-
Rais wa Tunisia azindua rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo inayopingwa na wengi
Jul 01, 2022 03:33Rais Kais Saeid wa Tunisia amezindua rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo ambayo ndani yake inashuhudiwa kwa uwazi jinsi rais huyo alivyoongezewa mamlaka ya utawala.
-
Kiongozi wa Ennahdha, Rached Ghannouchi na wenzake 33 wafunguliwa mashtaka rasmi ya "ugaidi"
Jun 29, 2022 21:48Timu ya watetezi ya viongozi wa mrengo wa kushoto, Chokri Belaid na Mohamed Brahmi, imetangaza kwamba mahakama ya Tunisia imemfungulia mashtaka mkuu wa harakati ya Ennahdha, Rached Ghannouchi na watu wengine 32 kwa tuhuma za "ugaidi".
-
Rais wa zamani wa Tunisia ataka kususiwa kura ya maoni
Jun 26, 2022 23:15Moncef al Marzouq Rais wa zamani wa Tunisia amewatolea wito wananchi kususia kura ya maoni kuhusu katiba ya nchi hiyo.
-
Tunisia yapinga ushiriki wa Israel katika maneva ya Simba wa Afrika 2022
Jun 25, 2022 22:39Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imepinga ushiriki wa jeshi la utawala wa haramu wa Israel katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi "African Lion 2022" (Simba wa Afrika 2022).
-
Wizara ya Mambo ya Ndani Tunisia: Kuna njama ya kumuua Kais Saied
Jun 24, 2022 22:32Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza kuwa ina taarifa za kuaminika zinazothibitisha kuwepo kwa vitisho vinavyolenga uhai wa Rais wa Jamhuri, Kais Saied.
-
Rais wa Tunisia apasisha kufutwa Uislamu katika katiba ya nchi hiyo
Jun 23, 2022 20:46Rais wa Tunisia, Kais Saied alitangaza Jumanne (tarehe 21 Juni) kwamba Uislamu hautakuwa tena dini ya serikali katika katiba mpya, ambayo itapigiwa kura ya maoni Julai 25, na kwamba jina la Uislamu halitakuwemo tena katika katiba mpya ya nchi hiyo.
-
Kuendelea maandamano ya Watunisia wanaopinga kura ya maoni ya katiba
Jun 20, 2022 22:07Mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia umeshtadi na kupamba moto zaidi. Sambamba na kukaribia tarehe ya kufanyika kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba, maelfu ya Watunisia wameendeleza maandamano ya kupinga kura hiyo ya maoni.
-
Kuendelea mgogoro Tunisia kwa kuvunjika mazungumzo ya serikali na wapinzani
Jun 15, 2022 23:21Mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia umechukua sura na muelekeo mpana zaidi baada ya kuvunjika mazungumzo baina ya serikali na muungano wa asasi za ajira, ambao ndio mwamvuli mkubwa zaidi wa miungano mbalimbali inayopinga sera za serikali ya sasa ya nchi hiyo; na sasa muungano huo umewatolea mwito wananchi kushiriki kwenye mgomo wa umma wa nchi nzima.
-
Tunisia: Hatufanyi mazungumzo ya kidiplomasia na Israel
Jun 09, 2022 18:50Tunisia imekadhibisha ripoti ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa imeanzisha mazungumzo ya kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
An-Nahdhah: Tutakabiliana na kura ya maoni ya 'mapinduzi' dhidi ya katiba ya Tunisia
Jun 07, 2022 23:08Chama cha Kiislamu nchini Tunisia cha An-Nahdhah kimetangaza kuwa, kitaanzisha muungano na vuguvugu kubwa la kisiasa na la umma kukabilana na mapinduzi dhidi ya katiba ya nchi hiyo.