Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni

    Tunisia yapasisha katiba mpya licha ya wananchi wengi kususia kura ya maoni

    Jul 26, 2022 02:37

    Rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wa Tunisia, Kais Saied imepasishwa licha ya kujitokeza idadi ndogo ya watu katika zoezi la upigaji kura ya maoni lililofanyika jana Jumatatu nchini humo.

  • Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia

    Kura ya maoni ya katiba mpya yafanyika nchini Tunisia

    Jul 25, 2022 03:23

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa kura ya maoni ya katiba mpya ya Tunisia inafanyika leo nchini humo.

  • Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi

    Kura ya maoni ya katiba ya Tunisia katika kivuli cha maandamano ya wananchi

    Jul 24, 2022 21:58

    Wakati Tunisia ikiitisha zoezi la kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya, maandamano ya wananchi yanayoendelea nchini humo yamegeuka na kuwa ghasia na machafuko baada ya jeshi kuingilia kati.

  • Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Watunisia waandamana tena kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Jul 24, 2022 02:54

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Tunisia wamemimika katika mitaa na barabara za nchi hiyo kushiriki maandamano ya kupinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais wao, Kais Saied.

  • Tunisia:Kiongozi wa chama cha An Nahdhah aachiwa baada ya kusailiwa

    Tunisia:Kiongozi wa chama cha An Nahdhah aachiwa baada ya kusailiwa

    Jul 20, 2022 07:22

    Kiongozi wa chama cha Kiislamu Tunisia cha An Nahdhah ameachiwa huru na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kuhojiwa kwa muda wa masaa tisa.

  • Taasisi nchini Tunisia zataka kufutwa kura ya maoni kuhusu katiba

    Taasisi nchini Tunisia zataka kufutwa kura ya maoni kuhusu katiba

    Jul 19, 2022 03:37

    Taasisi 40 na wananchi wa Tunisia wamemtaka Rais wa nchi hiyo Kais Saeid kuacha kuendesha kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo.

  • Ghannouchi: Kais Saied anataka kuimarisha utawala wa kidikteta Tunisia

    Ghannouchi: Kais Saied anataka kuimarisha utawala wa kidikteta Tunisia

    Jul 16, 2022 03:21

    Kiongozi wa chama cha Ennahda cha Tunisia, Rached Ghannouchi, amesema kwamba Rais Kais Saied anatumia kura ya maoni juu ya katiba mpya kuimarisha udikteta, akionya kwamba hali ya Sri Lanka inaweza kujikariri nchini Tunisia.

  • Rais wa zamani wa Tunisia akosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo

    Rais wa zamani wa Tunisia akosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo

    Jul 06, 2022 03:09

    Rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki, amekosoa rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ambayo ilizinduliwa na Rais Kais Saeid wa nchi hiyo.

  • Kamati ya Katiba Tunisia yapinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Kamati ya Katiba Tunisia yapinga rasimu ya katiba iliyopendekezwa na Rais

    Jul 04, 2022 20:31

    Mkuu wa Kamati ya Katiba ya Tunisia ametangaza upinnzani wake dhidi ya rasimu ya katiba mpya iliyotangazwa na Rais Kais Saeid wa nchi hiyo, akisema kuwa Rais Saeid anapigania kuwepo katiba ya upande mmoja nchini humo.

  • Wafanyakazi Tunisia wasema Katiba mpya inatishia demokrasia

    Wafanyakazi Tunisia wasema Katiba mpya inatishia demokrasia

    Jul 03, 2022 03:10

    Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT umepinga vikali azma ya Rais Kais Saeid wa nchi hiyo ya kuifanyia mabadiliko katiba ya nchi kwa maslahi yake binafsi, ukisisitiza kuwa mpango huo ni tishio kubwa kwa demokrasia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS