Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Wapinzani Tunisia waendelea kupinga katiba mpya

    Wapinzani Tunisia waendelea kupinga katiba mpya

    Aug 20, 2022 13:34

    Wakati Rais wa Tunisia Kais Saied ametangaza kutekelezwa kwa katiba mpya ya nchi, Harakati ya Ennahda ya Tunisia imepinga hatua hiyo na kusema katiba hiyo haina uhalali. Harakati ya Ennahda imetangaza katiba mpya kama jaribio la kuhalalisha mapinduzi dhidi ya katiba, na pia ni dhidi ya mafanikio ya mwamko wa wananchi.

  • Katiba mpya inayompa rais mamlaka makubwa yaanza kutekelezwa Tunisia

    Katiba mpya inayompa rais mamlaka makubwa yaanza kutekelezwa Tunisia

    Aug 17, 2022 12:06

    Katiba mpya ya Tunisia inayompa rais wa Jamhuri nguvu na mamlaka mengi na makubwa imeanza kutekelezwa, baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo rasmi ya mwisho ya kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita.

  • Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji

    Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji

    Aug 11, 2022 07:37

    Mahakama moja nchini Tunisia imebatilisha uamuzi wa Rais Kais Saied wa nchi hiyo wa kuwafuta kazi makumi ya majaji.

  • Asasi za kiraia Tunisia zatilia shaka matokeo ya kura ya maoni

    Asasi za kiraia Tunisia zatilia shaka matokeo ya kura ya maoni

    Aug 06, 2022 03:53

    Asasi za kiraia na mashirika yasiyo ya serikali nchini Tunisia yametilia shaka uhalali wa matokeo ya kura ya maoni ya kubadilisha katiba iliyofanyika zaidi ya wiki moja iliyopita.

  • Al-Ghannouchi: Matokeo ya kura ya maoni ya katiba ya Tunisia ni kichekesho

    Al-Ghannouchi: Matokeo ya kura ya maoni ya katiba ya Tunisia ni kichekesho

    Jul 28, 2022 11:06

    Mkuu wa chama chenye mielekeo ya Kiislam cha "Ennahda" nchini Tunisia aliyataja matokeo ya kura ya maoni ya katiba kuwa ni "kichekesho" na kutahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea migawanyiko ndani ya jamii ya Tunisia.

  • Ushiriki mdogo wa Watunisia katika kura ya maoni ya marekebisho ya katiba

    Ushiriki mdogo wa Watunisia katika kura ya maoni ya marekebisho ya katiba

    Jul 28, 2022 02:23

    Hatimaye baada ya malumbano mengi, kura ya maoni ya marekebisho ya katiba ya Tunisia ilifanyika siku chche zilizopita licha ya kususiwa na kambi ya upinzani na mashirika mengi ya kiraia.

  • Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni

    Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni

    Jul 26, 2022 07:07

    Rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wa Tunisia, Kais Saied imepasishwa licha ya kujitokeza idadi ndogo ya watu katika zoezi la upigaji kura ya maoni lililofanyika jana Jumatatu nchini humo.

  • Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia

    Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia

    Jul 25, 2022 07:53

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa kura ya maoni ya katiba mpya ya Tunisia inafanyika leo nchini humo.

  • Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi

    Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi

    Jul 25, 2022 02:28

    Wakati Tunisia ikiitisha zoezi la kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya, maandamano ya wananchi yanayoendelea nchini humo yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko baada ya jeshi kuingilia kati.

  • Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Jul 24, 2022 07:24

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Tunisia wamemimika katika mitaa na barabara za nchi hiyo kushiriki maandamano ya kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wao, Kais Saied.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS