Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Watu wa Wales wamwambia Mfalme Charles: Unafuja mali zetu katika sherehe zako, wewe si mfalme wetu

    Watu wa Wales wamwambia Mfalme Charles: Unafuja mali zetu katika sherehe zako, wewe si mfalme wetu

    Sep 18, 2022 07:53

    Mfalme wa Uingereza, Charles III, amekabiliwa na hali ya aibu na fedheha huko Cardiff, mji mkuu wa Wales, alipokuwa akisalimiana na raia kadhaa waliokuwa wamekusanyika kuhudhuria kutawazwa kwake, wakati mtu mmoja alipojitokeza na kumshutumu mfalme kuwa anafuja pesa za walipakodi kwa ajili ya sherehe za kifalme.

  • Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

    Bin Salman akaribishwa kwa maandamano nchini Uingereza

    Sep 18, 2022 03:36

    Makumi ya watetezi wa haki za binadamu wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London, kulaani safari ya Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman nchini Uingereza.

  • Maandamano dhidi ya ufalme wa Uingereza yafanyika Scotland

    Maandamano dhidi ya ufalme wa Uingereza yafanyika Scotland

    Sep 14, 2022 03:17

    Kwa mara nyingine tena, maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa Scotland, Edinburg kupinga mfumo wa kifalme wa Uingereza.

  • New Zealand itaacha kuwa chini ya ufalme wa Uingereza, itajitangaza Jamhuri

    New Zealand itaacha kuwa chini ya ufalme wa Uingereza, itajitangaza Jamhuri

    Sep 13, 2022 21:42

    Waziri Mkuu wa New Zealand amesema nchi hiyo hatimaye itaacha kuwa chini ya mfumo wa kifalme wa Uingereza na kujitangaza kuwa Jamhuri.

  • Taasisi ya utafiti: Uingereza inatunga sheria za kuwafanya Waislamu kuwa raia wa daraja la pili

    Taasisi ya utafiti: Uingereza inatunga sheria za kuwafanya Waislamu kuwa raia wa daraja la pili

    Sep 12, 2022 21:59

    Taasisi ya Mahusiano ya Mbari ya Uingereza (The Institute of Race Relations) imesema, sera ya serikali ya Uingereza inawafanya Waislamu wa nchi hiyo kuwa raia wa daraja la pili kutokana na sheria zinazoruhusu kupokonywa uraia wa Uingereza.

  • Maelfu waandamana Uingereza kulaani mauaji ya raia mweusi

    Maelfu waandamana Uingereza kulaani mauaji ya raia mweusi

    Sep 11, 2022 07:36

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani mauaji ya mtu mmoja mwenye asili ya Afrika yaliyofanywa na askari polisi wa nchi hiyo.

  • Kifo cha Malkia; mashabiki wa soka Uingereza waitisha pesa zao

    Kifo cha Malkia; mashabiki wa soka Uingereza waitisha pesa zao

    Sep 11, 2022 07:33

    Jumuiya ya Mashabiki wa Soka Uingereza (FSA) imetoa mwito wa mashabiki kurejeshewa pesa walizotoa kwa ajili ya kununua tiketi za kushuhudia michuano ya mpira wa miguu; lakini baadaye ikaakhirishwa kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa nchi hiyo.

  • Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Mpango wa UK wawaacha bila makazi wahanga wa mauaji ya kimbari Rwanda

    Sep 01, 2022 03:06

    Wahanga wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda waliofurushwa katika mabweni walikokuwa wakiishi kutokana na mpango tata wa wakimbizi wa Uingereza, wanalalamika kuwa wameachwa bila pahala pa kuishi, licha ya mabweni hayo kusalia bila watu.

  • Wakenya waishitaki Uingereza kwa jinai za enzi za ukoloni

    Wakenya waishitaki Uingereza kwa jinai za enzi za ukoloni

    Aug 24, 2022 06:25

    Kundi la raia wa Kenya limeifungulia mashitaka serikali ya Uingereza katika Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya, likitaka iwajibishwe kwa jinai ilizotenda dhidi ya wananchi wa Kenya enzi za ukoloni.

  • UK: Tuko tayari kutumia silaha za atomiki ikitulazimu

    UK: Tuko tayari kutumia silaha za atomiki ikitulazimu

    Aug 24, 2022 06:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ambaye anatazamiwa kupanda ngazi na kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo amesema serikali yake haitasita kutumia silaha za maangamizi za nyuklia, iwapo nchi hiyo italazimika kufanya hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS