-
Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni
Jul 26, 2022 02:37Rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wa Tunisia, Kais Saied imepasishwa licha ya kujitokeza idadi ndogo ya watu katika zoezi la upigaji kura ya maoni lililofanyika jana Jumatatu nchini humo.
-
Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia
Jul 25, 2022 03:23Vyombo vya habari vimeripoti kuwa kura ya maoni ya katiba mpya ya Tunisia inafanyika leo nchini humo.
-
Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi
Jul 24, 2022 21:58Wakati Tunisia ikiitisha zoezi la kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya, maandamano ya wananchi yanayoendelea nchini humo yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko baada ya jeshi kuingilia kati.
-
Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais
Jul 24, 2022 02:54Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Tunisia wamemimika katika mitaa na barabara za nchi hiyo kushiriki maandamano ya kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wao, Kais Saied.
-
Tunisia:Kiongozi wa chama cha An Nahdhah aachiwa baada ya kusailiwa
Jul 20, 2022 07:22Kiongozi wa chama cha Kiislamu Tunisia cha An Nahdhah ameachiwa huru na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kuhojiwa kwa muda wa masaa tisa.
-
Taasisi nchini Tunisia zataka kufutwa kura ya maoni kuhusu katiba
Jul 19, 2022 03:37Taasisi 40 na wananchi wa Tunisia wamemtaka Rais wa nchi hiyo Kais Saeid kuacha kuendesha kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo.
-
Ghannouchi: Kais Saied anataka kuimarisha utawala wa kidikteta Tunisia
Jul 16, 2022 03:21Kiongozi wa chama cha Ennahda cha Tunisia, Rached Ghannouchi, amesema kwamba Rais Kais Saied anatumia kura ya maoni juu ya katiba mpya kuimarisha udikteta, akionya kwamba hali ya Sri Lanka inaweza kujikariri nchini Tunisia.
-
Rais wa zamani wa Tunisia akosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo
Jul 06, 2022 03:09Rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki, amekosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ambayo ilizinduliwa na Rais Kais Saeid wa nchi hiyo.
-
Kamati ya Katiba Tunisia yapinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais
Jul 04, 2022 20:31Mkuu wa Kamati ya Katiba ya Tunisia ametangaza upinnzani wake dhidi ya rasimu ya katiba mpya iliyotangazwa na Rais Kais Saeid wa nchi hiyo, akisema kuwa Rais Saeid anapigania kuwepo katiba ya upande mmoja nchini humo.
-
Wafanyakazi Tunisia wasema Katiba mpya inatishia demokrasia
Jul 03, 2022 03:10Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT umepinga vikali azma ya Rais Kais Saeid wa nchi hiyo ya kuifanyia mabadiliko katiba ya nchi kwa maslahi yake binafsi, ukisisitiza kuwa mpango huo ni tishio kubwa kwa demokrasia nchini humo.