-
Tunisia:Kiongozi wa chama cha An Nahdhah aachiwa baada ya kusailiwa
Jul 20, 2022 11:52Kiongozi wa chama cha Kiislamu Tunisia cha An Nahdhah ameachiwa huru na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kuhojiwa kwa muda wa masaa tisa.
-
Taasisi nchini Tunisia zataka kufutwa kura ya maoni kuhusu katiba
Jul 19, 2022 08:07Taasisi 40 na wananchi wa Tunisia wamemtaka Rais wa nchi hiyo Kais Saeid kuacha kuendesha kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo.
-
Ghannouchi: Kais Saied anataka kuimarisha utawala wa kidikteta Tunisia
Jul 16, 2022 07:51Kiongozi wa chama cha Ennahda cha Tunisia, Rached Ghannouchi, amesema kwamba Rais Kais Saied anatumia kura ya maoni juu ya katiba mpya kuimarisha udikteta, akionya kwamba hali ya Sri Lanka inaweza kujikariri nchini Tunisia.
-
Rais wa zamani wa Tunisia akosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo
Jul 06, 2022 07:39Rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki, amekosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ambayo ilizinduliwa na Rais Kais Saeid wa nchi hiyo.
-
Kamati ya Katiba Tunisia yapinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais
Jul 05, 2022 01:01Mkuu wa Kamati ya Katiba ya Tunisia ametangaza upinnzani wake dhidi ya rasimu ya katiba mpya iliyotangazwa na Rais Kais Saeid wa nchi hiyo, akisema kuwa Rais Saeid anapigania kuwepo katiba ya upande mmoja nchini humo.
-
Wafanyakazi Tunisia wasema Katiba mpya inatishia demokrasia
Jul 03, 2022 07:40Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT umepinga vikali azma ya Rais Kais Saeid wa nchi hiyo ya kuifanyia mabadiliko katiba ya nchi kwa maslahi yake binafsi, ukisisitiza kuwa mpango huo ni tishio kubwa kwa demokrasia nchini humo.
-
Rais wa Tunisia azindua rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo inayopingwa na wengi
Jul 01, 2022 08:03Rais Kais Saeid wa Tunisia amezindua rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ambayo ndani yake inashuhudiwa kwa uwazi jinsi rais huyo alivyoongezewa mamlaka ya utawala.
-
Kiongozi wa Ennahdha, Rached Ghannouchi na wenzake 33 wafunguliwa mashtaka rasmi ya "ugaidi"
Jun 30, 2022 02:18Timu ya watetezi ya viongozi wa mrengo wa kushoto, Chokri Belaid na Mohamed Brahmi, imetangaza kwamba mahakama ya Tunisia imemfungulia mashtaka mkuu wa harakati ya Ennahdha, Rached Ghannouchi na watu wengine 32 kwa tuhuma za "ugaidi".
-
Rais wa zamani wa Tunisia ataka kususiwa kura ya maoni
Jun 27, 2022 03:45Moncef al Marzouq Rais wa zamani wa Tunisia amewatolea wito wananchi kususia kura ya maoni kuhusu katiba ya nchi hiyo.
-
Tunisia yapinga ushiriki wa Israel katika maneva ya Simba wa Afrika 2022
Jun 26, 2022 03:09Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imepinga ushiriki wa jeshi la utawala wa haramu wa Israel katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi "African Lion 2022" (Simba wa Afrika 2022).