Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Kikao cha leo cha wakuu wa NAM Uganda; Iran yataka jumuiya hiyo itilie mkazo kuihami Palestina

    Kikao cha leo cha wakuu wa NAM Uganda; Iran yataka jumuiya hiyo itilie mkazo kuihami Palestina

    Jan 19, 2024 07:38

    Mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM unafanyika leo katika mji mkuu wa Uganda, Kamapala huku Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwataka wanachama wa jumuiya hiyo kutilia mkazo uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina.

  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran kushiriki mkutano wa NAM Uganda

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran kushiriki mkutano wa NAM Uganda

    Jan 19, 2024 03:31

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kwenda Kampala, mji mkuu wa Uganda kuhudhuria Mkutano wa 19 wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM).

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la ADF nchini Uganda

    Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la ADF nchini Uganda

    Dec 20, 2023 03:04

    Kwa akali watu watano wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulizi linaloshukiwa kufanywa na waasi wa kundi linalojiita Allied Democratic Forces (ADF) magharibi mwa Uganda.

  • Soka Afrika: Uganda kidedea Cecafa U18

    Soka Afrika: Uganda kidedea Cecafa U18

    Dec 09, 2023 11:14

    Timu ya taifa ya soka ya vijana ya Uganda imebuka kidedea baada ya kuichabanga Kenya mabao 2-1 katika fainali ya Mashindano ya Kandanda ya Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Cecafa kwa vijana wenye chini ya miaka 18.

  • Mama wa miaka 70 Uganda awa mwanamke mkongwe zaidi kujifungua Afrika

    Mama wa miaka 70 Uganda awa mwanamke mkongwe zaidi kujifungua Afrika

    Dec 01, 2023 06:47

    Ajuza wa miaka 70 huko nchini Uganda ameingia katika madaftari ya kumbukumbu kwa kuwa mwanamke wa kwanza mwenye umri mkubwa kujifungua barani Afrika.

  • Uganda yataja onyo la Marekani dhidi yake kuwa kichekesho

    Uganda yataja onyo la Marekani dhidi yake kuwa kichekesho

    Oct 25, 2023 07:36

    Uganda imekejeli na kukosoa tahadhari iliyotolewa na Marekani iliyodai kuwa ni hatari kufanya biashara na kuwekeza katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Bobi Wine, kiongozi wa upinzani Uganda atiwa mbaroni

    Bobi Wine, kiongozi wa upinzani Uganda atiwa mbaroni

    Oct 05, 2023 13:33

    Kwa mara nyingine tena, mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda ambaye pia alikuwa mgombea urais wa chama cha upinzani cha NUP katika uchaguzi uliopita, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, amekamatwa mjini Entebbe.

  • Waislamu Uganda wafanya matembezi kuadhimisha Ashura ya Imam Hussein AS

    Waislamu Uganda wafanya matembezi kuadhimisha Ashura ya Imam Hussein AS

    Jul 28, 2023 12:21

    Waislamu wa medhehebu ya Shia na wapenzi wa Imam Hussein AS huko Uganda wamefanya matembezi ya amani mashariki mwa nchi hiyo, kwa mnasaba wa maombolezo ya Ashura ya Bwana huyo wa Mashahidi.

  • Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Rais Raisi: Afrika ni bara la fursa ambazo hazipasi kupuuzwa

    Jul 14, 2023 12:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesisitiza haja ya kukuza uhusiano na mataifa ya Afrika, akilielezea bara hilo kama ardhi ya fursa na kwamba uwezo wake haupasi kupuuzwa.

  • Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO

    Safari ya Rais wa Iran nchini Uganda+VIDEO

    Jul 13, 2023 11:09

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini mbalimbali nchini Uganda akiwemo Mufti Mkuu Sheikh Shaaban Ramadhan Mubaje

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS