-
Uingereza yaazimia kuwaondoa askari wake nchini Mali
Nov 15, 2022 03:43Uingereza imetangaza habari ya kutaka kuwaondoa mamia ya askari wa nchi hiyo walioko nchini Mali chini ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa MINUSMA.
-
Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran
Oct 25, 2022 10:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amedokeza kuwa karibuni hivi majina ya taasisi na shakhsia kadhaa wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wanaopinga 'Brexit' waandamana wakitaka UK ijiunge tena na EU
Oct 24, 2022 00:30Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London wakishinikiza nchi hiyo irejee katika Umoja wa Ulaya.
-
BBC, karne moja ya huduma na uaminifu kwa serikali ya Uingereza
Oct 20, 2022 05:18"Tom Mills, mwanasosholojia na mwandishi wa Kiingereza, anasema katika kitabu "The BBC: Myth of a Public Service" kwamba BBC daima imekuwa ikisema hewallah na imekuwa hadimu mtiifu kwa wale walio madarakani..."
-
Waislamu London walaani kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu
Oct 02, 2022 04:08Waislamu wanaoishi London, mji mkuu wa Uingereza wamefanya maandamano ya kulalamikia vitendo vya kuvunjiwa heshima thamani za Kiislamu na chokochoko dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Maelfu waandamana Uingereza kulalamikia gharama za juu za maisha
Oct 02, 2022 04:00Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Uingereza, kulalamikia mgogoro wa mfumko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha.
-
Jumanne tarehe 20 Septemba 2022
Sep 19, 2022 21:53Leo ni Jumanne tarehe 23 Safar 1444 Hijria sawa na Septemba 20 mwaka 2022.
-
Watu wa Wales wamwambia Mfalme Charles: Unafuja mali zetu katika sherehe zako, wewe si mfalme wetu
Sep 18, 2022 07:53Mfalme wa Uingereza, Charles III, amekabiliwa na hali ya aibu na fedheha huko Cardiff, mji mkuu wa Wales, alipokuwa akisalimiana na raia kadhaa waliokuwa wamekusanyika kuhudhuria kutawazwa kwake, wakati mtu mmoja alipojitokeza na kumshutumu mfalme kuwa anafuja pesa za walipakodi kwa ajili ya sherehe za kifalme.
-
Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza
Sep 18, 2022 03:36Makumi ya watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London, kulaani safari ya Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Uingereza.
-
Maandamano dhidi ya ufalme wa Uingereza yafanyika Scotland
Sep 14, 2022 03:17Kwa mara nyingine tena, maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa Scotland, Edinburg kupinga mfumo wa kifalme wa Uingereza.