-
Meli iliyobeba tani 750 za mafuta ya dizeli yazama katika pwani ya Tunisia
Apr 16, 2022 09:06Meli iliyokuwa imesheheni tani 750 za mafuta ya dizeli imezama leo Jumamosi katika Ghuba ya Gabes katika ukanda wa pwani ya Tunisia.
-
Marzouki alitaka jeshi la Tunisia kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo
Apr 11, 2022 06:59Rais wa zamani wa Tunisia, Moncef Marzouki ametoa wito kwa jeshi na vikosi vya usalama vya nchi hiyo kuingilia kati na kumwondoa madarakani rais wa sasa, Kais Saied na kulikabidhi mamlaka bunge lililochaguliwa na wananchi hadi pale uchaguzi mpya uliohuru na wa haki utakapofanyika.
-
Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji Tunisia
Apr 10, 2022 22:06Watoto 6 miongoni mwa wahajiri 13 waliokufa maji baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Tunisia, wakijaribu kuelekea Italia.
-
Amnesty International yaitaka serikali ya Tunisia kukomesha "mashtaka ya kisiasa" dhidi ya wabunge
Apr 10, 2022 06:45Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa serikali ya Tunisia kukomesha manyanyaso ya kisiasa dhidi ya wabunge na kuheshimu haki na uhuru wao wa kujieleza, kukusanyika na kujumuika kwa amani.
-
Rais wa Tunisia aigiza Tume ya Uchaguzi iandae uchaguzi wa Bunge
Apr 05, 2022 07:22Rais wa Tunisia, Kais Saied ameitaka Tume Huru ya Uchaguzi nchini humo (ISIE) ifanye maandalizi ya uchaguzi wa Bunge uliopangwa kufanyika Disemba 17 mwaka huu.
-
Kuvunjwa Bunge la Tunisia
Apr 01, 2022 03:12Rais Kais Saied wa Tunisia amelivunja Bunge la nchi hiyo kufuatia kushtadi mivutano ya kisiasa nchini humo.
-
Rais Kais Saied wa Tunisia avunja Bunge, asema kuna jaribio la mapinduzi
Mar 30, 2022 22:42Rais wa Tunisia, Kais Saied jana Jumatano alitangaza kuvunja Bunge muda mfupi baada ya bunge hilo kupitisha sheria ya kufuta hatua za dharura zilizotangazwa na kiongozi huyo majira ya joto mwaka jana.
-
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia anusurika kuuawa na magaidi
Mar 27, 2022 03:30Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia, Taoufik Charfeddine amenusurika kuuawa katika shambulio linaloaminika kuwa la kigaidi.
-
Miili 20 ya wahajiri yaopolewa baharini pwani ya Tunisia
Mar 20, 2022 04:10Wapiga mbizi na maafisa usalama wa Tunisia jana Jumamosi waliopoa miili ya watu wengine wanane baada ya boti yao kuzama katika pwani ya nchi hiyo, na kufikisha idadi ya maiti zilizoopolewa hadi sasa kufikia 20.
-
Wanachama wa genge moja la kigaidi watiwa mbaroni nchini Tunisia
Mar 16, 2022 10:24Askari usalama nchini Tunisia wametangaza kuwa, wamefanikiwa kusambaratisha mtandao mmoja wa kigaidi ujulikanao kwa jila la "al Muwahhidun" katika miji wa Tataouine na Soussa ya kusini mwa mji mkuu Tunis.