-
Imarati yaipa Sudan mamilioni ya dola baada ya kuanzisha uhusiano na Israel
Oct 28, 2020 04:18Umoja wa Falme za Kiarabu umeipa Sudan msaada wa dola nusu bilioni za Marekani, siku chache baada ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Al Burhan: Bunge la Sudan linaweza kubadilisha uamuzi kuhusu makubaliano tuliyofikia na Israel
Oct 27, 2020 04:20Kiongozi wa baraza la utawala la Sudan ametetea makubaliano ya kuaibisha iliyofikia serikali ya mpito ya nchi hiyo na Israel na kudai kuwa bunge la Sudan linaweza kuupitia upya uamuzi huo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni.
-
Kuanzishwa uhusiano baina ya Sudan na utawala haramu wa Israel na mustakbali wa nchi hiyo
Oct 24, 2020 23:07Hatimaye Sudan imesalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani na kukubali kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel. Sambambana na kutangaza habari hiyo, Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, amewasilisha uamuzi wake wa kuliondoa jina la Sudan katika orodha ya nchi zinazounga mkono ugaidi kwenye Kongresi ya nchi hiyo.
-
Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump
Oct 24, 2020 11:11Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.
-
Sudan yafuata mkumbo wa Imarati na Bahrain wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel
Oct 24, 2020 01:13Viongozi wa Marekani, Sudan na utawala haramu wa Israel wametangaza katika taarifa yao pamoja juu ya kufikiwa makubaliano baina ya Tel-Aviv na Khartoum ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina yao.
-
Afisa wa Sudan: Nchi inakaribia kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni
Oct 22, 2020 23:31Afisa mmoja wa Sudan ambaye hakutaka jina lake litajwe amedai kuwa muda wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribia licha ya vyama mbalimbali na wananchi kupinga jambo hilo.
-
Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani
Oct 22, 2020 04:26Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribishwa kwa maandamano ya upinzani nchini Sudan.
-
Ahadi ya Marekani; kuondolewa jina la Sudan katika orodha ya mataifa yanayounga mkono ugaidi
Oct 20, 2020 23:06Majadiliano baina ya Marekani na Sudan yangali yanaendelea huku kila upande ukijaribu kuubembeleza upande wa pili.
-
Sudan yazidi kuandamwa na mashinikizo ili ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni
Oct 20, 2020 08:34Waziri wa Habari wa Sudan amefichua kuwa, nchi hiyo inaandamwa na mashiniklizo ili ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Sudan yakubali kuipa Marekani dola milioni 335 iondolewe katika orodha ya ugaidi
Oct 20, 2020 04:09Rais Donald Trump amesema Marekani itaiondoa Sudan katika orodha ya nchi 'zinazounga mkono ugaidi' baada ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kukubali kuipa Washington dola milioni 335.