-
Upinzani Tunisia kutoshiriki uchaguzi kwa sheria zilizoandikwa na 'rais peke yake'
Sep 08, 2022 06:07Muungano mkuu wa upinzani nchini Tunisia umesema wanachama wake, kikiwemo chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa cha Ennahdha utasusia uchaguzi wa bunge uliopangwa kufanyika mwezi Desemba kuchukua nafasi ya bunge lililovunjwa na Rais Kais Saied wa nchi hiyo.
-
Uhaba mkubwa wa bidhaa za vyakula na ongezeko la kutisha la bei vyaisokota Tunisia
Sep 03, 2022 21:55Masoko na vituo vikubwa vya biashara nchini Tunisia vinakabiliwa na uhaba mkubwa wa bidhaa za vyakula muhimu sambamba na ongezeko ambalo halijawahi kushuhudiwa la bei za bidhaa mbalimbali.
-
Rais wa Tunisia akosoa uingiliaji wa mambo ya ndani wa Marekani
Aug 31, 2022 02:46Rais wa Tunisia amekosoa vikali kile alichokitaja kuwa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya taifa hilo la Kiarabu la kaskazini mwa Afrika.
-
Morocco yamuita nyumbani balozi wa Tunisia kuhusu mzozo wa Sahara Magharibi, Tunis yajibu
Aug 27, 2022 06:51Morocco imemuita nyumbani balozi wake wa Tunisia kulalamikia kitendo cha Rais wa Kais Saied wa Tunisia kumpokea kiongozi wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.
-
Wapinzani Tunisia waendelea kupinga katiba mpya
Aug 20, 2022 09:04Wakati Rais wa Tunisia Kais Saied ametangaza kutekelezwa kwa katiba mpya ya nchi, Harakati ya Ennahda ya Tunisia imepinga hatua hiyo na kusema katiba hiyo haina uhalali. Harakati ya Ennahda imetangaza katiba mpya kama jaribio la kuhalalisha mapinduzi dhidi ya katiba, na pia ni dhidi ya mafanikio ya mwamko wa wananchi.
-
Katiba mpya inayompa rais mamlaka makubwa yaanza kutekelezwa Tunisia
Aug 17, 2022 07:36Katiba mpya ya Tunisia inayompa rais wa Jamhuri nguvu na mamlaka mengi na makubwa imeanza kutekelezwa, baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo rasmi ya mwisho ya kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita.
-
Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji
Aug 11, 2022 03:07Mahakama moja nchini Tunisia imebatilisha uamuzi wa Rais Kais Saied wa nchi hiyo wa kuwafuta kazi makumi ya majaji.
-
Asasi za kiraia Tunisia zatilia shaka matokeo ya kura ya maoni
Aug 05, 2022 23:23Asasi za kiraia na mashirika yasiyo ya serikali nchini Tunisia yametilia shaka uhalali wa matokeo ya kura ya maoni ya kubadilisha katiba iliyofanyika zaidi ya wiki moja iliyopita.
-
Al-Ghannouchi: Matokeo ya kura ya maoni ya katiba ya Tunisia ni kichekesho
Jul 28, 2022 06:36Mkuu wa chama chenye mielekeo ya Kiislam cha "Ennahda" nchini Tunisia aliyataja matokeo ya kura ya maoni ya katiba kuwa ni "kichekesho" na kutahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea migawanyiko ndani ya jamii ya Tunisia.
-
Ushiriki mdogo wa Watunisia katika kura ya maoni ya marekebisho ya katiba
Jul 27, 2022 21:53Hatimaye baada ya malumbano mengi, kura ya maoni ya marekebisho ya katiba ya Tunisia ilifanyika siku chche zilizopita licha ya kususiwa na kambi ya upinzani na mashirika mengi ya kiraia.