Wapinzani Uganda walalamikia kukandamizwa wakati huu wa kukaribia uchaguzi mkuu + Sauti
Jul 14, 2020 06:17 UTC
Ikiwa imebakia miezi saba hadi kufanyika Uchaguzi Mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa vyama mbalimbali nchini humo wanawalalamikia askari wa kulinda usalama kwa kuwakandamiza. Taarifa zaidi anayo mwandishi wetu Kigozi Ismail kutoka Kampala
Tags