-
Rais wa Tanzania kuunda kamati ya Corona, ataka vyombo vya habari vifunguliwe
Apr 06, 2021 09:19Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ataunda kamati ya wataalamu watakaochambua kwa kina ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona na kuishauri Serikali hatua za kuchukua.
-
Wakazi wa Kanda ya Ziwa Tanzania wamuaga Magufuli, Majaliwa asema ameacha alama kote nchini
Mar 24, 2021 09:54Wananchi wa Mwanza na mikoa jirani ya Kanda ya Ziwa nchini Tanzania wamejitokeza kwa wingi kwenye barabara na mitaa ya Mwanza kumuaga aliyekua Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli.
-
Wazanzibar wajitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa hayati Magufuli katika Uwanja wa Amaan
Mar 23, 2021 10:10Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne ameongoza viongozi mbalimbali na Wazanzibari kwa ujumla katika shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt John Pombe Magufuli, ambaye alifariki dunia Machi 17 jijini Dar es Salaam.
-
Viongozi wa Afrika wamlilia hayati Magufuli Dodoma; Kenyatta asimamisha hotuba kwa kusikia adhana
Mar 22, 2021 08:02Viongozi na marais kutoka nchi 17 duniani hususan za Afrika wamehudhuria shughuli ya kitaifa ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli iliyofanyika leo Jumatatu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
-
Tanzania yabadilisha tarehe ya kumzika Magufuli, hayati ameagwa leo Dar es Salaam
Mar 20, 2021 08:48Ibada ya wafu ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli imefanyika leo katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa Tanzania kufuatia kifo cha Rais Magufuli
Mar 20, 2021 01:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za mkono wa pole kwa wananchi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia kifo cha rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli.
-
Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa rais wa kwanza mwanamke Tanzania na Afrika Mashariki
Mar 19, 2021 12:20Samia Suluhu Hassan, leo ameapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kufuatia kifo cha rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli kilichotokea siku ya Jumatano.
-
Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania afariki dunia
Mar 17, 2021 23:43Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefariki dunia katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam ambako alikuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
-
Tanzania kuisaidia Burundi kujiunga na jumuiya ya SADC
Mar 06, 2021 04:46Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi ameiahidi nchi ya Burundi kuwa Tanzania itashirikiana nayo katika harakati zake za kuomba kujiunga na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
-
BAKWATA lawaagiza Watanzania kumtegemea Mungu na kutumia utaalamu wa kisayansi ili kuishinda tena Corona
Feb 15, 2021 00:26Watanzania na Waislamu wote nchini humo wameaswa kumrejea Mwenyezi Mungu kwa kusali na kutubu ili awaepushe na maradhi ya mripuko hususan katika kipindi hiki cha mripuko wa janga la dunia nzima la Corona.