Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchaguzi wa bunge

  • Maswali matatu makuu kuhusiana na uchaguzi wa Bunge wa Iraq

    Maswali matatu makuu kuhusiana na uchaguzi wa Bunge wa Iraq

    Oct 13, 2021 10:28

    Duru ya tano ya uchaguzi wa Bunge nchini Iraq imefanyika huku uchaguzi huo ukiibua maswali matatu makuu na ya kimsingi kuhusiana na uchaguzi huo.

  • Chama tawala Morocco chapigwa mweleka mkali, chaambulia viti 12 vya Bunge

    Chama tawala Morocco chapigwa mweleka mkali, chaambulia viti 12 vya Bunge

    Sep 09, 2021 11:46

    Chama kilichotawala kwa muda mrefu nchini Morocco kimepata pigo kubwa katika uchaguzi wa Bunge, kulingana na matokeo ya muda yaliyotangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afriika.

  • Waethiopia wapiga kura katika uchaguzi muhimu wa Bunge

    Waethiopia wapiga kura katika uchaguzi muhimu wa Bunge

    Jun 21, 2021 10:33

    Mamilioni ya wananchi wa Ethiopia mapema leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kwa ajii ya kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la nchi hiyo, uchaguzi ambao umesusiwa na baadhi ya vyama vya upinzani.

  • Sababu na radiamali za kuakhirishwa uchaguzi wa Palestina

    Sababu na radiamali za kuakhirishwa uchaguzi wa Palestina

    May 01, 2021 10:20

    Hatua ya Rais Muhmous Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuakhirisha uchaguzi wa nchi hiyo imekabiliwa na radiamali tofauti za makundi ya kisiasa ya Palestina.

  • ‘Quds’, mhimili mkuu katika uchaguzi wa Bunge la Palestina

    ‘Quds’, mhimili mkuu katika uchaguzi wa Bunge la Palestina

    Apr 23, 2021 10:08

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unajaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) hatua ambayo imekabiliwa na tahadhari kutoka kwa makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina.

  • Kuendelea mgogoro nchini Algeria; kususiwa uchaguzi wa Bunge na vyama vya siasa

    Kuendelea mgogoro nchini Algeria; kususiwa uchaguzi wa Bunge na vyama vya siasa

    Apr 07, 2021 02:34

    Mgogoro wa kisiasa nchini Algeria ungali unaendelea kufukuta kwani licha ya juhudi za serikali za kutuliza hali ya mambo na kuitisha uchaguzi wa Bunge wa mapema, lakini vyama vinne vya siasa vya nchi hiyo vimetangaza kususia uchaguzi huo.

  • Ushindi na utengano kwa wakati mmoja katika kambi ya mrengo wa kulia huko Israel

    Ushindi na utengano kwa wakati mmoja katika kambi ya mrengo wa kulia huko Israel

    Mar 29, 2021 04:41

    Baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Bunge huko Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) imefahamika kwamba, kwa mara nyingine tena kambi ya mrengo wa kuliai meibuka na ushindi katika uchaguzi huo.

  • Radiamali na sababu za pendekezo la kuakhirishwa uchaguzi wa bunge nchini Iraq

    Radiamali na sababu za pendekezo la kuakhirishwa uchaguzi wa bunge nchini Iraq

    Jan 20, 2021 09:20

    Tume ya Uchaguzi nchini Iraq imetaka kuakhirishwa kwa miezi minne uchaguzi wa bunge wa nchi hiyo na badala ya kufanyika mwezi Juni, uitishwe mwezi Oktoba mwaka huu wa 2021.

  • Wapalestina wakaribisha tangazo la tarehe ya kufanyika uchaguzi mkuu

    Wapalestina wakaribisha tangazo la tarehe ya kufanyika uchaguzi mkuu

    Jan 18, 2021 11:22

    Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametangaza kwamba uchaguzi mkuu wa bunge na rais wa mamlaka hiyo utafanyika katika hatua tatu tofauti. Amesema uchaguzi wa bunge utafanyika tarehe 22 Mei, wa rais Julai 31 na wa mabaraza ya miji tarehe 31 Agosti mwaka huu.

  • Radiamali mbalimbali kwa tarehe ya kuitishwa uchaguzi wa mapema wa Bunge nchini Iraq

    Radiamali mbalimbali kwa tarehe ya kuitishwa uchaguzi wa mapema wa Bunge nchini Iraq

    Aug 03, 2020 03:12

    Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq ameitangaza tarehe 6 Juni ya mwaka ujao wa 2021 kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa mapema wa Bunge.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS