Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Kuendelea mgogoro Tunisia kwa kuvunjika mazungumzo ya serikali na wapinzani

    Kuendelea mgogoro Tunisia kwa kuvunjika mazungumzo ya serikali na wapinzani

    Jun 16, 2022 03:51

    Mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia umechukua sura na muelekeo mpana zaidi baada ya kuvunjika mazungumzo baina ya serikali na muungano wa asasi za ajira, ambao ndio mwamvuli mkubwa zaidi wa miungano mbalimbali inayopinga sera za serikali ya sasa ya nchi hiyo; na sasa muungano huo umewatolea mwito wananchi kushiriki kwenye mgomo wa umma wa nchi nzima.

  • Tunisia: Hatufanyi mazungumzo ya kidiplomasia na Israel

    Tunisia: Hatufanyi mazungumzo ya kidiplomasia na Israel

    Jun 09, 2022 23:20

    Tunisia imekadhibisha ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa imeanzisha mazungumzo ya kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • An-Nahdhah: Tutakabiliana na kura ya maoni ya 'mapinduzi' dhidi ya katiba ya Tunisia

    An-Nahdhah: Tutakabiliana na kura ya maoni ya 'mapinduzi' dhidi ya katiba ya Tunisia

    Jun 08, 2022 03:38

    Chama cha Kiislamu nchini Tunisia cha An-Nahdhah kimetangaza kuwa, kitaanzisha muungano na vuguvugu kubwa la kisiasa na la umma kukabilana na mapinduzi dhidi ya katiba ya nchi hiyo.

  • Polisi Tunisia wapambana na waandamamaji wanaopinga kura ya maoni ya Julai

    Polisi Tunisia wapambana na waandamamaji wanaopinga kura ya maoni ya Julai

    Jun 05, 2022 08:02

    Mapambano yamezuka mjini Tunis kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga kura ya maoni iliyoitishwa na Rais Kais Saeid wa Tunisia kufanyika nchini humo mwezi ujao wa Julai takriban mwaka mmoja tangu kiongozi huyo alipochukua hatua inayoelezewa na wakosoaji wake kama mapinduzi ya kijeshi.

  • Alkhamisi tarehe 26 Mei mwaka 2022

    Alkhamisi tarehe 26 Mei mwaka 2022

    May 26, 2022 03:08

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na Mei 26 mwaka 2022.

  • Mawakili wa Tunisia wataka kuanzisha uhusiano na Israel kutambuliwe kuwa ni uhalifu

    Mawakili wa Tunisia wataka kuanzisha uhusiano na Israel kutambuliwe kuwa ni uhalifu

    Apr 26, 2022 03:12

    Kituo cha Taifa cha Mawakili nchini Tunisia kimewataka viongozi wa nchi hiyo kulitambua suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel kuwa ni jinai na uhalifu.

  • Meli iliyobeba tani 750 za mafuta ya dizeli yazama katika pwani ya Tunisia

    Meli iliyobeba tani 750 za mafuta ya dizeli yazama katika pwani ya Tunisia

    Apr 16, 2022 13:36

    Meli iliyokuwa imesheheni tani 750 za mafuta ya dizeli imezama leo Jumamosi katika Ghuba ya Gabes katika ukanda wa pwani ya Tunisia.

  • Marzouki alitaka jeshi la Tunisia kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo

    Marzouki alitaka jeshi la Tunisia kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo

    Apr 11, 2022 11:29

    Rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki ametoa wito kwa jeshi na vikosi vya usalama vya nchi hiyo kuingilia kati na kumwondoa madarakani rais wa sasa, Kais Saied na kulikabidhi mamlaka bunge lililochaguliwa na wananchi hadi pale uchaguzi mpya uliohuru na wa haki utakapofanyika.

  • Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji Tunisia

    Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji Tunisia

    Apr 11, 2022 02:36

    Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Tunisia, wakijaribu kuelekea Italia.

  • Amnesty International yaitaka serikali ya Tunisia kukomesha

    Amnesty International yaitaka serikali ya Tunisia kukomesha "mashtaka ya kisiasa" dhidi ya wabunge

    Apr 10, 2022 11:15

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa serikali ya Tunisia kukomesha manyanyaso ya kisiasa dhidi ya wabunge na kuheshimu haki na uhuru wao wa kujieleza, kukusanyika na kujumuika kwa amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS