Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kuushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo

    Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kuushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo

    Feb 16, 2025 09:14

    Jenerali Muhoozi Kainerugaba Mkuu wa jeshi la Uganda jana aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X kuwa nchi hiyo itaushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo iwapo wapiganaji wote katika eneo hilo hawatasalimisha silaha zao katika muda wa saa 24.

  • Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Feb 05, 2025 02:40

    Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki moja iliyopita, karibu na eneo ambalo wanajeshi wa serikali ya Kinshasa wanapambana na waasi wa M23.

  • Museveni apuuza uamuzi wa mahakama juu ya mahakama za kijeshi

    Museveni apuuza uamuzi wa mahakama juu ya mahakama za kijeshi

    Feb 02, 2025 12:30

    Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema serikali yake itaendelea kuwashtaki raia katika mahakama za kijeshi, licha ya Mahakama ya Juu ya nchi hiyo kupiga marufuku hatua hiyo, ikisema ni kinyume cha katiba.

  • Wafuasi wa kundi lenye misimamo mikali waua, kujeruhi 16 Uganda

    Wafuasi wa kundi lenye misimamo mikali waua, kujeruhi 16 Uganda

    Oct 30, 2024 14:17

    Watu kadhaa wanaoshukiwa kuwa wafuasi madhehebu ya kidini yenye misimamo ya kufurutu ada wameshambulia kijiji kimoja nchini Uganda, na kuua watu wasiopungua wanane, akiwemo mtoto wa umri wa miaka mitatu na watu wa familia za washambuliaji hao.

  • Maambukizo ya ugonjwa wa Mpox yaongezeka nchini Uganda

    Maambukizo ya ugonjwa wa Mpox yaongezeka nchini Uganda

    Sep 15, 2024 07:27

    Idadi ya wagonjwa nchini Uganda walioambukizwa aina mpya ya virusi vya Mpox imeongezeka hadi 11, huku afisa mkuu wa afya akiripoti kuwa hakuna vifo vilivyosababishwa na maradhi hayo kufikia jana Jumamosi nchini humo.

  • Mahakama ya Uganda yamkuta na hatia kiongozi wa waasi wa LRA

    Mahakama ya Uganda yamkuta na hatia kiongozi wa waasi wa LRA

    Aug 14, 2024 08:11

    Mahakama nchini Uganda jana ilimpata na hatia kamanda wa zamani wa kundi la Waasi wa Kikristo la kaskazini mwa Uganda (LRA). Thomas Kwoyelo amepatikana na hatia kwa kuhusika katika makosa kadhaa ya jinai dhidi ya binadamu katika kesi ya kwanza ya jinai za kivita kusikilizwa katika nchi hiyo ya mashariki mwa Afrika.

  • DRC yamuita balozi wa Uganda kujadili tuhuma za kuunga mkono M23

    DRC yamuita balozi wa Uganda kujadili tuhuma za kuunga mkono M23

    Jul 21, 2024 11:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemuita balozi mdogo wa Uganda nchini humo, baada ya Umoja wa Mataifa kusema katika ripoti yake kwamba, jeshi la Uganda limewauga mkono waasi wa M23 wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.

  • Jeshi la Uganda lakanusha madai ya kuwaunga mkono waasi wa M23

    Jeshi la Uganda lakanusha madai ya kuwaunga mkono waasi wa M23

    Jun 18, 2024 02:41

    Jeshi la Uganda (UPDF) limekanusha madai kwamba linatoa msaada kwa wapiganaji wa M23 ambao wanaendesha harakati zao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Kenya na Uganda zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta

    Kenya na Uganda zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta

    May 17, 2024 07:24

    Kenya na Uganda zimekubaliana kujenga kwa pamoja bomba la kusafirishia mafuta kutoka mjini Eldoret katika eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya hadi Uganda.

  • Uganda: Tunahitaji teknolojia ya Iran kudhibiti maudhui chafu, potofu mitandaoni

    Uganda: Tunahitaji teknolojia ya Iran kudhibiti maudhui chafu, potofu mitandaoni

    May 10, 2024 07:25

    Serikali ya Uganda inatafakari kuanza kutumia teknolojia iliyopiga hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kudhibiti maudhui chafu na za upotoshaji kwenye mitandao ya kijamii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS