Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubelgiji

  • IRGC: Meli mbili za mafuta za Ugiriki zimekamatwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi kwa kukiuka taratibu

    IRGC: Meli mbili za mafuta za Ugiriki zimekamatwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi kwa kukiuka taratibu

    May 28, 2022 03:15

    Idara Kuu ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imetangaza kuwa meli mbili za mafuta za Ugiriki zimekamatwa katika maji ya Ghuba ya Uajemi kwa sababu ya kukiuka taratibu.

  • Alkhamisi 3 Februari 2022

    Alkhamisi 3 Februari 2022

    Feb 03, 2022 03:13

    Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Rajab 1443 Hijria sawa na tarehe 3 Februari 2022.

  • Safari tarajiwa ya rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Uturuki

    Safari tarajiwa ya rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Uturuki

    Jan 20, 2022 09:35

    Baadhi ya matukio ya miaka ya hivi karibuni yanaonyesha kuwepo mkakati maalumu wa kuanzishwa tena uhusiano wa karibu baina ya Uturuki na utawala wa kibaguzi wa Israel.

  • Ugiriki, Misri na Cyprus zaionya Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi

    Ugiriki, Misri na Cyprus zaionya Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi

    Oct 20, 2021 07:20

    Wakuu wa nchi za Cyprus, Misri na Ugiriki jana Jumanne walikutana mjini Athens na kutoa onyo kali kwa Uturuki iache vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mashariki mwa Bahari ya Mediterranean.

  • Alkhamisi, 25 Machi, 2021

    Alkhamisi, 25 Machi, 2021

    Mar 25, 2021 02:26

    Leo ni Alkhamisi tarehe 11 ya mwezi Shaaban 1442 Hijria mweafaka na tarehe 25 Machi 2021 Miladia.

  • Lavrov: Russia ina wasiwasi na hatua za Marekani za kuibua mivutano Mediterania

    Lavrov: Russia ina wasiwasi na hatua za Marekani za kuibua mivutano Mediterania

    Sep 08, 2020 12:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza wasiwasi wake kuhusu hatua za Marekani za kuzusha hali ya mivutano katika eneo la mashariki mwa Mediterania.

  • Tahadhari ya Josep Borrell kwa Uturuki na kushadidi mivutano baina ya EU na Ankara

    Tahadhari ya Josep Borrell kwa Uturuki na kushadidi mivutano baina ya EU na Ankara

    Sep 08, 2020 02:34

    Kushadidi hitilafu baina ya Ugiriki na Uturuki juu ya suala la kutafuta mafuta na gesi katika Bahari ya Aegean ambako kumeziweka nchi hizo mbili katika ncha ya kutumbukia kwenye vita, kumefuatiwa na ukosoaji wa Umoja wa Ulaya ambao umetoa tahadahri kali kwa serikali ya Uturuki.

  • Bunge la Ugiriki laafiki mapatano ya baharini yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Misri

    Bunge la Ugiriki laafiki mapatano ya baharini yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Misri

    Aug 28, 2020 07:29

    Bunge la Ugiriki hatimaye limepasisha mapatano yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Misri ya kuianisha mipaka ya baharini.

  • Kuongezeka mvutano kati ya Uturuki na Ufaransa mashariki mwa Bahari ya Mediterania

    Kuongezeka mvutano kati ya Uturuki na Ufaransa mashariki mwa Bahari ya Mediterania

    Aug 15, 2020 04:07

    Umoja wa Ulaya umetoa radiamali hasi kuhusu hatua ya Uturuki ya kutekeleza miradi ya kugundua mafuta na gesi katika maji ya mashariki mwa Bahari ya Mediterania.

  • Kushadidi malumbano ya kisiasa ya Umoja wa Ulaya na Uturuki

    Kushadidi malumbano ya kisiasa ya Umoja wa Ulaya na Uturuki

    Jul 29, 2020 02:29

    Kufuatia kushadidi taharuki baina ya Uturuki na Jordan, Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, ambaye nchi yake inashikilia uwenyekiti wa kimzunguko wa Umoja wa Ulaya, amefanya mazungumzo na Rais Reccep Tayyib Erdogan wa Uturuki na kumtahadharisha kuwa, matatizo aliyonyao na Ugiriki hayataishia tu katika nchi hiyo bali atakumbana na matatizo na bara zima la Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS