Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Watanzania washiriki kwa wingi katika upigaji kura leo

    Oct 28, 2020 12:27

    Mamilioni ya Watanzania, leo Jumatano, Oktoba 28, 2020 wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

  • Watanzania wanapiga kura katika uchaguzi mkuu

    Watanzania wanapiga kura katika uchaguzi mkuu

    Oct 28, 2020 04:47

    Mamilioni ya raia wa Tanzania leo wanaelekea katika masanduku ya kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani.

  • Mwito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Mwito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Oct 27, 2020 12:54

    Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres ametaka mchakato mzima wa uchaguzi nchini Tanzania kuwa huru na haki.

  • Watu kadhaa waripotiwa kuuawa na kujeruhiwa Pemba, Tanzania katika ghasia za kabla ya upigaji kura ya mapema

    Watu kadhaa waripotiwa kuuawa na kujeruhiwa Pemba, Tanzania katika ghasia za kabla ya upigaji kura ya mapema

    Oct 27, 2020 08:20

    Watu kadhaa wanaoaminika kuwa wafuasi wa chama cha ACT Wazalendo wameripotiwa kuwa wameuawa na kujeruhiwa usiku wa kuamkia leo kisiwani Pemba, Zanzibar kabla ya kufanyika upigaji kura ya mapema ambao umezusha taharuki visiwani humo.

  • Wasimamizi wa uchaguzi Tanzania watakiwa kufuata sheria

    Wasimamizi wa uchaguzi Tanzania watakiwa kufuata sheria

    Oct 20, 2020 07:43

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (NEC) imewaagiza wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya majimbo kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria ili kuepuka malalamiko yanayoweza kusababisha uvunjifu wa amani.

  • Mpwa wa Rais wa Tanzania atishia 'kummaliza' Tundu Lissu kwa sindano ya sumu

    Mpwa wa Rais wa Tanzania atishia 'kummaliza' Tundu Lissu kwa sindano ya sumu

    Oct 18, 2020 14:13

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania ametishia kumuua kwa kumdunga sindano ya sumu, mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Tundu Lissu kwa kile alichosema kuendelea 'kuwajaza upepo' wafuasi wake ili waandamane.

  • Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI

    Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI

    Oct 16, 2020 16:16

    Viongozi wa dini Tanzania wakemewa na Baraza la Maulamaa la BAKWATA kwa kujihusisha na kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa katika uchaguzi mkuu

  • Kauli ya Mufti wa Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 28

    Kauli ya Mufti wa Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 28

    Oct 16, 2020 07:28

    Sheikh mkuu na Mufti wa Tanzania Abubakari Zubeir amewataka watanzania kuhakikisha wanailinda amani ya nchi wakati huu ambapo taifa linaelekea kufanya uchaguzi mkuu.

  • Serikali ya Tanzania yatuhumiwa kubana na kukandamiza upinzani kuelekea uchaguzi wa Oktoba 28

    Serikali ya Tanzania yatuhumiwa kubana na kukandamiza upinzani kuelekea uchaguzi wa Oktoba 28

    Oct 12, 2020 13:56

    Serikali ya Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania imetunga na kutekeleza sheria kali za kuogofya ili kukandamiza kila aina ya upinzani, wakati nchi hiyo inaelekea kwenye uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika tarehe 28 ya mwezi huu wa Oktoba.

  • Polisi visiwani Zanzibar yawaonya vikali wanasiasa 'wachochezi'

    Polisi visiwani Zanzibar yawaonya vikali wanasiasa 'wachochezi'

    Oct 07, 2020 07:57

    Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar nchini Tanzania amewatahadharisha wanasiasa dhidi ya kutoa matamshi ya kichochezi na uvunjifu wa amani visiwani humo, kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 28.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS