Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • ICC kuendelea kumzuilia kinara wa washukiwa wa jinai za kivita Darfur

    ICC kuendelea kumzuilia kinara wa washukiwa wa jinai za kivita Darfur

    Oct 08, 2020 23:08

    Majaji wa Kitengo cha Rufaa cha Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wamepasisha uamuzi wa kuendelea kumshikilia kinara wa kundi la wanamgambo wanaoshukiwa kuhusika na jinai za kivita katika eneo la Darfur nchini Sudan mwaka 2003.

  • Umoja wa Afrika wapongeza mapatano ya kihistoria ya amani Sudan

    Umoja wa Afrika wapongeza mapatano ya kihistoria ya amani Sudan

    Oct 05, 2020 01:10

    Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AU), Moussa Faki Mahamat amepongeza mapatano ya kihistoria ya amani baina ya makundi hasimu nchini Sudan.

  • Umoja wa Mataifa wakaribisha makubaliano ya amani ya Sudan

    Umoja wa Mataifa wakaribisha makubaliano ya amani ya Sudan

    Oct 04, 2020 08:24

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili kutiwa saini makubaliano ya amani baina ya serikali ya Sudan na makundi makuu ya waasi.

  • Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha

    Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha

    Oct 01, 2020 07:04

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Ethiopia amekariri tena kwamba nchi yake ina uwezo wa kuziuia shambulizi lolote dhidi ya bwawa na Renaissance (al-Nahdha) linalojengwa juu ya maji ya Mto Nile ambalo limesababisha mgogoro mkubwa baina ya nchi hiyo na nchi za Misri na Sudan.

  • Baraza la Fiqhi la Sudan laharamisha kuanzisha uhusiano na Israel

    Baraza la Fiqhi la Sudan laharamisha kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 30, 2020 23:42

    Baraza la Fiqhi ya Kiislamu la Sudan limesema kuwa haijuzu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Muamala wa Khartoum-Washington kwa ajili ya kuondoa jina la Sudan katika orodha ya waungaji mkono ugaidi

    Muamala wa Khartoum-Washington kwa ajili ya kuondoa jina la Sudan katika orodha ya waungaji mkono ugaidi

    Sep 28, 2020 04:47

    Katika miezi ya karibinu Marekani imefanya jitihada kubwa za kuzishawishi nchi za Kiarabu na Kiislamu, ikiwemo Sudan, kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Chama cha Umma cha Sudan: Kufanya mapatano na Israel ni kujisalimisha kwa mabeberu

    Chama cha Umma cha Sudan: Kufanya mapatano na Israel ni kujisalimisha kwa mabeberu

    Sep 27, 2020 23:22

    Mkuu wa Chama cha Umma (The National Umma Party) nchini Sudan amesema kuwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kudhamini malengo ya kampeni za uchaguzi ya Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sudan: Kuondolewa katika orodha ya ugaidi kusihusishwe na kuanzisha uhusiano na Israel

    Sudan: Kuondolewa katika orodha ya ugaidi kusihusishwe na kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 27, 2020 04:28

    Waziri Mkuu wa Sudan amesema taifa hilo la Kiarabu la kaskazini mwa Afrika halitaki suala la kuondolewa jina la nchi hiyo katika orodha ya ugaidi ya Marekani lifungamanishwe na kadhia ya kuanzisha uhusiano wa kidoplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Ufaransa yaanza kuchunguza jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na benki ya nchi hiyo huko Sudan

    Ufaransa yaanza kuchunguza jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na benki ya nchi hiyo huko Sudan

    Sep 25, 2020 04:54

    Mahakama moja ya Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na benki moja ya nchi hiyo nchini Sudan.

  • Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan

    Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan

    Sep 19, 2020 03:02

    Idara ya Ulinzi wa Raia nchini Sudan imetangaza habari ya kuongezeka hasara za roho za watu na mali kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo. Kwa mujibu wa idara hiyo, zaidi ya watu laki saba na 70 elfu wamepata hasara kutokana na mafutiko hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS