Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Ajali ya basi yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20 nchini Uganda

    Ajali ya basi yasababisha vifo vya watu wasiopungua 20 nchini Uganda

    May 04, 2022 14:54

    Polisi wa Uganda wamesema watu 20 wameuawa baada ya basi la abiria kuanguka kwenye shamba la chai nje ya barabara kuu magharibi mwa Uganda.

  • UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    May 01, 2022 04:10

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine 44 wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dharura la dola za Marekani milioni 47.8 ili kukabiliana na mahitaji muhimu ya maelfu ya wakimbizi waliofika Uganda mwaka huu, wakikimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na za mapigano ya hapa na pale nchini Sudan Kusini.

  • Viongozi wa Waislamu Uganda wazika tofauti zao, wapania kuunda taasisi moja

    Viongozi wa Waislamu Uganda wazika tofauti zao, wapania kuunda taasisi moja

    Apr 13, 2022 07:58

    Viongozi wa makundi na mashirika ya Kiislamu nchini Uganda wametangaza kuungana na kusuluhisha tofauti zao, sanjari na kusaini makubaliano ya kuunda taasisi moja itakayowaleta pamoja na kuwaunganisha.

  • EU yaeleza wasiwasi wake kuhusu kambi za mateso nchini Uganda

    EU yaeleza wasiwasi wake kuhusu kambi za mateso nchini Uganda

    Apr 07, 2022 11:16

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Ulaya katika Masuala ya Haki za Binadamu ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuteswa wafungwa na ukiukwaji mwingine wa haki za binadamu nchini Uganda.

  • Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah aaga dunia

    Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah aaga dunia

    Mar 20, 2022 12:10

    Spika wa Bunge la Kitaifa la Uganda, Jacob L'Okori Oulanyah amefariki dunia akitibiwa nchini Marekani.

  • Jeshi la Uganda limekanusha kuwa mtoto wa Museveni amejiuzulu

    Jeshi la Uganda limekanusha kuwa mtoto wa Museveni amejiuzulu

    Mar 14, 2022 13:55

    Jeshi la Uganda limesema leo Jumatatu kwamba mtoto wa kiume wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye anatajwa kuwa ndiye atakayerithi miikoba ya baba yake kama rais ajaye wa Uganda, hajajiuzulu.

  • ICJ yaiamuru Uganda kuilipa DRC dola milioni 325 tu kufidia gharama za vita

    ICJ yaiamuru Uganda kuilipa DRC dola milioni 325 tu kufidia gharama za vita

    Feb 10, 2022 07:35

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetangaza kuwa dola milioni 325 ndio kiasi cha fidia ambacho Uganda inapaswa kuilipa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambayo ilikuwa ikidai zaidi ya dola bilioni 11 kwa uvamizi uliofanywa na jeshi la serikali ya Kampala mashariki mwa nchi hiyo wakati wa vita vya miaka ya 1998-2003.

  • Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF

    Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF

    Feb 08, 2022 07:46

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwatia mbaroni raia watatu wa Tanzania, kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la wanamgambo wa ADF.

  • Viongozi wa Kiislamu Uganda waunga mkono serikali kuhusu mwaka mpya + Sauti

    Viongozi wa Kiislamu Uganda waunga mkono serikali kuhusu mwaka mpya + Sauti

    Jan 02, 2022 06:52

    Serikali ya Uganda imepiga marufuku mijumuiko ya kusherehekea mwaka mpya ili kuzuia maambukizi ya Corona hatua ambayo imeungwa mkono na viongozi wa Kiislamu

  • Rais Museveni asema shule zitafunguliwa Uganda mwezi huu

    Rais Museveni asema shule zitafunguliwa Uganda mwezi huu

    Jan 01, 2022 12:38

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kuwa, shule za nchi hiyo ambazo zilikuwa zimefungwa tokea Machi 2020 kutokana na msambao wa maradhi ya Covid-19, sasa zitafunguliwa mwezi huu wa Januari, 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS