-
Waingereza wafakamia chakula cha mifugo kutokana na kupanda gharama za maisha
Dec 02, 2022 22:50Mgogoro wa gharama kubwa za maisha nchini Uingereza umekuwa sababu ya Waingereza katika baadhi ya miji kula chakula cha wanyama wa kufuga majumbani.
-
Uingereza yasisitiza haitauhamishia ubalozi wake Quds
Nov 22, 2022 04:06Kwa mara nyingine, Uingereza kutokana na mashinikizio na ukosoaji wa ndani na nje ya nchi, imesisitiza kuwa haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds tukufu, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran
Nov 15, 2022 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikwazo vipya vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 29 na taasisi tatu za Kiirani, ikiwemo kanali ya televisheni ya Press TV.
-
Uingereza yaazimia kuwaondoa askari wake nchini Mali
Nov 15, 2022 03:43Uingereza imetangaza habari ya kutaka kuwaondoa mamia ya askari wa nchi hiyo walioko nchini Mali chini ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa MINUSMA.
-
Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran
Oct 25, 2022 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amedokeza kuwa karibuni hivi majina ya taasisi na shakhsia kadhaa wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wanaopinga 'Brexit' waandamana wakitaka UK ijiunge tena na EU
Oct 24, 2022 00:30Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London wakishinikiza nchi hiyo irejee katika Umoja wa Ulaya.
-
BBC, karne moja ya huduma na uaminifu kwa serikali ya Uingereza
Oct 20, 2022 05:18"Tom Mills, mwanasosholojia na mwandishi wa Kiingereza, anasema katika kitabu "The BBC: Myth of a Public Service" kwamba BBC daima imekuwa ikisema hewallah na imekuwa hadimu mtiifu kwa wale walio madarakani..."
-
Waislamu London walaani kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu
Oct 02, 2022 04:08Waislamu wanaoishi London, mji mkuu wa Uingereza wamefanya maandamano ya kulalamikia vitendo vya kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu na chokochoko dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Maelfu waandamana Uingereza kulalamikia gharama za juu za maisha
Oct 02, 2022 04:00Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Uingereza, kulalamikia mgogoro wa mfumko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha.
-
Jumanne tarehe 20 Septemba 2022
Sep 19, 2022 21:53Leo ni Jumanne tarehe 23 Safar 1444 Hijria sawa na Septemba 20 mwaka 2022.