Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    Jul 14, 2020 08:38

    Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.

  • Wapinzani Uganda walalamikia kukandamizwa wakati huu wa kukaribia uchaguzi mkuu + Sauti

    Wapinzani Uganda walalamikia kukandamizwa wakati huu wa kukaribia uchaguzi mkuu + Sauti

    Jul 14, 2020 01:47

    Ikiwa imebakia miezi saba hadi kufanyika Uchaguzi Mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa vyama mbalimbali nchini humo wanawalalamikia askari wa kulinda usalama kwa kuwakandamiza. Taarifa zaidi anayo mwandishi wetu Kigozi Ismail kutoka Kampala

  • Uganda yaanza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi waliokwamishwa na corona + Sauti

    Uganda yaanza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi waliokwamishwa na corona + Sauti

    Jun 24, 2020 11:04

    Serikali ya Uganda imeanza kutekeleza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi wa nchi hiyo waliokwama katika nchi za ndani na nje ya Afrika kutokana na kuenea ugonjwa wa COVID-19. Serikali ya Uganda imepanga kuwaweka kwenye karantini watu wote wanaorejea nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala

  • Vigogo wa upinzani Uganda waunda muungano kukabiliana na Museveni

    Vigogo wa upinzani Uganda waunda muungano kukabiliana na Museveni

    Jun 15, 2020 10:46

    Viongozi wa upinzani nchini Uganda wametangaza kuunda muungano mpya kwa lengo la kumuondoa madarakani Rais Yoweri Museveni ambaye ameitawala nchi hiyo kwa muda wa miaka 34 sasa.

  • SAUTI, Madereva wa malori kutoka nchi za Kenya na Tanzania: Tunapoingia Uganda tunapachikwa jina la Corona sambamba na kunyanyaswa

    SAUTI, Madereva wa malori kutoka nchi za Kenya na Tanzania: Tunapoingia Uganda tunapachikwa jina la Corona sambamba na kunyanyaswa

    May 13, 2020 12:06

    Madereva wa malori ya masafa marefu kutoka Kenya na Uganda kwenda nchi jirani ya Uganda wamelalamikia vitendo vya kunyanyaswa na kunyanyapaliwa baada ya kuingia nchi hiyo.

  • Rais wa Uganda: Ni wendawazimu kufanya uchaguzi katika mazingira ya corona

    Rais wa Uganda: Ni wendawazimu kufanya uchaguzi katika mazingira ya corona

    May 12, 2020 10:18

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema itakuwa ni kosa kubwa kwa taifa hilo kufanya uchaguzi wa rais mapema mwaka ujao iwapo mlipuko wa virusi va corona utashtadi nchini humo.

  • Jeshi la Uganda mbioni kuzuia corona miongoni mwa askari wake Somalia

    Jeshi la Uganda mbioni kuzuia corona miongoni mwa askari wake Somalia

    May 03, 2020 21:57

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) limetangaza hatua za kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa corona au COVID-19 miongoni mwa askari wake walioko chini Somalia na Guinea ya Ikweta baada ya mmoja wao kupimwa na kugundulika kuwa na virusi vya corona.

  • Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda

    Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda

    Apr 22, 2020 08:38

    Rais Hassan Rouhani ameutaja uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda kuwa mzuri na uliojengeka katika misingi ya heshima, na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuboresha uhusiano wa pande mbili na nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika nyuga zote.

  • Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Apr 21, 2020 22:44

    Rais Hassan Rouhani amesema: Katika mazingira maalumu ya hivi sasa yanayotokana na kuenea virusi vya corona duniani, nchi zote zinapaswa kuwa bega kwa bega katika kupambana na kirusi hicho angamizi na kutangaza kwa uwazi kabisa misimamo yao kuhusiana na hatua za kiuadui za Marekani.

  • Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Apr 11, 2020 06:41

    Wakili mmoja wa Uganda ameishtaki serikali ya Rais Yoweri Museveni katika Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki EACJ akitaka kuondolewa zuio la kutoka nje lililotangazwa na serikali kama moja ya njia za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 (corona) nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS