Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Ongwen kukata rufaa baada ya kuhukumiwa mahakama ya ICC

    Ongwen kukata rufaa baada ya kuhukumiwa mahakama ya ICC

    Feb 15, 2021 09:41

    Kamanda wa zamani wa waasi wa kundi la Lord’s Resistance Army, Dominic Dominic Ongwen amesema atakata rufaa dhidi ya uamuzi wa Februari 4 wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ambayo ilimpata na hatia ya kutenda uhalifu 61 wa kivita jinai dhidi ya ubinadamu.

  • Uganda yaishambulia EU kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Uganda yaishambulia EU kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Feb 13, 2021 05:20

    Serikali ya Uganda imeukosoa vikali Umoja wa Ulaya kwa kile ilichodai kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Kesi ya uchaguzi; Mahakama ya Juu ya Uganda yakataa ombi la Wine

    Kesi ya uchaguzi; Mahakama ya Juu ya Uganda yakataa ombi la Wine

    Feb 09, 2021 23:01

    Mahakama ya Juu ya Uganda imetupilia mbali ombi la mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, la kutaka kufanyia marekebisho faili lake la kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais yaliyompa ushindi Rais Yoweri Museveni.

  • Mauaji dhidi yao yaongezeka, waandishi wa habari wataka ulinzi zaidi Uganda + SAUTI

    Mauaji dhidi yao yaongezeka, waandishi wa habari wataka ulinzi zaidi Uganda + SAUTI

    Feb 08, 2021 12:23

    Kwa mara nyingine waandishi wa habari nchini Uganda wameiomba Serikali iwape ulinzi wa kutosha ili kuzuia mauaji wanayofanyiwa mara kwa mara na ambayo sasa hivi yamekithiri. Mwandishi wa Kampala Kigozi Ismail na taarifa zaidi:

  • Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Uganda yakanusha madai kuwa jeshi lake limeua magaidi 189 wa al-Shabaab

    Jan 28, 2021 00:49

    Serikali ya Uganda imekadhibisha taarifa kuwa jeshi la nchi hiyo UPDF limeua wanachama 189 wa genge la al-Shabaab kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani

    Mahakama ya Uganda yaiamuru polisi imuondolee Bobi Wine kizuizi cha nyumbani

    Jan 25, 2021 09:12

    Mahakama nchini Uganda imeamuru vikosi vya usalama vya nchi hiyo viondoe mzingiro vilioweka kwenye nyumba ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ambaye yuko kwenye kizuizi cha nyumbani tangu ulipofanyika uchaguzi wa rais januari 14.

  • Jeshi la Uganda laua wanachama 189 wa al Shabab nchini  Somalia

    Jeshi la Uganda laua wanachama 189 wa al Shabab nchini Somalia

    Jan 23, 2021 04:28

    Jeshi la Uganda UPDF limetangaza kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wameua wanachama 189 wa genge la al Shabab katika shambulizi la kushtukiza na la kasi kubwa nchini Somalia.

  • Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Uganda yaikosoa Marekani kwa kuingilia siasa zake za ndani

    Jan 19, 2021 23:41

    Uganda imeikosoa vikali Marekani kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza

    Bobi Wine ajitangaza mshindi wa uchaguzi wa rais Uganda; Museveni aongoza

    Jan 15, 2021 11:21

    Licha ya matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Uganda kuonesha kuwa Rais Yoweri Museveni yupo kifua mbele, lakini mgombea mkuu wa upinzani, Bobi Wine tayari ameshajitangaza kuwa mshindi wa uchaguzi huo uliofanyika jana Alkhamisi.

  • Wananchi wa Uganda wapiga kura, wasubiri matokeo, wapinzani walalamika

    Wananchi wa Uganda wapiga kura, wasubiri matokeo, wapinzani walalamika

    Jan 14, 2021 10:06

    Mamilioni ya watu wa Uganda leo wamejitokeza na kushiriki kwenye zoezi la kupiga kura baada ya kampeni zilizogubikwa na ghasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS