Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yapiga marufuku tamasha la muziki 'lisilo la maadili' linalohusishwa na ngono na dawa za kulevya

    Uganda yapiga marufuku tamasha la muziki 'lisilo la maadili' linalohusishwa na ngono na dawa za kulevya

    Sep 07, 2022 03:32

    Uganda jana ilipiga marufuku tamasha la muziki la kielektroniki lisilo la maadili ambalo linaathiri maadili na tabia za watoto katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Uganda yalisimamisha shirika linalotetea vitendo vya ufuska

    Uganda yalisimamisha shirika linalotetea vitendo vya ufuska

    Aug 06, 2022 06:23

    Serikali ya Uganda imesimamisha shughuli za shirika moja lisilo la kiserikali linalotetea eti haki na maslahi ya mabaradhuli na walioko kwenye mahusiano ya watu wenye jinsia moja.

  • Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne

    Museveni: Russia imekuwa rafiki mkubwa wa Afrika kwa zaidi ya karne

    Jul 27, 2022 08:45

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Russia ni rafiki mkubwa wa Afrika na imekuwa ikiunga mkono harakati za kupambana na ukoloni za mataifa ya bara hilo kwa zaidi ya miaka mia moja.

  • Waziri wa mambo ya nje wa Russia aendelea na ziara yake Afrika kwa kuitembelea Uganda

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia aendelea na ziara yake Afrika kwa kuitembelea Uganda

    Jul 26, 2022 07:04

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov amewasili nchini Uganda akiendelea na zaira yake katika nchi kadhaa za Afrika.

  • Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda

    Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda

    Jul 26, 2022 03:24

    Mamia ya watu wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa katika eneo la Karamoja, kaskazini mwa Uganda.

  • Iran na Uganda kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Iran na Uganda kuimarisha uhusiano wa kiuchumi

    Jul 07, 2022 03:39

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Diplomasia ya Uchumi amekutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti na Rais na Waziri Mkuu wa Uganda kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kiuchumi kati ya nchi mbili.

  • Ajali ya basi yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20 nchini Uganda

    Ajali ya basi yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20 nchini Uganda

    May 04, 2022 10:24

    Polisi wa Uganda wamesema watu 20 wameuawa baada ya basi la abiria kuanguka kwenye shamba la chai nje ya barabara kuu magharibi mwa Uganda.

  • UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    Apr 30, 2022 23:40

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine 44 wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dharura la dola za Marekani milioni 47.8 ili kukabiliana na mahitaji muhimu ya maelfu ya wakimbizi waliofika Uganda mwaka huu, wakikimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na za mapigano ya hapa na pale nchini Sudan Kusini.

  • Viongozi wa Waislamu Uganda wazika tofauti zao, wapania kuunda taasisi moja

    Viongozi wa Waislamu Uganda wazika tofauti zao, wapania kuunda taasisi moja

    Apr 13, 2022 03:28

    Viongozi wa makundi na mashirika ya Kiislamu nchini Uganda wametangaza kuungana na kusuluhisha tofauti zao, sanjari na kusaini makubaliano ya kuunda taasisi moja itakayowaleta pamoja na kuwaunganisha.

  • EU yaeleza wasiwasi wake kuhusu kambi za mateso nchini Uganda

    EU yaeleza wasiwasi wake kuhusu kambi za mateso nchini Uganda

    Apr 07, 2022 06:46

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Ulaya katika Masuala ya Haki za Binadamu ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuteswa wafungwa na ukiukwaji mwingine wa haki za binadamu nchini Uganda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS