Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi

    Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda wa Januari 2026 zaanza rasmi

    Sep 29, 2025 11:33

    Kampeni za uchaguzi mkuu wa Uganda zimeanza rasmi leo Jumatatu kabla ya uchaguzi huo wa Januari 206 ambao huenda ukawa mpambano kati ya Rais aliyeko madarakani Yoweri Kaguta Museveni na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi Ssentamu, almaarufu Bobi Wine, ukitazamwa kama marudio ya uchaguzi wa 2021.

  • Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Sep 06, 2025 03:04

    Jeshi la Uganda UPDF litatoa mafunzo ya kijeshi ya muda wa miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika Kati katika hatua ya kuisadia nchi hiyo kujenga upya jeshi lake baada ya miaka ya mingi ya kuvurugika kwa amani na utulivu nchini humo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje: Uganda haijakubaliana na Marekani kupokea wahamiaji haramu

    Waziri wa Mambo ya Nje: Uganda haijakubaliana na Marekani kupokea wahamiaji haramu

    Aug 20, 2025 11:57

    Uganda imesema kuwa haijafikia makubaliano na Marekani kuwapokea nchini humo wahamiaji haramu kwa sababu haina miundomsingi inayohitajika kufanya hivyo.

  • Waziri: Kukubaliwa Uganda kuwa mshirika wa BRICS ni hatua muhimu

    Waziri: Kukubaliwa Uganda kuwa mshirika wa BRICS ni hatua muhimu

    May 02, 2025 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Jeje Odongo amesema kukubaliwa nchi hiyo kuwa taifa mshirika wa BRICS kunaashiria hatua muhimu katika uhusiano wa kigeni, na matarajio ya maendeleo ya nchi hiyo.

  • Mufti wa Uganda ataka kupigwa marufuku TikTok nchini humo

    Mufti wa Uganda ataka kupigwa marufuku TikTok nchini humo

    Apr 01, 2025 10:39

    Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje, ametoa mwito kwa serikali kuu kupiga marufuku programu ya mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo, ambayo anasisitiza kuwa inatumiwa na watu wasio na kazi kuwakashifu na kuwapaka matope watu wengine.

  • Jeshi la Uganda: Tumeua waasi zaidi ya 200 mashariki ya DRC

    Jeshi la Uganda: Tumeua waasi zaidi ya 200 mashariki ya DRC

    Mar 23, 2025 02:47

    Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuwaua mamia ya wapiganaji wa kundi la waasi wa CODECO baada ya kushambulia kambi ya jeshi la Uganda katika mpaka wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola

    WHO: Uganda imeripoti kifo kingine cha Ebola

    Mar 02, 2025 12:26

    Shirika la Afya Duniani WHO likinukuu Wizara ya Afya ya Uganda limesema mgonjwa wa pili wa Ebola amefariki dunia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kuushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo

    Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kuushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo

    Feb 16, 2025 09:14

    Jenerali Muhoozi Kainerugaba Mkuu wa jeshi la Uganda jana aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X kuwa nchi hiyo itaushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo iwapo wapiganaji wote katika eneo hilo hawatasalimisha silaha zao katika muda wa saa 24.

  • Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Feb 05, 2025 02:40

    Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki moja iliyopita, karibu na eneo ambalo wanajeshi wa serikali ya Kinshasa wanapambana na waasi wa M23.

  • Museveni apuuza uamuzi wa mahakama juu ya mahakama za kijeshi

    Museveni apuuza uamuzi wa mahakama juu ya mahakama za kijeshi

    Feb 02, 2025 12:30

    Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema serikali yake itaendelea kuwashtaki raia katika mahakama za kijeshi, licha ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo kupiga marufuku hatua hiyo, ikisema ni kinyume cha katiba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS