Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe

    Saudia: Sharti serikali ya Qatar itume vikosi Syria ili isipinduliwe

    Apr 25, 2018 02:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amesema iwapo serikali ya Qatar inataka isiondolewe madarakani na iendelee kudhaminiwa usalama na Marekani, sharti itume wanajeshi wake nchini Syria.

  • Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Apr 24, 2018 22:02

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.

  • Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria

    Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria

    Apr 21, 2018 23:16

    Kinyume na serikali ya Ujerumani, bunge la nchi hiyo limelaani shambulizi la Marekani, Ufaransa na Uingereza dhidi ya Syria na kulitaja kuwa ni kukiuka sheria na mikataba ya kimataifa.

  • Jaberi Ansari afanya mazungumzo na mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    Jaberi Ansari afanya mazungumzo na mjumbe wa UN katika masuala ya Syria

    Apr 21, 2018 09:38

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Hossein Jaberi Ansar msaidizi mkuu wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran katika masuala ya siasa.

  • Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria

    Russia: Marekani na washirika wake wanafanya njama nyingi kuigawa Syria

    Apr 20, 2018 23:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amekosoa vikali misimamo ya uhasama ya Marekani ya kutaka ya kuisambaratisha nchi ya Syria.

  • Chokochoko za Marekani za kuzifungulia njia tawala za Kiarabu ya kujiingiza moja kwa moja kijeshi nchini Syria

    Chokochoko za Marekani za kuzifungulia njia tawala za Kiarabu ya kujiingiza moja kwa moja kijeshi nchini Syria

    Apr 20, 2018 03:22

    Bouthaina Shaaban, mshauri wa kisiasa na wa masuala ya habari wa Rais Bashar Al-Assad wa Syria ametoa jibu na radiamali kwa wito wa rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka muungano wa vikosi vya nchi za Kiarabu ukashike hatamu za udhibiti wa eneo la kaskazini mwa Syria baada ya kuondoka wanajeshi wa Marekani.

  • Rais Assad arejesha nishani aliyopewa na 'Mtumwa wa Marekani'

    Rais Assad arejesha nishani aliyopewa na 'Mtumwa wa Marekani'

    Apr 20, 2018 02:54

    Rais Bashar al Assad wa Syria amerejesha nishani bora zaidi ya Ufaransa aliyotunukiwa na Rais Jacques Chirac mwaka 2001 na kusema hawezi kubakia na zawadi ya nchi ambayo ni mtumwa wa Marekani na ambayo imedondosha mabomu Syria.

  • Velayati: Baada ya muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi ya Muqawama

    Velayati: Baada ya muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi ya Muqawama

    Apr 19, 2018 23:49

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema: kambi ya muqawama imepanuka kwa kuanzia Iran na kuenea hadi Palestina, Syria na Iraq; na muda si mrefu Yemen pia itajumuishwa kwenye kambi hiyo.

  • Russia: Makundi ya kigaidi Syria yanawazuia wakaguzi wa OPCW kuingia Douma

    Russia: Makundi ya kigaidi Syria yanawazuia wakaguzi wa OPCW kuingia Douma

    Apr 19, 2018 09:57

    Nabu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni huko Syria yanawazuia wakaguzi wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) kuingia katika mji wa Douma ulioko katika viunga ya mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus.

  • CNN yafichua: Shambulio dhidi ya Syria lilifanywa bila kuwepo uhakika kama silaha za kemikali zilitumiwa Duma

    CNN yafichua: Shambulio dhidi ya Syria lilifanywa bila kuwepo uhakika kama silaha za kemikali zilitumiwa Duma

    Apr 18, 2018 22:33

    Ukiwa umepita muda wa chini ya wiki moja tangu Marekani na waitifaki wake waishambulie kijeshi Syria kwa madai ya kufanyika shambulio la silaha za kemikali nchini humo, kanali ya televisheni ya CNN ya nchini Marekani imefichua kuwa nyaraka na ushahidi uliotumiwa kwa ajili ya shambulio hilo ni picha tu na sampuli za vipimo visivyo vya moja kwa moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS