-
Mwanazuoni mkubwa wa Kiislamu Afrika, Sheikh Abdillahi Nassir, aaga dunia
Jan 11, 2022 14:17Sheikh Abdillahi Nassir Juma Bhalo, msomi maarufu wa Kiislamu barani Afrika na hasa Afrika Mashariki ameaga dunia mapema leo Mombasa, Kenya.
-
Siku ya Kufutwa Utumwa Duniani
Dec 06, 2021 16:48Kwa jina la Mwenyezi Mungu, aliyemuumba mwanadamu akiwa huru, hakumfanya mtu yeyote kuwa mtumwa wa mwingine na hakuumba kiumbe chochote isipokuwa kwa ajili ya kumwabudu Yeye mwenyewe, ambaye ni Muumba na anayestahiki kuabudiwa.
-
Adabu za kusema na kuzungumza na watu
Dec 06, 2021 13:24Sisi sote tunaelewa kwamba, shakhsia na hali ya ndani ya nafsi ya wanadamu huwa na taathira ya moja kwa moja katika mwenendo wake na jinsi ya kusema na kuzungumza kwake na wanadamu wenzake.
-
Serikali ya Ufaransa yaendeleza hujuma dhidi ya Uislamu, yazuia kampeni ya EU ya kutetea hijabu
Nov 04, 2021 07:49Kampeni ya Ulaya ya kupambana na hujuma dhidi ya Uislamu na kutetea vazi la staha la hijabu imesimamishwa kutokana na mashinikizo ya serikali ya Ufaransa.
-
Kiongozi Muadhamu: Mazazi ya Mtume (SAW) yalifungua ukurasa mpya wa maisha ya mwanadamu
Oct 24, 2021 15:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuzaliwa Mtume mtukufu Muhammad (SAW) kulifungua ukurasa mpya katika maisha ya mwanadamu.
-
Facebook yatakiwa kufuta matangazo ya AIPAC yanayoeneza chuki dhidi ya Waislamu
Aug 16, 2021 02:38Mtandao wa kijamii wa Facebook uko chini ya shinikizo yanayoutaka kuondoa matangazo yanayohujumu Uislamu na Waislamu dhidi ya mwakilishi Muislamu wa Kongesi ya Marekani Ilhan Omar, ambayo vikundi vya wanasheria vinasema yanahatarisha maisha ya mbunge huyo wa Minnesota.
-
Aliyekuwa muigizaji wa Bollywood awajibu wanaomdhihaki kwa kuvaa Hijabu
Jun 04, 2021 02:40Muigizaji mashuhuri wa zamani wa sekta ya filamu ya Bollywood ya India amewajia juu watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaomdhihaki na kumkejeli kwa kuvaa vazi la stara la Hijabu.
-
Waislamu wa Austria kuishtaki serikali kwa kuhatarisha usalama wao, ubaguzi
May 30, 2021 12:42Kundi linaloongoza la Waislamu nchini Austria limesema lina mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.
-
Jumapili tarehe 30 Mei 2021
May 30, 2021 02:43Leo ni Jumapili tarehe 18 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijria sawa na Mei 30 mwaka 2021.
-
Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza aitaka Conservative itupilie mbali Islamophobia
May 27, 2021 02:20Waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa Uingereza amekishauri chama tawala cha Conservative kujipanga upya kwa kutupilia mbali sera za kupiga vita Uislamu (Islamophobia).