Wapinzani Uganda walalamikia kukandamizwa wakati huu wa kukaribia uchaguzi mkuu + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i62188-wapinzani_uganda_walalamikia_kukandamizwa_wakati_huu_wa_kukaribia_uchaguzi_mkuu_sauti
Ikiwa imebakia miezi saba hadi kufanyika Uchaguzi Mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa vyama mbalimbali nchini humo wanawalalamikia askari wa kulinda usalama kwa kuwakandamiza. Taarifa zaidi anayo mwandishi wetu Kigozi Ismail kutoka Kampala
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Jul 14, 2020 06:17 UTC

Ikiwa imebakia miezi saba hadi kufanyika Uchaguzi Mkuu nchini Uganda, wanasiasa wa vyama mbalimbali nchini humo wanawalalamikia askari wa kulinda usalama kwa kuwakandamiza. Taarifa zaidi anayo mwandishi wetu Kigozi Ismail kutoka Kampala