Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Asasi za kiraia Tunisia zatilia shaka matokeo ya kura ya maoni

    Asasi za kiraia Tunisia zatilia shaka matokeo ya kura ya maoni

    Aug 06, 2022 03:53

    Asasi za kiraia na mashirika yasiyo ya serikali nchini Tunisia yametilia shaka uhalali wa matokeo ya kura ya maoni ya kubadilisha katiba iliyofanyika zaidi ya wiki moja iliyopita.

  • Al-Ghannouchi: Matokeo ya kura ya maoni ya katiba ya Tunisia ni kichekesho

    Al-Ghannouchi: Matokeo ya kura ya maoni ya katiba ya Tunisia ni kichekesho

    Jul 28, 2022 11:06

    Mkuu wa chama chenye mielekeo ya Kiislam cha "Ennahda" nchini Tunisia aliyataja matokeo ya kura ya maoni ya katiba kuwa ni "kichekesho" na kutahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea migawanyiko ndani ya jamii ya Tunisia.

  • Ushiriki mdogo wa Watunisia katika kura ya maoni ya marekebisho ya katiba

    Ushiriki mdogo wa Watunisia katika kura ya maoni ya marekebisho ya katiba

    Jul 28, 2022 02:23

    Hatimaye baada ya malumbano mengi, kura ya maoni ya marekebisho ya katiba ya Tunisia ilifanyika siku chche zilizopita licha ya kususiwa na kambi ya upinzani na mashirika mengi ya kiraia.

  • Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni

    Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni

    Jul 26, 2022 07:07

    Rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wa Tunisia, Kais Saied imepasishwa licha ya kujitokeza idadi ndogo ya watu katika zoezi la upigaji kura ya maoni lililofanyika jana Jumatatu nchini humo.

  • Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia

    Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia

    Jul 25, 2022 07:53

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa kura ya maoni ya katiba mpya ya Tunisia inafanyika leo nchini humo.

  • Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi

    Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi

    Jul 25, 2022 02:28

    Wakati Tunisia ikiitisha zoezi la kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya, maandamano ya wananchi yanayoendelea nchini humo yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko baada ya jeshi kuingilia kati.

  • Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Jul 24, 2022 07:24

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Tunisia wamemimika katika mitaa na barabara za nchi hiyo kushiriki maandamano ya kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wao, Kais Saied.

  • Tunisia:Kiongozi wa chama cha An Nahdhah aachiwa baada ya kusailiwa

    Tunisia:Kiongozi wa chama cha An Nahdhah aachiwa baada ya kusailiwa

    Jul 20, 2022 11:52

    Kiongozi wa chama cha Kiislamu Tunisia cha An Nahdhah ameachiwa huru na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kuhojiwa kwa muda wa masaa tisa.

  • Taasisi nchini Tunisia zataka kufutwa kura ya maoni kuhusu katiba

    Taasisi nchini Tunisia zataka kufutwa kura ya maoni kuhusu katiba

    Jul 19, 2022 08:07

    Taasisi 40 na wananchi wa Tunisia wamemtaka Rais wa nchi hiyo Kais Saeid kuacha kuendesha kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo.

  • Ghannouchi: Kais Saied anataka kuimarisha utawala wa kidikteta Tunisia

    Ghannouchi: Kais Saied anataka kuimarisha utawala wa kidikteta Tunisia

    Jul 16, 2022 07:51

    Kiongozi wa chama cha Ennahda cha Tunisia, Rached Ghannouchi, amesema kwamba Rais Kais Saied anatumia kura ya maoni juu ya katiba mpya kuimarisha udikteta, akionya kwamba hali ya Sri Lanka inaweza kujikariri nchini Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS