Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Kurefushwa hali ya hatari nchini Tunisia

    Kurefushwa hali ya hatari nchini Tunisia

    Feb 19, 2022 12:05

    Rais wa Tunisia, Kais Saied, amerufusha muda wa hali ya hatari nchini humo hadi mwishoni mwa huu wa 2022, licha ya maandamano yanayoendelea kufanyika kote nchini humo.

  • Rais wa Tunisia aanzisha Baraza Kuu la Mahakama la muda

    Rais wa Tunisia aanzisha Baraza Kuu la Mahakama la muda

    Feb 13, 2022 07:51

    Rais Kasi Saied wa Tunisia ametangaza kuanzisha Baraza Kuu la Idara ya Mahakama la muda baada ya kulivunja lile lililokuwepo.

  • Kuvunjwa kwa Baraza Kuu la Mahakama la Tunisia, hatua ya kuongeza mamlaka ya Kais Saied

    Kuvunjwa kwa Baraza Kuu la Mahakama la Tunisia, hatua ya kuongeza mamlaka ya Kais Saied

    Feb 08, 2022 04:36

    Rais wa Tunisia Kais Saied amesema ameamua kulivunja Baraza Kuu la Mahakama nchini humo katika hali ya kutatanisha ambayo imeibua wasiwasi kuhusu uhuru wa mahakama.

  • Le Point: Tunisia inaporomoka kuelekea kuzimu

    Le Point: Tunisia inaporomoka kuelekea kuzimu

    Feb 08, 2022 02:45

    Nchi ya Tunisia ambayo miaka 11 iliyopita, ilisifiwa kwa kuwa kinara wa demokrasia kati ya nchi za Kiarabu zilizokumbwa na wimbi la mapinduzi ya wananchi na kupewa hadhi ya kuwa mgeni wa heshima katika mkutano wa G7, sasa inaonekana kufifia na kuorodheshwa kati ya nchi za kifisadi.

  • Rais wa Tunisia avunja Baraza Kuu la Idara ya Mahakama

    Rais wa Tunisia avunja Baraza Kuu la Idara ya Mahakama

    Feb 07, 2022 02:31

    Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza habari ya kulivunja Baraza Kuu la Idara ya Mahakama, huku msuguano mkali ukiendelea kushuhudiwa baina yake na mhimili huo wa dola.

  • Umoja wa Mataifa waelezea kusikitishwa na hali mbaya ya kisiasa nchini Tunisia

    Umoja wa Mataifa waelezea kusikitishwa na hali mbaya ya kisiasa nchini Tunisia

    Jan 22, 2022 14:04

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kufuatia kuongezeka ukandamizaji wa wapinzani nchini Tunisia sambamba na wakati huu wa kuadhimisha mapinduzi ya wananchi yaliyomng'oa madarakani dikteta Zainul Abidin Ben Ali.

  • Chama cha Nahdha Tunisia chataka kuhitimishwa ukandamizaji dhidi ya waandamanaji

    Chama cha Nahdha Tunisia chataka kuhitimishwa ukandamizaji dhidi ya waandamanaji

    Jan 16, 2022 02:45

    Chama cha Nahdha cha Tunisia kimetoa taarifa kikitaka kuhitimishwa vitendo vya utumiaji mabavu na ukandamizaji unaofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya maandamano ya amani ya wananchi wa nchi hiyo.

  • Rais wa Tunisia akosolewa kwa kuandaa bajeti bila kumshirikisha yeyote

    Rais wa Tunisia akosolewa kwa kuandaa bajeti bila kumshirikisha yeyote

    Jan 15, 2022 11:09

    Muungano wa Wafanyakazi Tunisia (UGTT) umemkosoa vikali Rais Kais Saied wa nchi hiyo, kwa kutwaa mamlaka yote ya nchi, na kuandaa bajeti ya nchi yeye binafsi pasi na kuzishirikisha taasisi nyingine husika.

  • Maandamano dhidi ya serikali nchini Tunisia katika maadhimisho ya mapinduzi ya Januari 14

    Maandamano dhidi ya serikali nchini Tunisia katika maadhimisho ya mapinduzi ya Januari 14

    Jan 15, 2022 10:41

    Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa harakati ya wananchi wa Tunisia iliyopelekea kupinduliwa serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zine El Abidine Ben Ali, Tunisia jana Ijumaa ilishuhidia maandamano makubwa ya kupinga utendaji wa kiongozi wa sasa wa nchji hiyo, Kais Saied.

  • Chama cha Ennahda Tunisia chatoa wito wa maandamano makubwa Ijumaa ijayo

    Chama cha Ennahda Tunisia chatoa wito wa maandamano makubwa Ijumaa ijayo

    Jan 11, 2022 14:10

    Chama cha Ennahda chenye mfungamano na Harakati ya Ikhwanul Muslimini cha Tunisia kimetoa taarifa kikiwatolea wito wananchi kushiriki kwa wingi katika maandamano yatakayofanyika nchini humo Ijumaa tarehe 14 mwezi huu wa Januari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS