Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Rais wa Tanzania amteua naibu waziri mpya wa madini, wa kwanza alishindwa kuapa

    Rais wa Tanzania amteua naibu waziri mpya wa madini, wa kwanza alishindwa kuapa

    Dec 11, 2020 07:56

    Rais John Magufuli wa Tanzania amemteua naibu waziri mwingine wa madini baada ya ule aliyekuwa ameteuliwa awali kusita wakati wa kula kiapo.

  • Lissu aondoka Tanzania kuelekea Ubelgiji akisindikizwa na maafisa wa ubalozi wa Ujerumani

    Lissu aondoka Tanzania kuelekea Ubelgiji akisindikizwa na maafisa wa ubalozi wa Ujerumani

    Nov 10, 2020 16:19

    Tundu Antipas Lissu, aliyegombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28 kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameondoka nchini humo kwenda Ubelgiji.

  • Lema aomba hifadhi Kenya, Amnesty yasema asirejeshwe Tanzania

    Lema aomba hifadhi Kenya, Amnesty yasema asirejeshwe Tanzania

    Nov 09, 2020 13:00

    Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Tanzania Godbless Lema amekamatwa na maafisa wa polisi Kenya baada ya kuingia nchini humo kinyume cha sheria kwa lengo la kuomba hifadhi ya kisaisa.

  • Rais Magufuli wa Tanzania aapishwa, atoa mwito wa ushirikiano

    Rais Magufuli wa Tanzania aapishwa, atoa mwito wa ushirikiano

    Nov 05, 2020 11:46

    Rais John Pombe Magufuli ameapishwa leo Alkhamisi kuhudumu muhula wa pili na wa mwisho wa kuiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Makada 20 wa CHADEMA kizimbani kwa kuchochea maandamano Tanzania

    Makada 20 wa CHADEMA kizimbani kwa kuchochea maandamano Tanzania

    Nov 03, 2020 07:31

    Jeshi la Polisi mkoani Singida katikati mwa Tanzania limewafikisha mahakamani viongozi na wafuasi 20 wa chama cha upinzani cha CHADEMA kwa tuhuma za kukusanyika na kufanya kikao kinyume cha sheria, kwa lengo la kuhamasisha wananchi kufanya vurugu.

  • Hussein Mwinyi aapishwa kuwa rais wa Zanzibar, viongozi wa upinzani Tanzania Bara wakamatwa na kuwekwa kizuizini

    Hussein Mwinyi aapishwa kuwa rais wa Zanzibar, viongozi wa upinzani Tanzania Bara wakamatwa na kuwekwa kizuizini

    Nov 02, 2020 15:07

    Dr. Hussein Ali Mwinyi ameapishwa kuwa Rais wa nane wa Zanzibar katika hafla kubwa iliyofanyika visiwani Zanzibar leo.

  • Rais Magufuli wa Tanzania aendelea kupongezwa kimataifa baada ya ushindi katika uchaguzi

    Rais Magufuli wa Tanzania aendelea kupongezwa kimataifa baada ya ushindi katika uchaguzi

    Nov 01, 2020 03:27

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania anaendelea kupongezwa kimataifa kutokana na ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28.

  • Chadema na ACT Wazalendo vyapinga matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania, Waangalizi wasema ulifuata taratibu

    Chadema na ACT Wazalendo vyapinga matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania, Waangalizi wasema ulifuata taratibu

    Oct 31, 2020 13:13

    Vyama vya upinzani nchini Tanzania vya CHADEMA na ACT Wazalendo vimesema kuwa havitambui matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

  • Hussein Mwinyi atangazwa mshindi urais wa visiwa vya Zanzibar, Magufuli aongoza katika uchaguzi wa rais wa Tanzania

    Hussein Mwinyi atangazwa mshindi urais wa visiwa vya Zanzibar, Magufuli aongoza katika uchaguzi wa rais wa Tanzania

    Oct 29, 2020 22:55

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dr. Hussein Mwinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais Mteule wa Zanzibar baada ya kupata ushindi wa kura 380,402 sawa na 76.27%. akifuatiwa na Maalim Seif Sharif Hamad wa chama cha ACT Wazalendo aliyepata kura 96,103 sawa na asilimia 19.87.

  • Uchaguzi Tanzania; Upinzani wapoteza viti vingi vya ubunge na udiwani

    Uchaguzi Tanzania; Upinzani wapoteza viti vingi vya ubunge na udiwani

    Oct 29, 2020 08:21

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge nchini Tanzania yanaonyesha kuwepo mpambano mkali kati ya chama tawala CCM na chama kikuu cha upinzani Chadema; ambapo upinzani umeonekana kupoteza viti vingi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS