-
Idadi ya wabunge mashoga Uingereza yavunja rekodi ya dunia
Feb 22, 2016 13:10Idadi ya wabunge wanaoingiliana kinyume na maumbile nchini Uingereza imeongezeka baada ya wabunge wengine wawili kutangaza hadharani kwamba wanajihusisha na vitendo hivyo vichafu.
-
Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo
Feb 22, 2016 00:06Mchungaji mmoja nchini Uingereza amesema kuwa, mafundisho ya Kiislamu yako karibu na yale aliyoyafunza Yesu yaani Nabii Issa AS, kuliko mafundisho mengi yanayotolewa katika Makanisa ya Magharibi.
-
Mawaziri wa Uingereza wataka nchi ibakie ndani ya EU
Feb 20, 2016 10:07Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa baraza lake la mawaziri limeafiki kubakia nchi yao kwenye Umoja wa Ulaya (EU) lakini kuwe na mabadiliko kwenye sheria za muungano huo.
-
Imam wa zamani wa jamaa wa msikiti wa Manchester auawa kwa kupigwa
Feb 20, 2016 04:43Polisi ya mji wa Manchester nchini Uingereza, imetangaza habari ya kuuawa Sheikh Jalaalud-Din Sa'ab, msomi wa Qur'an na imamu wa zamani wa jamaa katika msikiti wa Jalaaliyyah mjini hapo. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Sa'ab mwenye uraia wa Bangladesh aliuawa Alkhamis usiku karibu na msikiti huo.